GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Eti kwenye mkakati wao wanasema kuwa ndio kuiteka JF iwe ya CCM kwa kushambulia , kumbe hawajui watu hapa wanaangalia hoja na sio nani kamshambulia nani zaidi .
Hizo ni fikra finyu mkuu, jibuni hoja sio bla bla ! wimbi la watu kukosa imani na cdm ni kubwa sana hivi sasa