Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Tunajua Chadema ipo kwa hatua za mwisho kusambaratika na hatimaye kufa kabisa kuelekea October 2020
Chadema hii ipo kwenye uoga wa kukataliwa na Wananchi kwenye boksi la kura
Wanachokifanya kwa sasa wanatumia njia ya kuwagombanisha viongozi wetu
Kwa kuwa Makonda ameifuta Chadema dar es salam makamanda wamejawa na mihemuko wanajua ruzuku haitakuwepo tena Chadema
Wanataka wamtumie Waziri Mkuu kukugombanisha wewe na makonda usikubali waambie waache uhuni wa kisiasa
Na makonda ameshawajulia hawa makamanda anawakimbiza ile mbaya, naomba Uchaguzi Mkuu unaokuja makonda aendelee kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar ili ahitimishe maziko
Sisi Watanzania tuliowengi raha yetu ni kuona tunakuwa na chama cha upinzani chenye tija kwa Taifa lakini sio hawa wanaojiita makamanda
Tunakuomba pia makonda usiwalegezee kamba hawa makanjanja wa kisiasa, tunataka October 2020 Dar iwe ya kijani
Tunataka kuanzia posta hadi bagamoyo, posta hadi kibaha posta hadi mbagala rangi za Ccm zipepee Tumechoka kuona rangi za chama kingine
Tuipende Tanzania
Chadema hii ipo kwenye uoga wa kukataliwa na Wananchi kwenye boksi la kura
Wanachokifanya kwa sasa wanatumia njia ya kuwagombanisha viongozi wetu
Kwa kuwa Makonda ameifuta Chadema dar es salam makamanda wamejawa na mihemuko wanajua ruzuku haitakuwepo tena Chadema
Wanataka wamtumie Waziri Mkuu kukugombanisha wewe na makonda usikubali waambie waache uhuni wa kisiasa
Na makonda ameshawajulia hawa makamanda anawakimbiza ile mbaya, naomba Uchaguzi Mkuu unaokuja makonda aendelee kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar ili ahitimishe maziko
Sisi Watanzania tuliowengi raha yetu ni kuona tunakuwa na chama cha upinzani chenye tija kwa Taifa lakini sio hawa wanaojiita makamanda
Tunakuomba pia makonda usiwalegezee kamba hawa makanjanja wa kisiasa, tunataka October 2020 Dar iwe ya kijani
Tunataka kuanzia posta hadi bagamoyo, posta hadi kibaha posta hadi mbagala rangi za Ccm zipepee Tumechoka kuona rangi za chama kingine
Tuipende Tanzania