City Thunder OKC
JF-Expert Member
- May 4, 2025
- 6,097
- 12,013
Chadema jiandaeni mapema wenzenu hawatanii tena, mali zenu zitakua seized na watapewa hao wengine. Ukweli huu mtauchukia lakini mtakutana nao
Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.
Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.
Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.
Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.

