Chadema kama Gbagbo!

Tolowski

Senior Member
Apr 28, 2011
122
20
Kwa hali ninayoiona humu ndani ya jf,chadema wakipewa hii nchi watakuja kuondolewa na mabomu ya UN siyo kura!yaani viongozi wa cdm na wapenz wao ni wabinafsi,wasiopenda kuambiwa ukweli!vile vile wanapenda kila mtu awasifie hata kama wanaharibu!!ona now wanavyowasema vibaya mwananchi na mtikila,kisa eti wameongea kinyume nao!! Natamani kitokee chama cha upinzani cha ukweli tanzania nijiunge nacho!SIO HIKI CHAMA CHA WAHUNI
 
Kwa hali ninayoiona humu ndani ya jf,chadema wakipewa hii nchi watakuja kuondolewa na mabomu ya UN siyo kura!yaani viongozi wa cdm na wapenz wao ni wabinafsi,wasiopenda kuambiwa ukweli!vile vile wanapenda kila mtu awasifie hata kama wanaharibu!!ona now wanavyowasema vibaya mwananchi na mtikila,kisa eti wameongea kinyume nao!! Natamani kitokee chama cha upinzani cha ukweli tanzania nijiunge nacho!SIO HIKI CHAMA CHA WAHUNI
na hicho ulichonacho sasa ni cha wakinanani,wahuni wako kule......
 
Kwa hali ninayoiona humu ndani ya jf,chadema wakipewa hii nchi watakuja kuondolewa na mabomu ya UN siyo kura!yaani viongozi wa cdm na wapenz wao ni wabinafsi,wasiopenda kuambiwa ukweli!vile vile wanapenda kila mtu awasifie hata kama wanaharibu!!ona now wanavyowasema vibaya mwananchi na mtikila,kisa eti wameongea kinyume nao!! Natamani kitokee chama cha upinzani cha ukweli tanzania nijiunge nacho!SIO HIKI CHAMA CHA WAHUNI

Magamba sasa yamejaa JF:

Join Date : 28th April 2011
Posts : 3
Thanks 0
Thanked 0 Times in 0 Posts



Rep Power : 0
 
Kwa hali ninayoiona humu ndani ya jf,chadema wakipewa hii nchi watakuja kuondolewa na mabomu ya UN siyo kura!yaani viongozi wa cdm na wapenz wao ni wabinafsi,wasiopenda kuambiwa ukweli!vile vile wanapenda kila mtu awasifie hata kama wanaharibu!!ona now wanavyowasema vibaya mwananchi na mtikila,kisa eti wameongea kinyume nao!! Natamani kitokee chama cha upinzani cha ukweli tanzania nijiunge nacho!SIO HIKI CHAMA CHA WAHUNI


Kwa akili yako inabidi kitokee chama cha mata.ko ndo ujiunge nacho...
 
Magamba sasa yamejaa JF:

Join Date : 28th April 2011
Posts : 3
Thanks 0
Thanked 0 Times in 0 Posts



Rep Power : 0

Nyani halioni kundule , wewe je ?
Join Date : 17th March 2011
Posts : 251
Thanks 21
Thanked 25 Times in 19 Posts

Rep Power : 21​
 
Magamba sasa yamejaa JF:

Join Date : 28th April 2011
Posts : 3
Thanks 0
Thanked 0 Times in 0 Posts



Rep Power : 0
Hili ni dhahiri sana. Ghafla tunaanza kuona posts nyingi za watu waliojiunga JF hivi karibuni na posts zao nyingi ni kuchafua CDM. Kwa taarifa ya hao wageni mamluki, humu jamvini tunajadili mambo ambayo yanaleta maslahi kwa jamii nzima ya Tanzania. Ni kwa sababu ccm imekuwa ikiongoza nchi huku ikiruhusu ufisadi mkubwa ufanyike, ndio maana chama hicho kinatupiwa madongo sana. CDM kimekuwa kikitetea maslahi ya jamii ya Kitanzania, na mtu yeyote ambaye ataanza kuhujumu utetezi wa maslahi ya walio wengi, huyo ni msaliti.

Kwa hao wasaliti, mamluki, nawaambia: juhudi zenu zitagonga ukuta, maana mwenye haki, daima anashinda.
 
Msiumize kichwa jamani,hii ni lazima ingetokea baada ya Babu yao kutamka......,,,,,wakaribisheni tu wakichoka wa watakimbia wenyewe
 
Ashukuriwe aketiye enzini ambaye kwa amri yake aliumba binadamu mwenye akili timamu na milango kamilifu ya ufahamu ila kwa ulafi wa kuahidiwa mbingu na ibilisi mwanadamu huyo huyo akajaribu kumkosoa muumba! Ole wenu! Saa ya hukumu yaja!
 
Kwa hali ninayoiona humu ndani ya jf,chadema wakipewa hii nchi watakuja kuondolewa na mabomu ya UN siyo kura!yaani viongozi wa cdm na wapenz wao ni wabinafsi,wasiopenda kuambiwa ukweli!vile vile wanapenda kila mtu awasifie hata kama wanaharibu!!ona now wanavyowasema vibaya mwananchi na mtikila,kisa eti wameongea kinyume nao!! Natamani kitokee chama cha upinzani cha ukweli tanzania nijiunge nacho!SIO HIKI CHAMA CHA WAHUNI

Acha uvivu na lawama... take your time to find out what is behind huyo mwandishi Ramadhan Semtawa na Zitto then you have all the right to say what you want to say...

kwa kukusaidia angalia (click the link) habari anazoandika huyu mtu kisha changanya na zako na za mbayuwayu..

Moto wawaka Chadema, NI VITA YA KAMBI ZA MBOWE, ZITTO

Zitto apata kigugumizi kumzungumzia Kikwete

Zitto akabwa koo jimboni

Mgodi wa Sh7 bilioni, wauzwa kwa Sh90m

Mwananchi Habari|News::Zitto atembea na barua ya kujiuzulu Chadema

Makatibu wakuu wapunguziwa "kula"

Meremeta na Tangold kukaguliwa
 
watu wa dizaini hii tumewapokea wengi sana hapa JF na wameondoka na watakuja wengi tu hapa wacheni waje wametumwa
 
Jamani msitulaumu sisi, tumejua JF baada ya utafiti wa Mukama na Pius M kusema ni hatari kwa CCM. Kwa hiyo msitushangae tunatafuta kupanda chati kupitia humux2.
 
Leo kazi ipo. kila mahali Chadema! Jamani hii tenda ya kuishambulia Chadema inauzwa kwa Shilingi ngapi?
 
Leo kazi ipo. kila mahali Chadema! Jamani hii tenda ya kuishambulia Chadema inauzwa kwa Shilingi ngapi?

Jivueni magamba, mmebadilika sura baada ya ruzuku kuongezwa, sasa kimekuwa chama cha ponda mali kufa kwaja !
 
Hili ni dhahiri sana. Ghafla tunaanza kuona posts nyingi za watu waliojiunga JF hivi karibuni na posts zao nyingi ni kuchafua CDM. Kwa taarifa ya hao wageni mamluki, humu jamvini tunajadili mambo ambayo yanaleta maslahi kwa jamii nzima ya Tanzania. Ni kwa sababu ccm imekuwa ikiongoza nchi huku ikiruhusu ufisadi mkubwa ufanyike, ndio maana chama hicho kinatupiwa madongo sana. CDM kimekuwa kikitetea maslahi ya jamii ya Kitanzania, na mtu yeyote ambaye ataanza kuhujumu utetezi wa maslahi ya walio wengi, huyo ni msaliti.

Kwa hao wasaliti, mamluki, nawaambia: juhudi zenu zitagonga ukuta, maana mwenye haki, daima anashinda.

Mkuu Dingswayo heshima mbele.
Napenda kutofautiana na wewe katika jambo la msingi kabisa.Wazo au idea itabaki kuwa hivyo hadi hapo litakapopatikana wazo mbadala au lunalopinga wazo la awali.
Nichango mingi ya "wageni" ndani ya JF ni kweli imekuwa ikiipinga CDM lakini, kwa mantiki ya yale yanayoonekana na kujulikana kupitia vyombo vya habari.
Mimi sijifichi ni mwana CCM lakini nilipinga sana mafisadi na ufisadi ndani ya chama tawala.Nilipinga vile vile hali ya kutelekeza miiko ya uongozi ndani ya utawala.
Tunashukuru kuwa yameanza kushughulikiwa ingawaje kwa spidi ndogo.Tunataka nini zaidi?Damu imwagike ndio tuone kuwa mambo yanashughulikiwa?Time will tell on the sincirety of the "Kuijivua Gamba" theorem na matokeo yake.
Tulio wengi tulichokiona kule ndani ya CCM ndio hicho hicho likichomo CDM, wafanyabiashara walionzisha CDM ni kama wale mafisadi, kwa muelekeo wao na matendeo.
Sasa wana JF, hata akiwa mgeni akilaumu hilo utamwita mamluki?
Huo ni ukosefu wa kufikiri kwa maana ile tuhuma haiondoki kwa kujibu matusi.Jibu sahihi na maelezo kutoka kwa mwana JF litatosheleza, na kuna viongozi wengi tu wa CDM humu JF.
Jibuni hizo tuhuma.
Kufikiria kuwa CCM itachukiwa daima ni shortsightedness and naive.
Lazima CDM ikubali kuwa wananchi wanaichunguza CDM kwa macho yale yale taliyokuwa yakiichunguza CCM.
Hatutaki kuondoa fisadi katika chama kimoja ili tutawaliwe na fisadi aliye chama kingine.
CDM get your house in order.
 
Kwa hali ninayoiona humu ndani ya jf,chadema wakipewa hii nchi watakuja kuondolewa na mabomu ya UN siyo kura!yaani viongozi wa cdm na wapenz wao ni wabinafsi,wasiopenda kuambiwa ukweli!vile vile wanapenda kila mtu awasifie hata kama wanaharibu!!ona now wanavyowasema vibaya mwananchi na mtikila,kisa eti wameongea kinyume nao!! Natamani kitokee chama cha upinzani cha ukweli tanzania nijiunge nacho!SIO HIKI CHAMA CHA WAHUNI

"Gamba" karibu jamvini kutekeleza ahadi ya Msekwa!!!!

Tiba
 
Mkuu Dingswayo heshima mbele.
Napenda kutofautiana na wewe katika jambo la msingi kabisa.Wazo au idea itabaki kuwa hivyo hadi hapo litakapopatikana wazo mbadala au lunalopinga wazo la awali.
Nichango mingi ya "wageni" ndani ya JF ni kweli imekuwa ikiipinga CDM lakini, kwa mantiki ya yale yanayoonekana na kujulikana kupitia vyombo vya habari.
Mimi sijifichi ni mwana CCM lakini nilipinga sana mafisadi na ufisadi ndani ya chama tawala.Nilipinga vile vile hali ya kutelekeza miiko ya uongozi ndani ya utawala.
Tunashukuru kuwa yameanza kushughulikiwa ingawaje kwa spidi ndogo.Tunataka nini zaidi?Damu imwagike ndio tuone kuwa mambo yanashughulikiwa?Time will tell on the sincirety of the "Kuijivua Gamba" theorem na matokeo yake.
Tulio wengi tulichokiona kule ndani ya CCM ndio hicho hicho likichomo CDM, wafanyabiashara walionzisha CDM ni kama wale mafisadi, kwa muelekeo wao na matendeo.
Sasa wana JF, hata akiwa mgeni akilaumu hilo utamwita mamluki?
Huo ni ukosefu wa kufikiri kwa maana ile tuhuma haiondoki kwa kujibu matusi.Jibu sahihi na maelezo kutoka kwa mwana JF litatosheleza, na kuna viongozi wengi tu wa CDM humu JF.
Jibuni hizo tuhuma.
Kufikiria kuwa CCM itachukiwa daima ni shortsightedness and naive.
Lazima CDM ikubali kuwa wananchi wanaichunguza CDM kwa macho yale yale taliyokuwa yakiichunguza CCM.
Hatutaki kuondoa fisadi katika chama kimoja ili tutawaliwe na fisadi aliye chama kingine.
CDM get your house in order.

Well said !
 
Eti kwenye mkakati wao wanasema kuwa ndio kuiteka JF iwe ya CCM kwa kushambulia , kumbe hawajui watu hapa wanaangalia hoja na sio nani kamshambulia nani zaidi .
 
Back
Top Bottom