Rungu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 3,932
- 1,727
Na nyingine hii hapa. Huu ni uchaguzi na sio mashindano ya nyomi.ccm poleni ukawa haooooo ikulu mtupishe mapema
![]()
Na nyingine hii hapa. Huu ni uchaguzi na sio mashindano ya nyomi.ccm poleni ukawa haooooo ikulu mtupishe mapema
![]()
Ukiwa kijana mzalendo halaf unaishabikia ccm si unaonekana punguan!
Haiingii akili kuita chadema fisadi kwa sababu ya Lowasa wakati alipokuwa ccm mlitumia nguvu kubwa kumtetea!
Ccm ni fisadi, wanachama wake mafisadi, mfumo wake wa kifisadi inaongoza serikali ya kifisadi!
Nawashangaa watakaoshindwa kupigia cdm kura kwa sababu ya ufisadi huku wakipigia debe ccm! Huo ni unafki kwa watanzania
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.
Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.
Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!
Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.
Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.
Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.
MY ASH TRAY HEART SAYS NEY!!!
Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.
#HAPAKAZITU
Chadema ni nyumba ndogo ya mafisadi?
nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa fisadi papa.
Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.
Kuing'oa ccm hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!
Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.
Kuwachukua vijana ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa chadema.
Naungana na mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.
My ash tray heart says ney!!!
Magufuli rekebisha 'sombrero' uchape kazi.
#hapakazitu
Nikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.
Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.
Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!
Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.
Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.
Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.
MY ASH TRAY HEART SAYS NEY!!!
Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.
#HAPAKAZITU
Kama Tanzania ya Magufuli bila CCM?Chadema ni Lowasa's power kwa sasa
usipani
gheto chafu ni maisha ya mtu ,inawezekana unajihusisha na vijana wengi wachafu tambua hawapendi kuwa wachafu hali ya uchumi inafanya waone kununua sabuni kwa ajili ya usafi ni anasa
2.ccm imejenga ofisi kwa fedha zetu walipa kodi, vitega uchumi vilivyopo vya ssm ni kodi zetu
3.magufuli akija na nyie pigeni deki barabara
Kazi bila shule mwambie punda nimekukaririr ntakutag tarehe 27 kwenye Uzi unaosema HONGERA LOWASANikiwa kijana mzalendo nasikitika kuiona Chadema ikipewa nguvu na waliyemtambulisha kuwa FISADI PAPA.
Sitoandamana tena kwa kisingizio cha nguvu ya umma.
Kuing'oa CCM hakuwezi kuifanya chadema ijenge makao yake makuu!
Kudeki barabara wakati gheto lako limejaa uvundo hakutapumbaza wazalendo wa kweli kuchagua kilicho bora.
Kuwachukua vijana Ngarenaro ili wakafanye matamasha ya mafuriko sio jambo lililozoeleka kwa Chadema.
Naungana na Mwanakijiji kuwakataa wasanii na movie ya mabadiliko.
MY ASH TRAY HEART SAYS NEY!!!
Magufuli rekebisha 'SOMBRERO' uchape KAZI.
#HAPAKAZITU