Na huko chauma muda si mrefu wataumiaLa kwao ? Mkopo huo
Marejesho uongozi uliopo haurejeshi marejesho
Wenye pesa waliokuwa wakilipa marejesho wameeenda CHAUMMA
Na huko chauma muda si mrefu wataumiaLa kwao ? Mkopo huo
Marejesho uongozi uliopo haurejeshi marejesho
Wenye pesa waliokuwa wakilipa marejesho wameeenda CHAUMMA
Watu wanatoa mpaka uhai wa wa wati, wala sishangai wakichukua jengo.Chadema jiandaeni mapema wenzenu hawatanii tena, mali zenu zitakua seized na watapewa hao wengine. Ukweli huu mtauchukia lakini mtakutana nao
Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.
Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.
View attachment 3364286
Wakitaka walihamishie zanzibar wasitubabaisheWaache walichukue tutapata lingine inshallah
Kama wewe ulivyo mzuri kumbe ni 🌈uzuri haukosi kasoro gentleman![]()
calm down,Kama wewe ulivyo mzuri kumbe ni 🌈

Tena bora kuliko hili, mtaji ni watuWaache walichukue tutapata lingine inshallah
Uyu kwenye picha nani???semeji ana sauti nzuri sana aise![]()
Haya machadema wayakabie kwa juu huku hukuChadema jiandaeni mapema wenzenu hawatanii tena, mali zenu zitakua seized na watapewa hao wengine. Ukweli huu mtauchukia lakini mtakutana nao
Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.
Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.
View attachment 3364286
Ona nyumbu hii imechanganyikiwa baada ya kupigwa tone tone.Chadema jiandaeni mapema wenzenu hawatanii tena, mali zenu zitakua seized na watapewa hao wengine. Ukweli huu mtauchukia lakini mtakutana nao
Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.
Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.
View attachment 3364286
Issue nyepesi Wana mabadiliko wamtafute said issa Mohamed na wenzake wawili wawa toe ndagu/ kafara ama wawasomee albadili /wawatumie jini kipande.Chadema jiandaeni mapema wenzenu hawatanii tena, mali zenu zitakua seized na watapewa hao wengine. Ukweli huu mtauchukia lakini mtakutana nao
Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.
Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.
View attachment 3364286
Mkuu si ndoto, Mbowe si wa kuamini. Pengine yanayoendelea ni visasi.Ndoto za Alinacha hizo ,haya yote ni kwa muda tu ,lakini yatapita
Basi CHAUMMA ni ideology boraUpinzani sio chama Upinzani ni ideology inayoishi ndani ya watu
Chauma ni nan hao?Basi CHAUMMA ni ideology bora
Naona unaweka siri zenu hadharani... wangapi mmeshawa-silence hadi muda huu?Issue nyepesi Wana mabadiliko wamtafute said issa Mohamed na wenzake wawili wawa toe ndagu/ kafara ama wawasomee albadili /wawatumie jini kipande.
Ama watumie mkono mrefu wa chama kuhakikisha Wana be selenced forever ""ELEWA NENO TO BE SILENCED FOREVER """
In short Wana mabadiliko/ mageuzi tunalaani na kukemea kwa uzito mkubwa Sanaa UCHUNGU HASIRA na MAUMIVU MAKUBWA KITENDO CHA KUZUIA SHUGHULI ZA CHAMA CHA CHADEMA..
Hakika mbona tulipanga ufipa miaka kibao tuWaache walichukue tutapata lingine inshallah