CHADEMA itakufa kwa sababu hizi, sio propaganda

Matatizo ndo hukikomaza chama. Naomba viongozi wetu wa cdm na wapenzi wa cdm na wapenda mabadiliko kiujumla watambue kuwa ukombozi wa taifa letu sio jambo dogo.ccm watatumia kila njia kuhakikisha wanabaki madarakani iwe halali au haramu. Cha msingi mshikamano daima ndo silaha yetu.
 
kuhusu vyombo vya habari kununuliwa hilo halina ubishi, ndo maana tunashauri viongozi wa chadema waanzishe media zao kama tv,redio na gazeti hii itasaidia kuweka mambo sawa na kuondoa hizo propaganda kwa wananchi.

nakubaliana na wewe kabisa, hili halina ubishi, tena nawaombea kwa Mungu ikifika 2013 wapate fedha wafungue TV ya nguvu ambayo itatumika bila mizengwe ya nyinyiemu
 
kwahali iliyokwisha kufikiwa chadema haiwezi kufa labda kupungua nguvu.
Chama ni wanachama na kuwanunua wanachama wote siyo jambo rahisi kama tunavyoliona pia kunamambo ya maslahi ndani yake kwa maana Employment.
sasa hivi kunawatu wameajiriwa na Chadema sidhani kama watakuwa tayari kupoteza ajira yao.
hivyo jamaa zangu msihangaikie kufa kwa Chama tuhahangaikie kuhakikisha Demokrasia ndani ya Vyama hivi vya siasa ina imalika kwa faida yetu na vizazi vijavyo.
Kinachotakiwa wananchi wapate elimu yakutosha kuhusu muundo huu wa Siasa (vyama vingi) ambao ndiyo pekee uliobaki dunia unaoweza kutupeleka kwenye maendeleo lakini rushwa ndani ya vyama hivi ndiyo tatizo kubwa katika maendeleo ya Demokrasia nchini kwetu.
Kwa sababu hawapatikani viongozi madhubuti wengi wanaingia kwa kutumia rushwa jambo hili ni hatari kubwa katika uchumi wetu.
 
Back
Top Bottom