Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,155
- 30,833
semeji na kiongozi wa no reform no electionsUyu kwenye picha nani???

semeji na kiongozi wa no reform no electionsUyu kwenye picha nani???

No reform No electionsemeji na kiongozi wa no reform no elections![]()
wamemchukua mdude na soka,Mzee Kibao....nk,,,, Nini kitatuuma zaidi ?''Wakitaka walihamishie zanzibar wasitubabaishe
CCM ambacho ndio chama Dola Mara kwa Mara na kwa miaka Sasa mmetekeleza hilo jukumu. Nyingi CCM ni ADUI ya ukweli muda huu GWAJIMA anaonekana mbaya.Naona unaweka siri zenu hadharani... wangapi mmeshawa-silence hadi muda huu?
Hakuna, ruzuku wamechukua,chama wamekofungia kufanya mikutano, sasa sijui wanataka nini tenawa
wamemchukua mdude na soka,Mzee Kibao....nk,,,, Nini kitatuuma zaidi ?''
Hujajibu swali. Dr fikiri kabla ya ku-commentCCM ambacho ndio chama Dola Mara kwa Mara na kwa miaka Sasa mmetekeleza hilo jukumu. Nyingi CCM ni ADUI ya ukweli muda huu GWAJIMA anaonekana mbaya.
Ile siku Hoyece KOLIMBA alipo SEMA CCM imepoteza dira na mkamwita DODOMA akafariki kifo Cha utata kwenye mahojiano.
Unaujua Prof. KIGHOMA MALIMA unajua Nini kilimpata huyu mwanasiasa alipo enda kinyume na CCM ?
Kwa kumalizia,
Wapi mmewapeleka mdude, soka, kaswahili,Ben saanane, azoli gwanda, mashehe mbali mbali.
Ikimaanisha mbowe alikuwa ni wakala wa ccm na sio mpinzani halisi.Mbowe asikubali kunyang'anywa chama hadi mali zake alizopigana kuzipata...
Mmeumizwa sana baada ya mtu wenu kukosa uenyekiti🐵🐵🐵 mmeumizwa zaidi baada yakuona No reform No Election inaungwa mkono na wananchi🐒🐒🐒mnaumia zaidi baada yakumuweka TAL kolokoloni halafu CDM bado mwendo mdundo jueni yakua nivigumu sana kushindana na mipango ya Mungusemeji ana sauti nzuri sana aise![]()
Walikopa kwa nani? Hilo jengo ni mali halali ya CHADEMA na hakuna mahali CHADEMA inadaiwa!La kwao ? Mkopo huo
Marejesho uongozi uliopo haurejeshi marejesho
😁 Kuna njia tatu za kujibu swali , unazijua? Moja ni Swali kwa swali, mbili ni swali kwa maelezo na ya tatu swali kwa mkato.Hujajibu swali. Dr fikiri kabla ya ku-comment
Chama siyo jengo wala ukubwa au uzuri wa jengoChadema jiandaeni mapema wenzenu hawatanii tena, mali zenu zitakua seized na watapewa hao wengine. Ukweli huu mtauchukia lakini mtakutana nao
Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.
Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.
View attachment 3364286
Shida sio eti muhuni, shida viongozi waliwekwa maguvu jalo, akili kisoda!Chadema jiandaeni mapema wenzenu hawatanii tena, mali zenu zitakua seized na watapewa hao wengine. Ukweli huu mtauchukia lakini mtakutana nao
Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.
Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.
View attachment 3364286
Aaaaah, ha ha ha ha unavyoapa utadhani unijua hata vita zaidi ya kuangalia movie za Rambo, we jichanganye uone moto!Mahali tumefikia hata wakitaka kuchukua vyote wachukue lakini ole wao wathubutu kuifuta CHADEMA walahi kwa mara ya kwanza ndiyo watashuhudia Taifa likuwaka moto mchana wa saa nane na hawata amini .
Jengo kitu gani bhana , hata mchango wa buku bukutu tunauwezo wa kuyajenga matatu kama hayo.
Tunachokijua nikwamba Lissu amekaza wanainji ndiyo huwaambii kitu .
Kwanza wanatucheleweshea ,wakitaka kuchukua wachukue hata kesho , mzigo uendelee site .
No Reforms No Election
Kabisa linapendeza Sana na rangi zake hizo daahIla chadema wana jengo zuri 🔥
Mbona mapema sana leokinyonge sana gentleman dah!,
halafu umesahau hashtag![]()