Hii ni kwa hisani ya watu wa Guinea
RUZUKU CCM WALIWAAMBIANNINZA KUJENGEA UNACHOKIITA MAKAO MAKUU YA CHAMA??Siwezi 'kupan' kwa kuwa sielewi hii ni kitu gani.
Siwezi kujihusisha na vijana wachafu wanaodeki barabara na kuacha gheto zao chafu.
Chadema imeshindwaje kujenga ofisi wakati ruzuku iliongezeka?inaahidi vipi mabadiliko wakati wanashindwa kubadilisha makao yao makuu?
Kazi yetu ni kujenga barabara ...yenu ni kudeki barabara!
Do you feel me?
Is that a justification to take the grand fisadi?...kwa hiyo chadema imeamua kuunga mkono ufisadi?
Ikulu ya conekry...Hii tamthilia iko season ngapi vile?I mean baada ya tamthilia ya matumaini.
Is that a justification to take the grand fisadi?...kwa hiyo chadema imeamua kuunga mkono ufisadi?[/QUO Swali jepesi Hivi huu ufisadi unaoendelea wote umesababishwa na lowasa tu?.Basi hii nchi inaelekea kubaya kama mtu mmoja ameweka taifa zima mkononi na hakuna wa kumchukulia hatua.
Waziri mkuu fisadi anaposhangiliwa kwa kuwa fisadi ndio muendelezo wa ufisadi
unajiita kijana mzalendo avacha uliyo weka si yako uzarendo wako upo wapi?? Kama umeanza umista bin mapema hivyonikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa fisadi papa.
Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.
Kuing'oa ccm hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!
Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.
Kuwachukua vijana ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa chadema.
Naungana na mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.
My ash tray heart says ney!!!
Magufuli rekebisha 'sombrero' uchape kazi.
#hapakazitu
Check my profile amigo!
Mtoto hata ubwabwa wa shingo haujakutoka unadai mabadiliko...yapi hayo...kifunze historia ujue nini cha kubadilisha
CCM wametoa boriti za ufisadi kwani hujui au unafunika kichwa kama mbuni?
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.
Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.
Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!
Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.
Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.
Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.
MY ASH TRAY HEART SAYS NEY!!!
Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.
#HAPAKAZITU
haha kwa kabila yangu Uda ni mwanaume anayefanywa kinyume na maumbile(shoga)Uda ni binti wa kimang'ati!!
Mafuriko hayajakupitia...?huwa kwetu mafuriko huchukua matunguri na laana zake zote....
Yes, Lowassa hata akienda wapi nitaendelea kumpinga kwa sababu hafai kuwa Rais wa Tanzania.Alipokuwa ccm nilimpinga kama ninavyofanya leo...mimi sio chapati!
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.
Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.
Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!
Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.
Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.
Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.
MY ASH TRAY HEART SAYS NEY!!!
Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.
#HAPAKAZITU