CHADEMA jengo lenu la Makao Makuu litachukuliwa?!!

CHADEMA jengo lenu la Makao Makuu litachukuliwa?!!

City Thunder OKC

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2025
Posts
6,097
Reaction score
12,013
Chadema jiandaeni mapema wenzenu hawatanii tena, mali zenu zitakua seized na watapewa hao wengine. Ukweli huu mtauchukia lakini mtakutana nao

Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.

Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.
20250611_115539.jpg
 
Chadema jiandaeni mapema wenzenu hawatanii tena, mali zenu zitakua seized na watapewa hao wengine. Ukweli huu mtauchukia lakini mtakutana nao

Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.

Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.
View attachment 3364286
Ndoto za Alinacha hizo ,haya yote ni kwa muda tu ,lakini yatapita
 
Chadema jiandaeni mapema wenzenu hawatanii tena, mali zenu zitakua seized na watapewa hao wengine. Ukweli huu mtauchukia lakini mtakutana nao

Mlisema yule mzee ana busara, ni kiongozi mara ni kamanda wa anga lakini kwa sasa hivi ameamua kuwaonyesha rangi halisi baada ya kumuondoa kwenye biashara yake ya siasa. Huyo mzee ni mhuni na tapeli wa siasa mkubwa sana mlichelewa kujua, mshukuruni Lissu.

Baada ya jengo la mikocheni jiandaeni na magari pia kuchukuliwa.
View attachment 3364286
Kwamba unalichukua uwape Zanzibar? Kesi uchwara inataka nini na wewe unauliza nini?
 
Back
Top Bottom