hexacyanoferrate
JF-Expert Member
- May 15, 2014
- 1,232
- 792
Na uvimbe upasuke...Mizoga kutoka ccm iko meza kuu ya chadema ngastuuka!
Unachekesha! Na nina wasiwasi sasa na thinking capacity yako nitapoteza muda tu kujadiliana na wewe, but ninachokwambia ni hakuna maendeleo au usawa chini ya utawala wa ccm. Ccm ni wanyonyaji wakubwa, walipo sasa hivi wanapigana wasitoke madarakani kwa hofu ya mambo waliyofanya. Mfano mkapa ameanza naye kampuni, anahofu ya kujakushtakiwa.
Msiwe na wasiwasi lowassa si mtu wa visasi!