Kwa hali ninayoiona humu ndani ya jf,chadema wakipewa hii nchi watakuja kuondolewa na mabomu ya UN siyo kura!yaani viongozi wa cdm na wapenz wao ni wabinafsi,wasiopenda kuambiwa ukweli!vile vile wanapenda kila mtu awasifie hata kama wanaharibu!!ona now wanavyowasema vibaya mwananchi na mtikila,kisa eti wameongea kinyume nao!! Natamani kitokee chama cha upinzani cha ukweli tanzania nijiunge nacho!SIO HIKI CHAMA CHA WAHUNI