CHADEMA isiposhinda Urais 2015 itakufa

CHADEMA isiposhinda Urais 2015 itakufa

Tatizo lenu mnaompinga Dr Slaa hamna akili kabisa. Hivi ninyi mlifikiri mabadiliko yanaletwa kwa kuzungusha mikono?? Mabadiliko yanaletwa na watu makini wenye mikakati makini na sera makini sio kuzungusha mikono hewani kama wendawazimu. Hakuna mtu makini aliyebakia CHADEMA anayeweza kuleta Mabadiliko. Mabadiliko ya kweli sasa yanaletwa na mtu makini John Pombe Joseph Magufuli Rais Mpya wa Tanzania.
Sawa tuko mlangoni tunasubiri hata usipotumia nguvu kubwa kujibu hoja ndogo kama hiyo
 
Wakuu napenda kuomba wale wapiganaji MAKAMANDA halisi wa CHADEMA tuandae mapokezi makubwa kumpokea shujaa wetu mzee wetu kipenzi Dr W. Slaa atakaporudi kutoka safari yake ya Marekeni. Dr Slaa ameonyesha msimamo unaopaswa kuheshimiwa na kila mpenda maendeleo anayependa kupambana na ufisadi wa nchi hii. Tunaomba kwa yeyote mwenye taarifa lini shujaa wetu anatarajia kurudi atujuze ili tuweze kumwandalia mapokezi kwa kumkataa mwizi aliyejaribu kumhonga milioni 500 aliyepokewa na viongozi wa UKAWA. Na sasa wananchi wamesema hapana. Bado tuna imani kuwa Dr Slaa anaweza kutuletea mabadiliko ya kweli.

BABA UKIWA HUKO MAREKANI NAJUA UNAPITA HAPA JF, Pole kwa yote na tunaomba utusamehe kwa yaliyotokea kwaani tulishindwa kuwa na wewe wakati ukisurubiwa na mwenyekiti wetu, wakati ukidharirishwa na Mshenga wa ufufuo na uzima kwenye vyombo vya habari juu ya maisha ya familia yako, ukweli tulizidiwa na nguvu za mwenyekiti na mgombea urais. UTUSAMEHE.

Tunajua umekisaidia chama chetu kukifikisha hapa kilipo, tunatambua mchangoi wako kuwainua baadhi ya vijana kama akina Mnyika na wengine kuwa makamanda shupavu na shujaa, tunatambua madhara uliyoyapata ukipambana na dora kwa niaba ya chama, mfano ulipigwa wewe na mke wako na kuvunjwa mkono, na majuzi mlinzi wako alikamatwa kwa kuwa na mpango wa kukudhuru, hatutaki kuamini kama mpango ule kuwa ulikuwa umeandaliwa na waliotajwa, nafikiri unahitaji kuona mbali na kutambua adui zako. Tunapenda kukupa pole kwaani wali walinzi tulioambiwa uliletewa na mshenga walikuwa na program gani, lkn yote na yote MWENYEZI MUNGU ndiye anayepanga kila kitu.

Karibu tena Nyumbani tujenge nchi yetu, kwaani nchi hii ni yetu sote, nje ya CHADEMA NA UKAWA kuna maisha ya siasa. Hivyo hatuoni sababu ya kuachana na siasa wakati bado tunakuhitaji. Najua ulikuwa na maono ya kulitimikia taifa ukiwa kma Rais, lkn unaweza kulitumikia taifa kwa njia nyingine km kuanzisha chama cha siasa au kujiunga na kijana wako ZITTO mkaunganisha nguvu ili tukifute chama kilichokiuka misingi yake.

ALUTA CONTINUA.

Unaongea kama ulieshtuliwa na fisi! Mzee wako ww, alielaaniwa na kanisa, Mungu na hata shetani mwenyewe anamhanya na kishamlaani na yeye!!
 
Wakuu napenda kuomba wale wapiganaji MAKAMANDA halisi wa CHADEMA tuandae mapokezi makubwa kumpokea shujaa wetu mzee wetu kipenzi Dr W. Slaa atakaporudi kutoka safari yake ya Marekeni. Dr Slaa ameonyesha msimamo unaopaswa kuheshimiwa na kila mpenda maendeleo anayependa kupambana na ufisadi wa nchi hii. Tunaomba kwa yeyote mwenye taarifa lini shujaa wetu anatarajia kurudi atujuze ili tuweze kumwandalia mapokezi kwa kumkataa mwizi aliyejaribu kumhonga milioni 500 aliyepokewa na viongozi wa UKAWA. Na sasa wananchi wamesema hapana. Bado tuna imani kuwa Dr Slaa anaweza kutuletea mabadiliko ya kweli.

BABA UKIWA HUKO MAREKANI NAJUA UNAPITA HAPA JF, Pole kwa yote na tunaomba utusamehe kwa yaliyotokea kwaani tulishindwa kuwa na wewe wakati ukisurubiwa na mwenyekiti wetu, wakati ukidharirishwa na Mshenga wa ufufuo na uzima kwenye vyombo vya habari juu ya maisha ya familia yako, ukweli tulizidiwa na nguvu za mwenyekiti na mgombea urais. UTUSAMEHE.

Tunajua umekisaidia chama chetu kukifikisha hapa kilipo, tunatambua mchangoi wako kuwainua baadhi ya vijana kama akina Mnyika na wengine kuwa makamanda shupavu na shujaa, tunatambua madhara uliyoyapata ukipambana na dora kwa niaba ya chama, mfano ulipigwa wewe na mke wako na kuvunjwa mkono, na majuzi mlinzi wako alikamatwa kwa kuwa na mpango wa kukudhuru, hatutaki kuamini kama mpango ule kuwa ulikuwa umeandaliwa na waliotajwa, nafikiri unahitaji kuona mbali na kutambua adui zako. Tunapenda kukupa pole kwaani wali walinzi tulioambiwa uliletewa na mshenga walikuwa na program gani, lkn yote na yote MWENYEZI MUNGU ndiye anayepanga kila kitu.

Karibu tena Nyumbani tujenge nchi yetu, kwaani nchi hii ni yetu sote, nje ya CHADEMA NA UKAWA kuna maisha ya siasa. Hivyo hatuoni sababu ya kuachana na siasa wakati bado tunakuhitaji. Najua ulikuwa na maono ya kulitimikia taifa ukiwa kma Rais, lkn unaweza kulitumikia taifa kwa njia nyingine km kuanzisha chama cha siasa au kujiunga na kijana wako ZITTO mkaunganisha nguvu ili tukifute chama kilichokiuka misingi yake.

ALUTA CONTINUA.


Mwelezeni huyo SLAA kuwakwa mtindo walioutumia CCM kwa wizi uliobobea pamoja na yeye kuwaunga tela baada ya kupokea mshiko mzito! HATA yeye angeliingia kwenye kinyanganyiro yote yangebakia kuwa haya haya yaliyotokea asingeliweza kufikisha hata hizo wanazozusha za uongo kwa EL! Na asingelishinda kabisa pia kwani hawa wanaojiita washindi ni wapiga dili la namba sana miaka na miaka! na sasa yuko bwana mdogo JM ambaye ana roho ya ajabu haielezeki!!
 
Slaa anasubiria kupeewa uwaziri ndani ya serifkali iliyojiibia namba za ushindi. kweli na Slaa unaweza kukubali waTanznaia watakueona wa ajabu na usiewataakia mema!!
 
Upuuzi mtupu
12191538_729096997233816_5417925255415979988_n.jpg

teena yamekuwa hayo? Hahahahaaaaaaaaaaa
 
Dr. Slaa ni mkatoliki mwenzetu na wakatoliki ndio privilage group hapa tz lazima apewe mapokezi ya nguvu. Pengo nae atakuwepo tujitokeze kwa wingi

Hoja kama hizi c nzuri sana kuzizoea, nakushauri hata wewe achana nazo, usijitanabaishe kwa dini yako hasa unapoingiza suala la kisiasa, je wasio wa dini yako wasiwepo au!!!!!
 
Kama ni usaliti kwa wapenda mabadiliko ya kweli UKAWA waliufanya kwa kumkumbatia Lowasa. Na hili siyo tu limeondoa imani kwa vyama husika, bali kurudisha nyuma misingi mizuri ya upinzani. Pamoja na hayo hatuna budi kuanza upya.
 
Kama ni usaliti kwa wapenda mabadiliko ya kweli UKAWA waliufanya kwa kumkumbatia Lowasa. Na hili siyo tu limeondoa imani kwa vyama husika, bali kurudisha nyuma misingi mizuri ya upinzani. Pamoja na hayo hatuna budi kuanza upya.

Kwa nini Chadema wanakuwa na hasira sana ? Chama kinaendeshwa kwa ushawishi , sio kutueleza mambo ya kufikirika ! Chama kwa sasa hakina itikadi , CCM walipoanza kupiga vita ufisadi hata kwa kusema tu , tumewaelewa , Magufuri aliposema atayafunga majizi na fisadi ametukoga mioyo , hii ndio ilikuwa kete kubwa tuliyozoea kuisikia Chadema, sasa walipoiacha wakabaki kuzunguasha mikono tumewabwaga
 
Kumkataa fisadi moja kwa moja bila kubadilika ni ushujaa wake, kuisaidia CCM ndo alichemka!

Mkuu hivi alianzisha vipi mazungumzo ya kumleta mtu anaye mkataa? Amini nakwambia ujio wa Lowasa cdm siyo tatizo kwa Slaa bali kuchukuliwa kwa nafasi yake ya kupeperusha bendera ya cdm kwenye uchaguzi ulio pita.
 
Unapojaribu kujipofusha fikra unashangaza sana, hebu tuambie 2010 Chadema ilikuwa na wabunge wangapi? Mwaka 2010 Chadema ilikuwa na halmashauri ngapi na sasa halmashauri ngapi? 2010 chadema ilikuwa na madiwani wangapi na sasa wangapi? 2010 Chadema walipata % ya kura na sasa % ngapi? Katika mazingira haya ya uchaguzi upinzani umejitahidi sana has a ukitilia maanani yanayoendelea Zanzibar.

Mabadiliko hayo source sio lowassa,kimsingi lowassa ameleta mbwembwe na kafifisha mafanikio makubwa zaidi,vyama kuungana ndio chanzo cha hayo mabadiliko japo hayaendani na matarajio ya muungano.Lazma tukubali kama angesimama Slaa ambacho kingetokea ingekua ni zaidi ya hapo.Tatizo ni uroho wa pesa wa viongozi wa UKAWA.
 
Ati Dr Slaa amepoteza sifa? Labda kwa wachaga tu. Dr Slaa kwa sasa ndiyo shujaa. Mmebaki na kinyesi chenu kinachotaka matokeo ya kuchongwa na Mkorea. Byebye Chadema@Ukawa natabiri tu miaka mitano ijao kuna chama strong cha wazalendo kinakuja. Wapiga dili mmefikia mwisho.

Mpiga deal ni zitto
 
Si ndio huyu mlie mwita Dr.mihogo? Sasa naona hali imebadilika.
 
Back
Top Bottom