CHADEMA ilianza kwa kasi kubwa katika medani za siasa nchini kutokana na sera ambazo ziliwavutia watu wengi hasa vijana.
CHADEMA ilianza kuja na sera mbalimbali pamoja na kauli mbiu zenye matumaini kwa wananchi kama vile M4C, na nyingine nyingi ambozo zilivuta hisia nyingi hasa kwa vijana, Lakini siku za hivikaribuni chama hiki kimepoteza mwelekeo kabisa kutokana na kuto kubadilika kwa sera zao na kujikita zaidi kwenye mambo yasio ya msingi kama vile mandamano, kauli mbovu, fukuza fukuza isiyo na mpango ndani ya chama hivo kufanya chama hiki kukosa mwelekeo kutokana na kuchokwa na wananchi.
Kinacho endelea sasa CHADEMA imejivika koti la UKAWA kama kiki ya kutaka kukubalika zaidi kwa wananchi kutokana na kuvikamata masikio vyama vingine vya siasa kwa nia ya kutaka kujiuza tena kwa wananchi lakini cha ajabu pasipo kujitambua CHADEMA ndio kinazidi kujichimbia kaburi chenyewe pasipo kujijua.
Ushauri viongozi wa CHADEMA jitafakarini tena na kujirekebisha ili mrudishe heshima yenu kwa jamii kama mwanzo mlivyokuwa mnakubalika.
CHADEMA ilianza kuja na sera mbalimbali pamoja na kauli mbiu zenye matumaini kwa wananchi kama vile M4C, na nyingine nyingi ambozo zilivuta hisia nyingi hasa kwa vijana, Lakini siku za hivikaribuni chama hiki kimepoteza mwelekeo kabisa kutokana na kuto kubadilika kwa sera zao na kujikita zaidi kwenye mambo yasio ya msingi kama vile mandamano, kauli mbovu, fukuza fukuza isiyo na mpango ndani ya chama hivo kufanya chama hiki kukosa mwelekeo kutokana na kuchokwa na wananchi.
Kinacho endelea sasa CHADEMA imejivika koti la UKAWA kama kiki ya kutaka kukubalika zaidi kwa wananchi kutokana na kuvikamata masikio vyama vingine vya siasa kwa nia ya kutaka kujiuza tena kwa wananchi lakini cha ajabu pasipo kujitambua CHADEMA ndio kinazidi kujichimbia kaburi chenyewe pasipo kujijua.
Ushauri viongozi wa CHADEMA jitafakarini tena na kujirekebisha ili mrudishe heshima yenu kwa jamii kama mwanzo mlivyokuwa mnakubalika.