CHADEMA isiposhinda Urais 2015 itakufa

CHADEMA isiposhinda Urais 2015 itakufa

ni hoja nzuri kiongozi pokea bravo kwa kuakisi maendeleo ya cdm kwa mapana zaidi ya ushabiki.umekumbusha jambo la msingi hasa unaposema cdm inatakiwa kuwa na mikakati ya kutosha ili kukieneza chama kwa wananchi hata ikibidi kuwa vyombo vyake vya habari.
Hili suala la CHADEMA kuwa na vyombo vyake vya habari sijui linakwamishwa na nini? Hivi kweli inashindikana kuwa na radio kila mkoa? How much does it cost to run it? Najua TV linaweza kuwa ni suala kubwa mno, lakini Radio? Au kuongeza gazeti lingine zaidi ya hili la mwenyekiti wa chama? Wenzetu CCM wana Uhuru na Mzelendo na wana magazeti dada ya Jambo leo na Habari leo ambayo yote kwa pamoja yanafanya kazi ya kuiuza CCM? Sasa sisi tuna Tanzania daima pekee, tunashindwa nini kupata gazeti lingine la ziada? Ikiwezekana, la aina kama ya Kiu au Mwanasport ambalo tutaliuza kwa bei chee, ili limfikie kila mtu.
 
Ni jambo la busara kwa vyama vyote vinapoingia kwenye uchaguzi.....Kutegemea kushinda...huku kikijipanga vizuri kitakaposhindwa.......
 
unachosema ni kweli. Hata wanachama wanaweza kupungua. Jambo la muhimu sana ili chadema iendelee kuwa na nguvu hata kama ikiukosa urais ni kuhakikisha kunakuwa na viti vya kutosha bungeni. Angalau nusu kwa nusu na hapo cdm itakuwa na ahueni. Nasi wanachama tutakuwa na ahueni.
 
Mkuu, mi siyo mwana chadema ila nakubaliana na wewe kuwa huu ni wakati muhimu sana kwa chadema.
Advantage moja waliyonayo chadema ni kwamba, sioni uwezekano wowote wa ccm kupata mtu makini atakayeweza kuwa rais. Ingawa wanaweza kuwepo watu makini wanaoweza kubadilisha mambo, lakini ndani ya ccm hii ya sasa, ambayo ni bomu, hawawezi kupata hiyo nafasi ya kuwa rais. Kwa hiyo uwezekano wa chadema kusurvive hata ikishindwa 2015 bado ni mkubwa.
 
hilo neno kufa hapo halipo.. au lifute mwenyewe! haya maangalizo cjui ni ya nini.. NCCR-M, au CUF havjafa, vimedhoofu, kutokana na kukubal ndoa za mitara!
 
Mgonjwa mwengine huyo..jamaa wanasiasa za secondary hawa kazi kuitana makamanda vibaka nyie serious chadema mnaota ikulu kirahisi ivo kwa kipi?na lipi?ebu acheni maigizo
 
Hili suala la CHADEMA kuwa na vyombo vyake vya habari sijui linakwamishwa na nini? Hivi kweli inashindikana kuwa na radio kila mkoa? How much does it cost to run it? Najua TV linaweza kuwa ni suala kubwa mno, lakini Radio? Au kuongeza gazeti lingine zaidi ya hili la mwenyekiti wa chama? Wenzetu CCM wana Uhuru na Mzelendo na wana magazeti dada ya Jambo leo na Habari leo ambayo yote kwa pamoja yanafanya kazi ya kuiuza CCM? Sasa sisi tuna Tanzania daima pekee, tunashindwa nini kupata gazeti lingine la ziada? Ikiwezekana, la aina kama ya Kiu au Mwanasport ambalo tutaliuza kwa bei chee, ili limfikie kila mtu.
Mkuu wewe ni mmoja wa wana CHADEMA vichwa moto lakini vitupu.
Mnaangalia lakini hamuoni kitu.

Tangu lini chama chenu kikafanya jambo lolote positive na la maendeleo?
Hata wabunge wenu karibu wote ni wahamasishaji wa fujo, maandamano na migomo.

Sasa kama wewe kama kichwa ni kizuri kuliko hao kina Lema et al, nitajie jambo moja tu au mawili ya maendeleo yaliyoasisiwa na CHADEMA.
Sembuse kuanzishwa TV na redio?
Dont overrate CHADEMA, ni debe tupu la vijana frustrated kama nyie.
 
Mkuu wewe ni mmoja wa wana CHADEMA vichwa moto lakini vitupu.
Mnaangalia lakini hamuoni kitu.

Tangu lini chama chenu kikafanya jambo lolote positive na la maendeleo?
Hata wabunge wenu karibu wote ni wahamasishaji wa fujo, maandamano na migomo.

Sasa kama wewe kama kichwa ni kizuri kuliko hao kina Lema et al, nitajie jambo moja tu au mawili ya maendeleo yaliyoasisiwa na CHADEMA.
Sembuse kuanzishwa TV na redio?
Dont overrate CHADEMA, ni debe tupu la vijana frustrated kama nyie.
what do you mean Msopakyindi? Jambo positive na la maendeleo kwa nani? Kama siyo CHADEMA hivi katiba mpya ya nchi ingekuwa inaandikwa? Unataka jambo positive la namna gani? Hivi Tanzania kuna chama kinafanya siasa za kisomi kama chadema? Hata CCM haijawahi kuwa na creative movements kama za chadema. Mlijaribu ile ya vua gamba ikafa kabla ya utekelezaji. Sasa mna lipi jipya mnaloweza kulifanya linalowapa kiburi cha kuidharau CHADEMA?
 
Nazungumza kwa hisia kali sana na hasa baada ya kugundua tumepoteza muda sana wa kupigania chama dhidi ya mafisadi lakini bila ya manufaa yoyote.
Wana CHADEMA asilia tunatoa tamko hili;
TAMKO LA CHADEMA ASILIA NA MWENENDO WA KISIASA NCHINI.
1)Ni ukweli usiopingika kuwa tutakwenda kushindwa uchaguzi huu. Hivyo tujiandae kisaikolojia kukabiliana na matokeo hayo.
2) Tunahitaji kufanya mabadiliko mara baada ya uchaguzi kwa viongozi na makapi yote tuliyoyakaribisha ukawa.
3)Mara baada ya uchaguzi tutavunja rasmi UKAWA na kila chama kirudi kilipotoka na kujiunda upya.
4) Viongozi waliotuingiza kwwnye dili la kuwaleta ukawa ni lazima tuwachukulie hatua warudishe pesa walizopewa na tutawafukuza.
5) Tunakwenda kuwaomba Dr Slaa na Prof Lipumba warudi kuongoza jahazi. Kwani mwenyekiti bila wewe mambo yameshindikana. Hana fikra pevu.
6) Tutairudisha ajenda ya ufisadi mara baada ya mafisadi kusepa baada ya wao kumaliz mission yao.
7) Wote waliogeuka na ku support mafisadi tutawataka wajitatathmini na waachie ngazi kama hakuna maelezo ya kutosha
 
DR anarudi lini kuja kuongeza nguvu , hali ni mbaya sana kwa mgombea wetu. Ile press conf haikusaidia kitu kabisa, tunahitaji haraka msaada wake.
 
Nazungumza kwa hisia kali sana na hasa baada ya kugundua tumepoteza muda sana wa kupigania chama dhidi ya mafisadi lakini bila ya manufaa yoyote.
Wana CHADEMA asilia tunatoa tamko hili;
TAMKO LA CHADEMA ASILIA NA MWENENDO WA KISIASA NCHINI.
1)Ni ukweli usiopingika kuwa tutakwenda kushindwa uchaguzi huu. Hivyo tujiandae kisaikolojia kukabiliana na matokeo hayo.
2) Tunahitaji kufanya mabadiliko mara baada ya uchaguzi kwa viongozi na makapi yote tuliyoyakaribisha ukawa.
3)Mara baada ya uchaguzi tutavunja rasmi UKAWA na kila chama kirudi kilipotoka na kujiunda upya.
4) Viongozi waliotuingiza kwwnye dili la kuwaleta ukawa ni lazima tuwachukulie hatua warudishe pesa walizopewa na tutawafukuza.
5) Tunakwenda kuwaomba Dr Slaa na Prof Lipumba warudi kuongoza jahazi. Kwani mwenyekiti bila wewe mambo yameshindikana. Hana fikra pevu.
6) Tutairudisha ajenda ya ufisadi mara baada ya mafisadi kusepa baada ya wao kumaliz mission yao.
7) Wote waliogeuka na ku support mafisadi tutawataka wajitatathmini na waachie ngazi kama hakuna maelezo ya kutosha

Hivi huko ccm hakuna mafisadi? Vichwa vingine sijui vina maji tu au ubongo umechanganyikana na mafuta ya taa!
 
Jf
Nazungumza kwa hisia kali sana na hasa baada ya kugundua tumepoteza muda sana wa kupigania chama dhidi ya mafisadi lakini bila ya manufaa yoyote.
Wana Chadema asilia tunatoa tamko hili ;
TAMKO LA CHADEMA ASILIA NA MWENENDO WA KISIASA NCHINI.
1)Ni ukweli usiopingika kuwa tutakwenda kushindwa uchaguzi huu. Hivyo tujiandae kisaikolojia kukabiliana na matokeo hayo.
2) Tunahitaji kufanya mabadiliko mara baada ya uchaguzi kwa viongozi na makapi yote tuliyoyakaribisha ukawa.
3)mara baada ya uchaguzi tutavunja rasmi ukawa na kila chama kirudi kilipotoka na kujiunda upya.
4) viongozi waliotuingiza kwwnye dili la kuwaleta ukawa ni lazima tuwachukulie hatua warudishe pesa walizopewa na tutawafukuza.
5) tunakwenda kuwaomba Dr Slaa na Prof Lipumba warudi kuongoza jahazi. Kwani mwenyekiti bila wewe mambo yameshindikana. Hana fikra pevu.
6) tutairudisha ajenda ya ufisadi mara baada ya mafisadi kusepa baada ya wao kumaliz mission yao.
7) wote waliogeuka na ku support mafisadi tutawataka wajitatathmini na waachie ngazi kama hakuna maelezo ya kutosha
We gamba pumbav njaa inakusumbuaa tu ondoa takataka zako.
kama unanifanya ww ndy cdm asili sijui una machungu na chama nenda makao makuu kalalamike Nyangauu wee.
ndomana siku zote mnaishia kupewa kichapo tu...wee utabakiaa kulalamika kwenye keyboard tu..acha kuandika ungese usiyo kuwa na maana wote tunajua mmepewa helaa njaa kali tuuu.
na uchaguzi ikiisha tukishawachinja nyie subirini kushikishwa ukutaaaa tu...kazi mkatayo pewa ...stupid
 
ana wa kupigania chama dhidi ya mafisadi lakini bila ya manufaa yoyote.
Wana CHADEMA asilia tunatoa tamko hili;
TAMKO LA CHADEMA ASILIA NA MWENENDO WA KISIASA NCHINI.
1)Ni ukweli usiopingika kuwa tutakwenda kushindwa uchaguzi huu. Hivyo tujiandae kisaikolojia kukabiliana na matokeo hayo.
2) Tunahitaji kufanya mabadiliko mara baada ya uchaguzi kwa viongozi na makapi yote tuliyoyakaribisha ukawa.
3)Mara baada ya uchaguzi tutavunja rasmi UKAWA na kila chama kirudi kilipotoka na kujiunda upya.
4) Viongozi waliotuingiza kwwnye dili la kuwaleta ukawa ni lazima tuwachukulie hatua warudishe pesa walizopewa na tutawafukuza.
5) Tunakwenda kuwaomba Dr Slaa na Prof Lipumba warudi kuongoza jahazi. Kwani mwenyekiti bila wewe mambo yameshindikana. Hana fikra pevu.
6) Tutairudisha ajenda ya ufisadi mara baada ya mafisadi kusepa baada ya wao kumaliz mission yao.
7) Wote waliogeuka na ku support mafisadi tutawataka wajitatathmini na waachie ngazi kama hakuna maelezo ya kutosha[/QUOTE]
 
CCM Wameshajifia Imebaki kutapatapa tu...

Kosa lenu CCM Mlikata tawi mlilokalia kwa Kuigopa UKAWA.

Masikini kete/ Turufu Mliogopa kivuli chenu kwa kudanganywa na Kitengo.

Mlidanganywa na chuki binafsi za Viogozi wenu. Tulieni Mnyolewe Hakuna Namna Itawaokoa.
 
Watu kama akina Mnyika, Msigwa na wengine wa mfano wa hawa wangekaa kimya, wangerudi kama mashujaa baada ya uchaguzi, lakini wakaona heri wapate ubunge kwa kusimama upande wa waovu wakati hata uhakika wa kuupata huo ubunge hawana
 
Nazungumza kwa hisia kali sana na hasa baada ya kugundua tumepoteza muda sana wa kupigania chama dhidi ya mafisadi lakini bila ya manufaa yoyote.
Wana CHADEMA asilia tunatoa tamko hili;
TAMKO LA CHADEMA ASILIA NA MWENENDO WA KISIASA NCHINI.
1)Ni ukweli usiopingika kuwa tutakwenda kushindwa uchaguzi huu. Hivyo tujiandae kisaikolojia kukabiliana na matokeo hayo.
2) Tunahitaji kufanya mabadiliko mara baada ya uchaguzi kwa viongozi na makapi yote tuliyoyakaribisha ukawa.
3)Mara baada ya uchaguzi tutavunja rasmi UKAWA na kila chama kirudi kilipotoka na kujiunda upya.
4) Viongozi waliotuingiza kwwnye dili la kuwaleta ukawa ni lazima tuwachukulie hatua warudishe pesa walizopewa na tutawafukuza.
5) Tunakwenda kuwaomba Dr Slaa na Prof Lipumba warudi kuongoza jahazi. Kwani mwenyekiti bila wewe mambo yameshindikana. Hana fikra pevu.
6) Tutairudisha ajenda ya ufisadi mara baada ya mafisadi kusepa baada ya wao kumaliz mission yao.
7) Wote waliogeuka na ku support mafisadi tutawataka wajitatathmini na waachie ngazi kama hakuna maelezo ya kutosha
Mkuu hili ni tamko la wana ccm baada ya kumkata Lowasa
 
Watu kama akina Mnyika, Msigwa na wengine wa mfano wa hawa wangekaa kimya, wangerudi kama mashujaa baada ya uchaguzi, lakini wakaona heri wapate ubunge kwa kusimama upande wa waovu wakati hata uhakika wa kuupata huo ubunge hawana

Mkuu kwamba wange kaa kimya kwa kuto gombea au wange gombea kupitia vyama vingine tofauti na chadema?
 
Back
Top Bottom