Mi mwenyewe nilijua tu Chadema lazima ife. Sasa leo imeanza kuthibitika.
Chadema hamna jeuri ya kuingia msituni. Mtachanwachanwa hadi mfeeee
Chadema hamna jeuri ya kuingia msituni. Mtachanwachanwa hadi mfeeee
Bibie naona wawashwa asubuhi asubuhi njoo nikukune mie.Chadema hamna jeuri ya kuingia msituni. Mtachanwachanwa hadi mfeeee
Hii thread ni pasua kichwa sijawahi kukutana na uzi kama huu ambao hauna mwelekeo.
Mi mwenyewe nilijua tu Chadema lazima ife. Sasa leo imeanza kuthibitika.
tatizo kubwa CDM ilipata nguvu kutokana na wanachama WAASI wa CCM.Walitumia CHADEMA kupambana na chama chao.Sasa hivi mapambano yanafifia kwani wanajiandaa kwa uchaguzi 2015.Hivyo CDM ilikuwa CCM B. Ndio maana CDM imesinyaa kwa kasi ya ajabu kwani majeshi ya kukodiwa yanarudi nyuma taratibu.
Sikubaliani
na wewe ,
cdm imekubaliana na ccm ? Au kuna mwana cdm amekubaliana na ccm au kuna
mwana ccm amekubaliana na cdm ? Huna ushahidi , shortly ni kwamba
hakuna cha rais ( mdundiko ) a.k.a mswahili wala mzungu , tunachotaka ni
kuing'oa ccm yote na mabawa yake basi ! Hatujawahi wala hatutarajii
kufanya makubaliano nao .
Mi mwenyewe nilijua tu Chadema lazima ife. Sasa leo imeanza kuthibitika.