BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,505
Kinacho endelea kwa sasa ni tuna mihimili mitatu na yote ni very weak sana, hii ni combination ya hatari sana kwa nchi na hii combinationa kaitengeneza Mwenda zake.
Enzi za Jk tulikuwa na Exacative weak ila angalau Bunge la Samweli Sita lilikuwa Moto wa kuotea mbali sana, Lile bunge lilikuwa ni hatari sana na sijui kama litatokea tena bunge la aina ile.
Baada ya Magufuri kuingia akahakikisha anau muhimili wa Bunge na hata Mahakama ili zote zibakie kumuabudu na impact yake ndio hio inayo onekana kwa sasa.
Magufuri alihakikisha anachagua weak Spika wa Bunge wa kumuabudu oamoja na Naibu wake na kama.haitoshi na wabunhe wa mchongo wale wa kuabudu.
Ndugai alikuwa ni very weak Spika ila huyu wa sasa Tulia ni Over Weak Spika wa Bunge saaa combine na kule juu utakna hio combination ilivyo ya hatari sana kwa nchi.
Mahakama nao sio wa kuamini sana Mwenda zake aligawa Uajaji kama Karanga.
Udhaifu huu anaye paswa kulamimiwa anajilikana.
Enzi za Jk tulikuwa na Exacative weak ila angalau Bunge la Samweli Sita lilikuwa Moto wa kuotea mbali sana, Lile bunge lilikuwa ni hatari sana na sijui kama litatokea tena bunge la aina ile.
Baada ya Magufuri kuingia akahakikisha anau muhimili wa Bunge na hata Mahakama ili zote zibakie kumuabudu na impact yake ndio hio inayo onekana kwa sasa.
Magufuri alihakikisha anachagua weak Spika wa Bunge wa kumuabudu oamoja na Naibu wake na kama.haitoshi na wabunhe wa mchongo wale wa kuabudu.
Ndugai alikuwa ni very weak Spika ila huyu wa sasa Tulia ni Over Weak Spika wa Bunge saaa combine na kule juu utakna hio combination ilivyo ya hatari sana kwa nchi.
Mahakama nao sio wa kuamini sana Mwenda zake aligawa Uajaji kama Karanga.
Udhaifu huu anaye paswa kulamimiwa anajilikana.