CHADEMA is no longer 'Peoples Power'

CHADEMA is no longer 'Peoples Power'

Guinea Bissau !
attachment.php


Na cha kushangaza katika hiyo "nyomi" hakuna hata bendera moja ya vyama vya Ukawa. Hii sio kawaida yao. Sasa sijui wanamdanganya nani.
 
Mtoto hata ubwabwa wa shingo haujakutoka unadai mabadiliko...yapi hayo...kifunze historia ujue nini cha kubadilisha

Kwa akili mliyofundishwa Lumumba mnajua mabadiliko ni kubadilisha chupi zenu? Subirini Tr25 mtajua nini maana ya mabadiliko
 
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.

Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.

Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!

Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.

Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.

Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.

Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.

#HAPAKAZITU

Ni lini uliwahi kuipenda CHADEMA? Hiyo ID inanasabishwa na mchakato fulani wa kifisadi .Ni coincidence ?
 
Kwa akili mliyofundishwa Lumumba mnajua mabadiliko ni kubadilisha chupi zenu? Subirini 25 mtajua nini maana ya mabadiliko
Ukiishiwa hoja unabakia kudhalilisha jinsia. Sasa sijui huyo mama au dada yako huwa hawabadili chupi. Au hayo ndiyo mabadiliko yenyewe mnayohubiri?
 
Kwa akili mliyofundishwa Lumumba mnajua mabadiliko ni kubadilisha chupi zenu? Subirini Tr25 mtajua nini maana ya mabadiliko

Mabadiliko ni kuosha barabara na kuvaa chupi chafu?
 
Ukiishiwa hoja unabakia kudhalilisha jinsia. Sasa sijui huyo mama au dada yako huwa hawabadili chupi. Au hayo ndiyo mabadiliko yenyewe mnayohubiri?
Nishamjibu huyo kirambasi
 
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.

Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.

Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!

Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.

Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.

Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.

Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.

#HAPAKAZITU

UDA is no longer public transport in dar es salaam but used to make mafuriko in magufuli rallies in mikoani
 
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.

Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.

Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!

Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.

Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.

Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.

Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.

#HAPAKAZITU

Haya wee, ccm idumu na izidi kudumu na izidi kutupiga tu manake hatuna namna

1. Wanawake kujifungulia Sakafuni

2. Watoto kusomea chini ya Miti

3. Watumishi kulipwa mishahara ya Hadaa

4. Twiga kupandishwa kwenye Ndege

5. wizi wa ESCROW

6. Ufisadi wa EPA

7. Ufisadi wa RICHMOND

8. Ujangili Uliokithiri

9. Mikataba Mobovu ya Dhahabu

10. Mikataba mibovu kwenye Tanzanite

11. Mikataba mibovu kwenye Almasi

12. Ubinafsishaji wa Bandari, ATC, Mashamba yaNAFCO, VIWANDA, NBC nk

13. Huduma duni za Afya

14. Huduma Mbovu za Elimu

15. Ukosefu wa Maji

16. Ukosefu wa Umeme wa Uhakika

17. Gharama kubwa za Umeme

18. Kupanda kwa Bei ya Mafuta ilhali inashuka kwenye soka la Dunia

19. Gharama kubwa za vifurushi vya simu za mkononi

20. Wawekezaji kutokulipa kodi

21. Rais kusaini cheque kwa dhehebu moja

22. Pengo la kukataa Rasimu ya Katiba mpya

23. Ubovu wa barabara

24. Kugawana Nyumba za Serikali

25. Mauaji ya Daudi Mwangosi

31. Mkaahapa kujimilikisha mgodi wa Kiwira

32. Yusuf Marope kutumia Bilioni 5 uchaguzimdogo wa Tarime

33. Ufisadi wa Deep Green
34. Ufisadi wa Meremeta

35. Mabomu ya Arusha

36. Uvamizi wa vituo vya Police

37. Ununuzi wa Mv Dar es Salaam kifisadi

38. Mabehewa Feki ya Treni –

39. Ununuzi wa Ndege ya Rais

40. Mikataba 17 ya kichina

41. Kushamiri kwa biashara ya Sembe (madawa ya kulevya)

42. Usafirishaji wa Meno ya Tembo
 
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.

Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.

Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!

Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.

Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.

Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.

Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.

#HAPAKAZITU
Haya ndio matatizo ya kunyweshwa maziwa ya ng'ombe badala ya kunyonya maziwa ya mama ukiwa mchanga ni lazima ubongo ukose virutubisho na uwezo wa kutafakari kwa hekima ni ngumu kuwa nao!
 
The name uda is incomplete the completion of it is UDAKU
 
Haya wee, ccm idumu na izidi kudumu na izidi kutupiga tu manake hatuna namna

1. Wanawake kujifungulia Sakafuni

2. Watoto kusomea chini ya Miti

3. Watumishi kulipwa mishahara ya Hadaa

4. Twiga kupandishwa kwenye Ndege

5. wizi wa ESCROW

6. Ufisadi wa EPA

7. Ufisadi wa RICHMOND

8. Ujangili Uliokithiri

9. Mikataba Mobovu ya Dhahabu

10. Mikataba mibovu kwenye Tanzanite

11. Mikataba mibovu kwenye Almasi

12. Ubinafsishaji wa Bandari, ATC, Mashamba yaNAFCO, VIWANDA, NBC nk

13. Huduma duni za Afya

14. Huduma Mbovu za Elimu

15. Ukosefu wa Maji

16. Ukosefu wa Umeme wa Uhakika

17. Gharama kubwa za Umeme

18. Kupanda kwa Bei ya Mafuta ilhali inashuka kwenye soka la Dunia

19. Gharama kubwa za vifurushi vya simu za mkononi

20. Wawekezaji kutokulipa kodi

21. Rais kusaini cheque kwa dhehebu moja

22. Pengo la kukataa Rasimu ya Katiba mpya

23. Ubovu wa barabara

24. Kugawana Nyumba za Serikali

25. Mauaji ya Daudi Mwangosi

31. Mkaahapa kujimilikisha mgodi wa Kiwira

32. Yusuf Marope kutumia Bilioni 5 uchaguzimdogo wa Tarime

33. Ufisadi wa Deep Green
34. Ufisadi wa Meremeta

35. Mabomu ya Arusha

36. Uvamizi wa vituo vya Police

37. Ununuzi wa Mv Dar es Salaam kifisadi

38. Mabehewa Feki ya Treni –

39. Ununuzi wa Ndege ya Rais

40. Mikataba 17 ya kichina

41. Kushamiri kwa biashara ya Sembe (madawa ya kulevya)

42. Usafirishaji wa Meno ya Tembo

And yet you choose the GRAND FISADI at numbre 7
 
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.

Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.

Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!

Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.

Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.

Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.

Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.

#HAPAKAZITU

Nashkuru umejitambua waache hao wengine wakapimwe akili.
 
ccm imejenga makao yake makuu baada ya muda gani pamoja na kurithi kila kitu toka tanu na asp? Tatizo siasa umeijua mwezi wa 7

Check my profile and lick the lolypop!
 
And yet you choose the GRAND FISADI at numbre 7

Yes, no. 7 isn't himself only, even the big don is involved, better to choose 1 than to choose all the rest,
 
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.

Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.

Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!

Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.

Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.

Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.

Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.

#HAPAKAZITU

Tatizo lenu nikubariki ghafla ccm kuwa safi. Huo ni uongo na kama munadanganya hivyo endeleeni. Sisi ni mabadiliko kwa kwenda mbele. Achane unafiki ccm sio safi mafisadi wote bado wapo ccm.
Kama nie ni vibaraka na mamluki wa ccm endelei ila juweni kwamba nie ndo maadui wakubwa wa tanzania mpya. Poleni sana! Ila ipo siku mutakuja ku realize kwamba mabadiliko yalikua muhimu. Time will tell!
 
Back
Top Bottom