Hazungumzii wakati wa kazi. Hata Swaztnigger wakati akiigiza sinema alikuwa akijipaka matope ogopa alipoupata Ugavana alikuwa ni mtu wa kutetea jamii.
Kazi ya usanii ni moja na kuwa karibu na jamii ni jingine. Hapa nitofauti juu ya u karibu wa wasaniii hao na jamii. Wa CDM wanakuwa makini kwa kuwa karibu na jamii kuliko wa CCM.
Mimi napendekeza ROMA MKATORIKI atumike sana ktk campaign za CHADEMA. Mimi siyo shabiki sana wa hii miziki ya kizazi kipya, lakini ukimsikiliza huyu bwana mdogo, dah, nyimbo zake zimebeba bonge la msg.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.