Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,536
- 30,605
Tena kapotea sana usikute kaanzisha Uzi akiwa baa.Nimemuambia leo kachemsha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena kapotea sana usikute kaanzisha Uzi akiwa baa.Nimemuambia leo kachemsha.
Ni mawazo yangu niombe radhi kutoa maoni yangu,
Lowassa na Duni waligombea wenyekiti?
Kwahiyo nafasi ya uenyekiti wa chama ni nyeti kuliko ya urais wa nchi ?Ni mawazo yangu niombe radhi kutoa maoni yangu,
Lowassa na Duni waligombea wenyekiti?
Mimi ndiye niliyeanzisha sijalazimisha mtu kuchangia, asipochangia yeye atachangia mwingine na mimi siyo mgeni humu sijawahi kumuita mtu aje kuchangia.Kwahiyo kama tumedandia mada ulitaka uanzishe mada uchangie peke yako tu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo nafasi ya uenyekiti wa chama ni nyeti kuliko ya urais wa nchi ?
Basi sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kunijua then? unachotakiwa ni kuchangia ukichoka unaenda kupumzika.Sikuwahi kujua kama huyu jamaa ni mwepesi kiasi hiki. Nilimuoverate.
Hata nafasi ya baba mwenye nyumba ni nyeti kwenye familia yake.Kwahiyo nafasi ya uenyekiti wa chama ni nyeti kuliko ya urais wa nchi ?
Basi sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Point yako ni moja tu unataka Mbowe aachie madaraka kwa vile kakaa muda mrefu, umeeleweka.Leo brother utalala na viatu, hutaki mimi nijadili nje ya Mbowe, lakini yoyote akijadili unahusisha na nafasi ya uenyekiti!!
Nimekuelewa, nilikuwa nawakumbusha historia ya Chadema watu walioanza kusema kwa ujio wa ACT Chadema inakwenda kufa.Mkuu usiwe loyal kwa chama chochote, kuwa loyal kwa UPINZANI
Tunahitaji Chadema na vyama vingine vya upinzani viunganishe nguvu ili kuing'oa CCM fullstop!.
Kinachotokea leo ACT, ni mkondo wa umeme tu kutoka CUF ya zamani kutafuta waya mwingine wa kupita na hivyo kupitia ACT lakini upinzani ni ule ule.
leo hii hata kama ACT itafanyiwa figisu, mkondo uleule utakwenda kupitia kwa CHAUMA ya Hashim Rungwe!.
Tindo, naona hutaki kuelewa ninachokieleza.Mali ngapi za Mbowe zimevurugwa na hana lolote alilofanya? Ukiniambia viongozi wa cdm hakuna anayetaka kugombea uwenyekiti nitakuelewa lakini sio kwamba Mbowe ndio mwenye uwezo kulingana na wakati wa sasa
Maneno haya yametoka wapi? "Mbowe ndio anayefaa tu kwenye uenyekiti".Kama cdm ni taasisi basi utetezi wa kwamba Mbowe ndio anayefaa tu kwenye uenyekiti ni utani wa mchana kweupe.
Tutofautishe kumtetea Mbowe na kukitetea chama.Siku tutakayokubaliana kwamba Mbowe anapaswa kuwajibika kama kiongozi mkuu wa chama kwa upuuzi alioufanya 2015, chama kitapiga hatua kubwa sana.
Tuendelee tu kumtetea na kumkingia kifua kwa kusababisha chama kimpoteze Katibu mkuu mwenye ushawishi DR Slaa mwenyewe.
Nguo ikichafuka dawa yake siyo kuitupa ni kuisafisha hatuwezi kujua hata kuondoka kwa Lowassa inawezekana ni njia mojawapo ya kukisafisha chama.True kwa hakika Chadema uchaguzi wa 2015 kilijipaka shombo chenyewe kiasi cha kuanza kupoteza mwelekeo.
Kwa hili top leadership ya chama inapaswa kubeba lawama na kuanza kushughulikia makosa yake la sivyo kutaendelea kuonekana ombwe ambalo ACT wanaanza kulitumia kujijenga
Sent using Jamii Forums mobile app
Lowassa hakuletwa Chadema na Mbowe, tunavyojua tangu mwanzo Mbowe alikataa lkn kwa kuheshimu maamuzi ya kamati ilibidi akubaliMleta uzi uko sahihi sana kuhusu cdm. Ila cdm 2015 ilituangusha sana kwa tamaa ya viongozi wachache kukubali kuchukua asali ya Lowassa na kumpa nafasi adhimu mzee toka ccm aliyetaka urais tu bila kujali chama. Lile ni kosa la wazi na kubwa sana kufanywa na taasisi. Sikutegemea taasisi kubwa kama cdm ingeweza kufanya maamuzi mazito kwa kuchukua mgombea ambaye hata Mimi nisiyejua siasa nilijua kabisa ni kosa la dhahiri. Kwa kosa lile ni dhahiri Mbowe anapaswa kuachana na uenyekiti na kumuachia mtu mwingine ili tuanze upya.
Halafu cheo muhimu cha katibu mkuu ndani ya cdm kimepwaya mno kiasi kwamba kuendelea kuwa na katibu mkuu kama huyo ni kosa kubwa. Kwa sasa tunapaswa kuwa na katibu mkuu mtu kama Heche au Marcos Albanie. Huyo katibu mkuu wa sasa kachangia kuifubaza sana cdm.
Hilo watu hawalijui.Lowassa hakuletwa Chadema na Mbowe, tunavyojua tangu mwanzo Mbowe alikataa lkn kwa kuheshimu maamuzi ya kamati ilibidi akubali
Ulimsikia MBOWE akisema hatoki kwenye ueNYEKITI?Hapa ndipo hasa ninapomuambia Quinine, sio mara moja au 2 kwenye nyuzi mbali mbali nimekuwa nikisema ni muda sahihi wa Mbowe kuachia kijiti kwa mwingine. Lakini amekuwa akigoma kwenye eneo hili japo tunakubaliana kwenye mengi. Nahisi huyu Quinine ndio Mbowe mwenyewe.