Uchaguzi 2020 CHADEMA mnatambua wazi mtashindwa Uchaguzi, mmebakiza kuleta visingizio visivyo na mashiko

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
8,708
5,711
Hili halina ubishi wowote kuwa

CHADEMA mnajifaragua kushiriki uchaguzi ili kuua soo. Lakini ukweli ni kwamba mnajua mnapigwa kipigo cha mbwa mtu kwenye box la kura.

Na baada ya kutambua haya mmebaki kuwa watu wa kujiliza kama mtoto anayelilia toy ili hali anajua wazazi wake hawana uwezo wa kununua. Nasema hivi sababu mnatambua fika wananchi hawana mvuto tena na chama chenu na hamkubaliki. Na sasa mmebaki.kuwa watu wa kuibua visingizio kuwa NEC inawaonea, mara Tbc wanawabania.

Kama msimamizi wa uchaguzi amemuengua mgombea wenu mtupatie sababu alizotoa na kama kuna uwezekano mfuate taratibu na kukata rufaaa. Lakini msitutishe na kutueleza eti NEC wanahatalisha amani.

Sasa hivi mmeanza kuongea pumba za kipuuzi ambazo zinawashushia heshima na kama mnabusara msinngeshiriki huu uchaguzi kabisa. Mgombea wenu anatia aibu kusema anaona barabara zinajengwa na anakubali ni barabara za kiwango kama alikokuwa anakaa Ubelgiji,lakini anasema kuna watu walibomolewa nyumba zao kupisha ujenzi na sasa wanakaa mbali na mji. Sasa yeye kama mwanasheria hajui kuwa walikuwa kwenye hifadhi ya barabara?

Anasema atawalipa fidia waliofukuzwa kwa kufoji vyeti. Yaani mnataka kutuambia anasapoti watu kufanya makosa ya jinai. Tena ambayo yapo wazi?

Kwa ufupi tu ni kuwa mwaka huu ni uchaguzi ambao CCM inaenda kushinda kwa ulaini sana. Na hii ni sababu upinzani umekosa credibility ya kuikosoa CCM. Maana hamna cha kuikosoa mkisimama majukwaani zaidi ya kulalama na kutoa tuhuma za kizushi.

Kama kudai NEC wanataka kuhatarisha amani na kutaka kuwaingiza watanzania mkenge ili wajiingize kwenye ghasia zisizo na kichwa wala miguu.

Bahati nzuri watanzania wameshawajua na wanawasikiliza kwa umakini na hamna atayefuata ushauri wa kipuuzi mnaoutoa.
 
Uchaguzi umegeuka wa kutafuta bingwa wa kujaza form kwa ufasaha na si kutafuta mwakilishi wa wananchi,what a shame!
NEC wanapitisha watu bila kupingwa,nafasi yetu wapiga kura iko wapi?Yaani NEC ndio ituchagulie mbunge au diwani?Uhuni huo!!!
 
Chama pendwa!
Egmtp-WWoAE_XGt.jpg
 
CCM hawaendi na wakati wanatumia mbinu za kishamba sana kuwahujumu wapinzani kwa sasa CCM ni chama cha kishetani na na hovyo mno
Kujaza fomu ni sehemu ya uchaguzi. Kama wagombea wenu wana akili zilizojaa minyoo unategemea nini?
 
PoliCcm au TumeCcm? Ndio upuuzi mliobakiza kusingizia. Mfano huyo wa ubungo ameenguliwa. Tuambieni msimamzi ametoa sababu gani na mkate rufaa. Sio kulalama kama hamna akili.
Wewe mwenyewe huna Akili hata za kufulia bukta yako ndiyo maana mapungufu ya CCM unayaita upuuzi, huoni kuwa wewe binafsi ndiyo mpuuzi kwa kupuzia malalamiko ya wapinzani kwa makusudi ya kishamba.
 
Wewe mwenyewe huna Akili hata za kufulia bukta yako ndiyo maana mapungufu ya CCM unayaita upuuzi, huoni kuwa wewe binafsi ndiyo mpuuzi kwa kupuzia malalamiko ya wapinzani kwa makusudi ya kishamba.
Hii nchi inaongozwa kwa misingi ya katiba na sheria. Kama mtu umeonewa kata rufaa. Sio kutishia watu eti mtamwaga damu.
 
Magufuli hana chochote kipya cha kuahidi, na hata akiahidi itakuwa ni uongo na hataweza kutekeleza. Ifahamike Magufuli ana miradi miwili ya 15t+. Na hakuna mradi wowote uliofika robo. Kama ameshaweka hela kwenye hiyo miradi miwili, basi ni chini ya 7t tena za mkopo. Ni wapi anaenda kupata 10t kwenye miaka yake mitano ili kumalizia hiyo miradi, na wakati huo huo ataoe ahadi ya kuongeza mishahara?

Tujiandae kuongezewa kodi zaidi, na wakati huo huo ni lazima yeye na wanaccm wenzake wachezee katiba ili aongezewe muda wa kukaa madarakani, maana hana uwezo wa kumalizia hiyo miradi miwili ndani ya miaka mitano, iwapo tume isiyo huru ya uchaguzi itamtangaza.
 
Wabuta Bangi tokea gheto kwa cyprian Musiba na Le mutuz wameamka tujiandae kuletewa usumbufu mitandaoni badala ya hoja za msingi
 
Wabuta Bangi tokea gheto kwa cyprian Musiba na Le mutuz wameamka tujiandae kuletewa usumbufu mitandaoni badala ya hoja za msingi
Ngoja tuone kama wananchi wenye akili watampa Lissu kura . Maana anatetea waliofoji vyeti na anataka watu wajenge kwenye hifadhi za barabara.
 
Magufuli hana chochote kipya cha kuahidi, na hata akiahidi itakuwa ni uongo na hataweza kutekeleza. Ifahamike Magufuli ana miradi miwili ya 15t+. Na hakuna mradi wowote uliofika robo. Kama ameshaweka hela kwenye hiyo miradi miwili, basi ni chini ya 7t tena za mkopo. Ni wapi anaenda kupata 10t kwenye miaka yake mitano ili kumalizia hiyo miradi, na wakati huo huo ataoe ahadi ya kuongeza mishahara? Tujiandae kuongezewa kodi zaidi, na wakati huo huo ni lazima yeye na wanaccm wenzake wachezee katiba ili aongezewe muda wa kukaa madarakani, maana hana uwezo wa kumalizia hiyo miradi miwili ndani ya miaka mitano, iwapo tume isiyo huru ya uchaguzi itamtangaza.
Unahangaika nini? JNHPP inakamilika soon. Sgr kutoka Dodoma mpaka mwanza ni kitengeneza tuta tu. Kazi ngumu ilikuwa Dar to Moro.
 
Magufuli hana chochote kipya cha kuahidi, na hata akiahidi itakuwa ni uongo na hataweza kutekeleza. Ifahamike Magufuli ana miradi miwili ya 15t+. Na hakuna mradi wowote uliofika robo. Kama ameshaweka hela kwenye hiyo miradi miwili, basi ni chini ya 7t tena za mkopo. Ni wapi anaenda kupata 10t kwenye miaka yake mitano ili kumalizia hiyo miradi, na wakati huo huo ataoe ahadi ya kuongeza mishahara? Tujiandae kuongezewa kodi zaidi, na wakati huo huo ni lazima yeye na wanaccm wenzake wachezee katiba ili aongezewe muda wa kukaa madarakani, maana hana uwezo wa kumalizia hiyo miradi miwili ndani ya miaka mitano, iwapo tume isiyo huru ya uchaguzi itamtangaza.
Ununuzi wa Ndege kwa cash kuna 10% ufisadi wa wajanja wachache kwenye miradi yote mikubwa kuna ufisadi kila mradi kuna kasoro kibao kwenye SGR wamechukua pesa zote wamepeleka kwenye kampeni ujenzi wa reli unasuasua hakuna malipo, wananchi wanajua maendeleo siyo Hisani za CCM, maendeleo siyo pesa binafsi za mtukufu magufuli, wanajua kuwa maendeleo ni pesa za walipa kodi watanzania wote bila kujali itikadi. CCM hawana cha kujivunia zaidi ya kubuni mbinu za kuwahujumu wapinzani.
 
Ununuzi wa Ndege kwa cash kuna 10% ufisadi wa wajanja wachache kwenye miradi yote mikubwa kuna ufisadi kila mradi kuna kasoro kibao kwenye SGR wamechukua pesa zote wamepeleka kwenye kampeni ujenzi wa reli unasuasua hakuna malipo, wananchi wanajua maendeleo siyo Hisani za CCM, maendeleo siyo pesa binafsi za mtukufu magufuli, wanajua kuwa maendeleo ni pesa za walipa kodi watanzania wote bila kujali itikadi. CCM hawana cha kujivunia zaidi ya kubuni mbinu za kuwahujumu wapinzani.
Hizo 10% za kuhisi au unao ushahidi? Una uhakika pesa ya Sgr imepelekwa kwenye kampeni? Au unaharisha maneno kama umekunywa konyagi na kula bangi.
 
Back
Top Bottom