CHADEMA inakuwaje mna ugomvi na mihimili yote mitatu -- Serikali, Bunge na Mahakama?

CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Kwani nyie wa chama cha mmepanga nini?
 
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Mihimili hii haiongozwi na Mungu kila mmoja una mungu wake, Chadema haina ugomvi na haitakuwa na ugomvi kama unavyodai wewe, mihimili hiyo lazima iwepo nchini ila tatizo huletwa na kiongozi aliyepewa jukumu la kuongoza kwa wakati husika, kumbuka Jaji Mkuu mmoja mstaafu alipomtembelea Rais Magufuli alimwambia kuwa vimemo vinawapa wakati mgumu kwenye maamuzi ya kesi.
Hilo Bunge ujue linawabunge 19 wa CCM wanaoiwakilisha Chadema, wabunge husika hawana uhusiano wowote na chama cha Chadema wala hawafiki kwenye ofisi za Chadema. Serikali huzuia mikutano yote ikiwamo ya jikoni ya Chadema huku CCM hufanya mikutano kila siku mpaka usiku.
Hebu funguka juu ya nia ya Uzi wako.
 
Madai ya JK kugawa mshiko ni rumours bado hakuna proof beyond reasonable doubt...

Huwenda ikawa kweli au si kweli

Pia kumbuka kipindi cha JK vyama vya siasa vilifanya kazi yake kama vyama,mahakama na jeshi vikafanya kazi zake kama inavyotakiwa bila kuvigeuza vyama vya siasa

JPM and mama ni the most lowest brain-using people on earth

Huwezi geuza jeshi na mahakama ziache kazi zao original zikufanyie kazi yako ya siasa wewe ulale nyumbani

JPM ni kwamba alikua hana akili,hakuna mambo ya mkono wa chuma and blah blah...Mkapa alikua mkono wa chuma ila ni kwa haki,sio ile maiti pumbavu kabisa hovyo akili mavi

Mama nae unfortunately ni tatizo,hapa tunavuna matatizo kama nchi kwa maamuzi yasiyokua na akili wanayofanya...

Hapa naona unatetea watu kutumia akili ndogo kufanya maamuzi...wewe unayasifia kwa kuyaita "mkono wa chuma",kumbe ni upumbavu na sisi wananchi ndio tunalipa kwa maumivu unnecessarily!
Of course kuna takataka nyingi zilianzishwa awamu ya 5, moja ya takataka inayokera ni hii ya watu kuandaliwa kwenye kila mji mdogo anaopita Rais naye kuanza kuongea nao, ishu ya hovyo sana. Of course Bi Mkubwa ana vitu vingi vya kufanya kuirudisha ile TZ ya 2015! Tatizo kubwa bwana jiwe aliwashika Nyota sana watanzania aliokuwa anawaita wanyonge, ambao ni more than 80% ya waTZ wote!! Ndiyo hao wapinga chanjo, na wanaotamani bwana jiwe arudi, wafuasi wa Gwajima n.k.!! Siasa ni mchezo, ngoja tuone huyu mother atachezaje, muda bado upo upande wake
 
Mihimili hii haiongozwi na Mungu kila mmoja una mungu wake, Chadema haina ugomvi na haitakuwa na ugomvi kama unavyodai wewe, mihimili hiyo lazima iwepo nchini ila tatizo huletwa na kiongozi aliyepewa jukumu la kuongoza kwa wakati husika, kumbuka Jaji Mkuu mmoja mstaafu alipomtembelea Rais Magufuli alimwambia kuwa vimemo vinawapa wakati mgumu kwenye maamuzi ya kesi.
Hilo Bunge ujue linawabunge 19 wa CCM wanaoiwakilisha Chadema, wabunge husika hawana uhusiano wowote na chama cha Chadema wala hawafiki kwenye ofisi za Chadema. Serikali huzuia mikutano yote ikiwamo ya jikoni ya Chadema huku CCM hufanya mikutano kila siku mpaka usiku.
Hebu funguka juu ya nia ya Uzi wako.
OK mnalaumu mihimili tuanze na bunge hata mkisema wamenunuliwa vetting yenu ina maana iko weak

Inakuwaje ohh Slaa kanunuliwa, Lowasa kanunuliwa ohh wabunge wamenunuliwa ohh madiwani wamenunuliwa ina maana Chadema sio Chama cha siasa ni Duka la kuuza wanasiasa


Wana Chadema ombeni ripoti ya mapato ya Chama ambayo Chama kimepata kwa kuuza wabungle na madiwani wakiwemo wanasiasa kama Slaa, Lowasa, nk na wabunge wa Chadema 19 waliopo bungeni

Nashauri vyama Vyote vya siasa kuwa Chadema ni gulio la kuuza wanasiasa. wanafanya biashara ya kuuza binadamu. MBOWE aongezewe mashtaka ya kuuza binadamu juu ya Yale ya ugaidi
 
Akijibu nistue
1) Ugomvi na serikali hii ya ccm.
Pamoja na kwamba serikali hii imeingia madarakani kwa wizi wa kura 2020, na wizi wa mchakato mzima wa uchaguzi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, bado CHADEMA iliomba kukutana na Rais Samia, ambaye alikubali kwa maandishi. Hiyo ilikuwa ni heshima kubwa kwa Rais na serikali yake. Kumbuka kutokana na uharamia, ubabe na ujambazi waliofanyiwa CHADEMA kwenye hizo "chaguzi" mbili, hawachukui ruzuku ambayo ni haki yao kwa mujibu wa sheria.
Rais Samia inaonekana alipata ushauri tofauti, na akaukubali, akawatosa CHADEMA. Sasa hivi anazuia hata mikutano ya ndani, kakamata mamia ya wanachadema na kuwasweka rumande.

Sasa hapo mgomvi ni nani? Bila shaka ni Serikali.
2)Ugomvi na Bunge
Baada ya uporaji wa 2020, serikali ya ccm ikagundua kwamba hawataweza kuendesha bunge la vyama vingi kwa wabunge wa chama kimoja. Badala ya kuketi chini na CHADEMA, ukafanyika umafia. Wakaanzisha, kwa nguvu, mchakato wa siri wa kupata "wabunge wa viti maalum" ndani ya CHADEMA , kinyume na taratibu zote. Hii pia ilikusudiwa kuipasua CHADEMA, kuipora pia wabunge wake muhimu na wachapakazi. CHADEMA ilisimama imara na kuwatimua. Uamuzi huu ulikuwa mgumu sana, lakini CHADEMA ilisimama imara. Ndugai daima amesimama upande wa serikali. Kuna wakati Magufuli alimwagiza Spika Ndugai "awashughulikie ndani ya bunge, serikali itawashughulikia nje ya bunge"
Sasa hapo mgomvi ni nani? Ni Ndugai na bunge lake DHAIFU.

3)Ugomvi na Mahakama
Kuna mahakimu na majaji wameteuliwa kinyume na utaratibu, ili kulinda maslahi ya serikali. Mfano hakimu aliyemfunga Sugu, na kisha kuteuliwa ujaji. Kesi hiyo ya kubumba ilikuja futwa kwenye rufaa, baada ya kucheleweshwa sana. Jaji aina ya Luvanda, ambaye anakubali "charge sheet" ina makosa, lakini bado anawarejesha rumande watuhumiwa, kwa kesi ipi?
Mgomvi nani hapo? Ni baadhi ya mahakimu na majaji wa Mahakama
 
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Je MIHIMILI inatenda HAKI kwa CHADEMA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Na ndiyo maana kwa kauli moja CDM wamekubaliana kudai katiba mpya ili kupata suluhisho ya yote hayo. Nchi Inakosa check & balance !! inatembea upande upande. mihimili 2 yaani Bunge na Mahakama inakosa uhuru ki-utendaji na hapa ndipo tatizo kubwa lilipo.

Sheria nyingi ni za kikoloni ni lazima ziangaliwe upya!! kufanIkisha haya ni lazima tukubali kujenga msingi mpya wa nyumba yetu - KATIBA.
 
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
katiba mpaya ni muhimu,mihimili yote imewekwa kwenye kapu moja la dolaccm
 
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Kuna watu wanaitwa vinyamkera

Ni hatare
 
JINA LAKO TU LINAONESHA WEWE NI MTU WA AINA GANI,MKUDA,MLAMBA VIATU VYA MABOSI MAKAZINI
 
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Mkorosho, bibo na korosho, hapo inakuwaje ?!!!
 
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Wewe unafikiria kwanini?
 
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Mgeni wa katiba na Mungu maana ndio miongozo ya haki.

Ingefaa kushughulika na wanaovunja sheria na katiba badala ya wanaotii katiba na sheria
 
Hii hali ina morph into a giant destabilization hapa Tanzania

Pale CCM na serikali yake inapokabidhi mahakama na jeshi la polisi liifanyie kazi za siasa kwa lazima wakati ndio kazi yake hutokea haya

Mahakama ipo politicized,jeshi lipo ploticized,yanafanya siasa kwa niaba ya CCM

Hivyo hapa ni chaos mpaka muelewe kwamba hivi vyombo mlivyo vigeuza vyama vya siasa kwa niaba yenu ni big mistake mmefanya.

Halafu mnakuja hapa kuilaumu Chadema

Chadema na CCM ni vyama vya siasa na kufanya siasa ndio kazi yao...shida nyie kazi yenu ya siasa mmewakabidhi mahakama na jeshi liwafanyie...

Jeshi na mahakama yashachoka kufanya kazi ambayo sio yao,soon huu usenge watakuja kuwakatalia

Kupambana na Chadema kila siku nchi nzima inachosha hawa watu wa jeshi na mahakama

Wanadharaulika,wanatukanwa,wanatoa maamuzi ya kipumbavu na yanawekwa kwenye historia,wanaonekana wapumbavu,hawana akili,nk kwa niaba yenu nyie mmelala majumbani kwenu mnakuna pumbu tu

Kupambana na Chadema sio kazi ndogo kabisa maana unapambana na wananchi wasio na hatia na wamezagaa nchi nzima kila siku unashika na kufunga na kupeleka mahakamani watu wasio na hatia na records zipo na upumbavu wote ni recorded

Jeshi limechoka,mahakama zimechoka kufanyia CCM kazi zake za siasa...kuna siku wataamka asubuhi mnawapigia simu hawatapokea..wamechoka hawa.

it is traumatic,msidhani wanafurahi kama mnavyojibenua matakor hapa...

Muulizeni Kikwete alikua anatumia ubongo gani kisiasa kufanya kazi yake ya siasa na CCM yake kwa usahihi vile bila kusukumiza hiyo kazi kwa vyombo visivyohusika?Mtafuteni awape IQ yake

Effect zitaendelea kuwepo,mtaona
Well said
 
Back
Top Bottom