CHADEMA jengo lenu la Makao Makuu litachukuliwa?!!

CHADEMA jengo lenu la Makao Makuu litachukuliwa?!!

Muache kuua watu
Ivi kwa akili ndogo ya mtu asiye na ELIMU yeyote LAYMAN.

Ivi una apparatus tools ZOTEEE una jeshi una resources ZOTEEE unashindwa kutambua uharifuuu kweli??
EMBU waleteni SCOTLAND YARD muone mnavyo haibikaa..

CCM ndio janga ukiondoa UJINGA, UMASKINI NA MARADHI.. Nyinyi ndio mmesababisha majanga yootee
 
Ivi kwa akili ndogo ya mtu asiye na ELIMU yeyote LAYMAN.

Ivi una apparatus tools ZOTEEE una jeshi una resources ZOTEEE unashindwa kutambua uharifuuu kweli??
EMBU waleteni SCOTLAND YARD muone mnavyo haibikaa..

CCM ndio janga ukiondoa UJINGA, UMASKINI NA MARADHI.. Nyinyi ndio mmesababisha majanga yootee
Kauli yako kuwa watu wanyamazishwe milele inakubana. Dr wa mchongo jifunze ku-comment bila mihemko.
 
Kauli yako kuwa watu wanyamazishwe milele inakubana. Dr wa mchongo jifunze ku-comment bila mihemko.
Kama mnavyo wanyamazisha watanzania werevu ambao wamekua wakiwapa wasiwasi wa matumbo yenu na wanao watuma.. Still unatetea ujinga kichwani mwako umejaza kujipendekeza, ubwege,uzandiki,usakatonge na ujinga.

Ukisema Mimi doctor wa mchongo MANENO YAKO SIO TRAFFIC LIGHT 🚦 HIVYO HAYANISIMAMISHI KWENYE JAM.
 
Chadema jiandaeni mapema wenzenu hawatanii tena, mali zenu zitakua seized na watapewa hao wengine. Ukweli huu mtauchukia lakini mtakutana nao

Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.

Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.
View attachment 3364286
Amejenga Mbowe huyo mnyaturu jinga ataifanya chadomo maskini wa kutupwa
 
Kama mnavyo wanyamazisha watanzania werevu ambao wamekua wakiwapa wasiwasi wa matumbo yenu na wanao watuma.. Still unatetea ujinga kichwani mwako umejaza kujipendekeza, ubwege,uzandiki,usakatonge na ujinga.

Ukisema Mimi doctor wa mchongo MANENO YAKO SIO TRAFFIC LIGHT 🚦 HIVYO HAYANISIMAMISHI KWENYE JAM.
Dr uliandikiwa na mtu comment yako ya kutaka watu wauwawe?
 
Chadema jiandaeni mapema wenzenu hawatanii tena, mali zenu zitakua seized na watapewa hao wengine. Ukweli huu mtauchukia lakini mtakutana nao

Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.

Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.
View attachment 3364286
Sii ajabu,kwani wanaohujumu hiki chama cha kizalendo wana wivu,mwingi na hasira juu ya hiki chama cha kizalendo na mkombozi tarajiwa dhidi ya makucha ya mkoloni mweusi wa ccm.
 
Sii ajabu,kwani wanaohujumu hiki chama cha kizalendo wana wivu,mwingi na hasira juu ya hiki chama cha kizalendo na mkombozi tarajiwa dhidi ya makucha ya mkoloni mweusi wa ccm.
Muungano ufe Tanganyika idai uhuru wake
 
Back
Top Bottom