mucho886
Senior Member
- Dec 1, 2013
- 169
- 41
zingatia ushauri , uongo ni hatari sana , vinginevyo utadhalilika vibaya mno
I have not asked u to believe me or not, it's none your business
zingatia ushauri , uongo ni hatari sana , vinginevyo utadhalilika vibaya mno
Wasema wewe, siyo lazima kuwapigia makofi Slaa na Mbowe ili nionekane kuwa ni mwanachadema. Wapo maaskari, viongozi wa serikali wanaunga mkono harakati za chadema bila kujionyesha. Kuna kuwa shabiki ili uonekane kwa watu kuwa wewe ni mwanachadema, wengine chadema iko kwenye damu
Lema mmoja ni bora kuliko wana-CHADEMA wa kawaida 10,000!
Nyie chadema hebu jiulizeni kama CCM wangekamata waraka wa kumtoa kiongozi unadhani wangefuata hatua kama mlizochukua nyie za kuuanika mitandaoni? Lengo ilikuwa nini hasa kama sio kuwadhalilisha baadhi ya viongozi wenu wenyewe?
mkuu, haya ni matusi makubwa kwa wanachama wa 'kawaida' CDM....I wonder kama umetafakari au umelipuka tu kama huyo lema mwenyewe!? by the way yeye ni bora kwa vigezo vp?? mie ni mwanaCDM wa kawaida tu kama ulivyotulebo lakini nakuhakikishia lema ni moja kati ya viongozi wetu wa hovyo kabisa kupata kutokea na kuingia mjengoni - actually ni kielelezo kimojawapo kati ya mapungufu makubwa ya neno 'demokrasia'!!!!!!! 2015 ningependa CDM ishinde kiti cha ar mjini, ila maombi yangu ya dhati isiwe lema awe mwengine mwenye kujitambua, kujenga hoja na kuzitetea kwa manufaa ya wana ar na tz kwa ujumla. Ni dokeze hoja moja tu aliyoisimamia bungeni hadi sasa, na nna uhakika hadi kipindi chake kiishe hawezi kufanya hivyo zaidi ya kuvizia maandamano tu ili asikike!!!
Kwa mtu yeyote ambae ni mwanaCHADEMA wa dhati hawezi kuandika hiki ulichokiandika na hiki hakina tofauti na maandiko ya matamko tunayoyasoma kila siku kutoka maeneo mbalimbali ambayo yanatolewa na MASALIA, WASALITI, WAHAINI na WACHUMIA TUMBO ni vema na wewe ukajiweka wazi na kuonyesha unajivua uanachama au ushabiki ili tukuelewe.
Yote yatajidhihirisha kwenye chaguz mbalimbali zijazo, chadema tulikipenda sana lakini ukabira, ukanda, uroho wa madaraka na kung'ang'ania uongozi unakisambaratisha ndo maana magamba wanakata mbuga kuongea na wananchi wakati chadema wako busy kuchakachuwa waraka feki ili kushawishi wananchi kuwa kamati kuu ya CDM ilifanya uamzi sahihi kuwafukuza ZITTO. Naumia sana maana ndoto za kuondoa mafisadi naona zinayeyuka, niliamini 2015 magamba watakiona cha mtemakuni sasa ndoto zinayeyuka taratibu, uamzi huu utakipasua chadema vipande vipande na tunaanza kuona matokeo yake kwa baadhi ya viongozi kujiuzuru na wengine kuhama chama.
kwahiyo alitakiwa aseme fukuza ZITTO ndo anakuwa wa ukweli ? kazi kweli kweli -sikuwa najua kumbe hutakiwi kuwa na mawzo mbadala_aisee ndo maana vijana wanawaiteni MISUKULE
wewe mnafiki huna kazi nyingine za kufanya?naona hata kitanda umehamishia humu.CCM haina time na chuki binafsi za viongozi wa Chadema...