CHADEMA ina wanamuziki makini sana kuliko CCM

CHADEMA ina wanamuziki makini sana kuliko CCM

lendila

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
5,805
Reaction score
4,374
Chadema ni chama makini sana.Kina wana mziki mahiri sana wanaojitambua na wenye uelewa mpana wa mambo yanayohusu jamii ukilinganisha na wasanii wa ccm.Tuanze kuangalia baadhi ya waimbaji wa mziki wa cdm na ccm kati yao wapi wanashughulika na mambo ya kijamii zaidi upande wa chadema (1sugu cdm, profesa jay, cdm lad jaydee, cdm afande sele cdm roma mkatoliki cdm, tuje upande wa ccm diamond,wema sepetu irene uwoya j.b dr chen,steven nyerere inspecter haruni, kuna tofauti kubwa sana ya uelewa kati ya waimbaji hawa
 
Umemsahau mbunge wa mtarajiwa Afande Sele
 
(1sugu cdm, profesa jay, cdm lad jaydee, cdm afande sele cdm roma mkatoliki cdm, tuje upande wa ccm diamond,wema sepetu irene uwoya j.b dr chen,steven nyerere inspecter haruni, kuna tofauti kubwa sana ya uelewa kati ya waimbaji hawa[/QUOTE]


Mkuu upande wa CCM umemsahau DOKII
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    3.2 KB · Views: 2,170
  • Dokii-Akihamasisha2.jpg
    Dokii-Akihamasisha2.jpg
    65.9 KB · Views: 723
Chadema ni chama makini sana.Kina wana mziki mahiri sana wanaojitambua na wenye uelewa mpana wa mambo yanayohusu jamii ukilinJganisha na wasanii wa ccm.Tuanze kuangalia baadhi ya waimbaji wa mziki wa cdm na ccm kati yao wapi wanashughulika na mambo ya kijamii zaidi upande wa chadema (1sugu cdm, profesa jay, cdm lad jaydee, cdm afande sele cdm roma mkatoliki cdm, tuje upande wa ccm diamond,wema sepetu irene uwoya j.b dr chen,steven nyerere inspecter haruni, kuna tofauti kubwa sana ya uelewa kati ya waimbaji hawa
kweli ccm mazezeta
 
Chadema ni chama makini sana.Kina wana mziki mahiri sana wanaojitambua na wenye uelewa mpana wa mambo yanayohusu jamii ukilinganisha na wasanii wa ccm.Tuanze kuangalia baadhi ya waimbaji wa mziki wa cdm na ccm kati yao wapi wanashughulika na mambo ya kijamii zaidi upande wa chadema (1sugu cdm, profesa jay, cdm lad jaydee, cdm afande sele cdm roma mkatoliki cdm, tuje upande wa ccm diamond,wema sepetu irene uwoya j.b dr chen,steven nyerere inspecter haruni, kuna tofauti kubwa sana ya uelewa kati ya waimbaji hawa
Kama yule afande anavuaga nguo anabaki na chupi na mavuzi jukwaani,kweli wasanii wachadema wako making.fuuuuuuuumbafu
 
Na hawa hapa pia ni wana CCM wanamuziki ...., Komba na Kamata.jpg
 
kweli unapokuwa kioo cha jamii inahitaji kuwa na washauri walio makini sn watakao kuogoza vyema.
 
Huyu kisha ukosa ubunge kwa kashfa hii. Ndiyo maana wanasema usifanye mambo ya kijinga ktk maisha ukajiona mjanja. Angalia sasa itamgharimu kwenye nia yake ya ubunge.

Nafsi inakuambia ni kweli wana mziki wa chadema ni noma,pia jaribu kusikiliza mziki wa afande sele mziki wake ni shule tosha hata kwa watoto wako
 
Yule aliyesema "sisaliti sirudishi kadi ya chama ka'Nakaya bado hainiingii akilini hukumu ya babu sea" alimaanisha kadi ya chama gani???
 
Mgosi Mkoloni
Joh Makini
Wote hawa ni pipoz...
 
Back
Top Bottom