CHADEMA imelinda heshima ya Sosopi

CHADEMA imelinda heshima ya Sosopi

Katu hatuludi nyuma sisi tunasongaa mbele mnaona ndio mtaaji ama kisiasa hembu tumtafute Benny Saanane
 
Mnatumia nguvu kubwa mno kutaka kuhalalisha upuuzi.

Nini maana ya kuwa na katiba sasa?

Tupeni jalalani katiba chama kiendeshwe kwa busara ya Mwenyekiti.
Katiba ya nchi inavunjwa mbona huko mpo kimya ila hili la chadema mnashupalia kama mnapimwa tezi dume fanyeni yenu nyie
 
Sisi tulichotaka ni kuiishi demokrasia, hayo mengine ni porojo tu ambazo zimeshatuchosha kwani mfumowa kukatana sio wa kidemokrasia na hufanya kazi zaidi ccm
 
Katiba ya nchi inavunjwa mbona huko mpo kimya ila hili la chadema mnashupalia kama mnapimwa tezi dume fanyeni yenu nyie
Hivi siyo nyie kila siku humu na kwenye vyombo vya habari mlikuwa mnapiga kelele kuwa Rais anakanyaga katiba ya nchi?!! Inakuwaje Mbowe anakanyaga katiba ya chama mnachekelea? Hivi mna akili timamu kweli?!
Muwe mnajichunguza kwanza kabla ya kulalama!? Charity begins at home... Mheshimu katiba na demokrasia kuanzia chamani ili muwe na legitimacy ya kusema hata nje!
 
Katiba ya nchi inavunjwa mbona huko mpo kimya ila hili la chadema mnashupalia kama mnapimwa tezi dume fanyeni yenu nyie

Usiishi kwa hisia.

Una uhakika huwa nakaa kimya?

Uhuni hupingwa popote siyo mnaleta double standards hapa.

Kwa hiyo mnapomkomalia Magufuli huwa mmepigwa dole la tezi dume?
 
Hapa Mbowe na timu yake wamechemka haswa. Hakuna busara kwenye katiba.
 
Acha kukurupuka! Au umetumwa na Mbowe???
Yaani Sossopi hakujua kama kiongozi wa kanda ni mdogo kwa nafasi aliyonayo mpaka aombe nafasi ya Kanda???
Unataka kutuaminisha kwamba Sossopi hataki mamlaka makubwa?
Je wewe ndo unaijua Katiba ya Chadema kuliko Sossopi?
Hiyo Heshima inayolindwa kwa Sossopi ni kumzuia kugombea nafasi ambayo yeye ndo
anaiona kwamba inamaslahi kwa future yake kisiasa?
 
Nchi nzima ni zaidi ya majimbo 235 ambayo Sosopi anatakiwa kuyasimamia.

Msigwa kanda ya Nyasa ana simamia majimbo 33
kwa msingi huu Sosopi kwa cheo chake cha makamu mwenyekiti BAVICHA Taifa.

Ni mkubwa zaidi kiutendaji na kimamlaka kiliko msigwa. Msigwa ambae ni Mwenyekiti mpya kanda ya Nyasa ana simamia majimbo 33 katika eneo lake la kimamlaka.

Hivyo Msigwa ni mdogo sana kimamlaka.
Sosopi akiwa na ziara kanda ya Nyasa, Msigwa lazima awepo na kuandaa ziara ya makamu Mwenyekiti BAVICHA taifa.

Sosopi ni kiongozi wa kitaifa na Msigwa ni kiongozi wa kanda. Sasa kuenguliwa kwa Sosopi katika kugombea nafasi ya kanda ni katika kumpa heshma kubwa sana.

Pia chama kimetambua majukumu makubwa na heshma aliyo nayo Sosopi. Sosopi kimajukumu anatakiwa aishi DSM kuwa karibu na ofisi kuu za chama je kanda itakuwa ofisi yaendeshwaje?

Msigwa yuko Iringa na anaishi Iringa hivyo atakuwa mtu sahihi kuwa Mwenyekiti wa kanda kwakua anaishi kanda ya Nyasa muda wake mwingi.

Chama kimefanya busara za kiutendaji kumuengua Sosopi abakie na majukumu yake ya sasa ya BAVICHA.
Unajua maana ya hiki ulichokiandika? Hii ni character assassination! Ujue maana halisi ni kuwa Sosopi hajitambui. Kwamba Sosopi hajui kuwa MM bavicha uko juu ya M/kanda. Kama uliyoandika ni kweli, kuwa makamu mwenyekiti taifa hajitambui kiasi hiki, ni nani atamwamini tena.
 
Nchi nzima ni zaidi ya majimbo 235 ambayo Sosopi anatakiwa kuyasimamia.

Msigwa kanda ya Nyasa ana simamia majimbo 33
kwa msingi huu Sosopi kwa cheo chake cha makamu mwenyekiti BAVICHA Taifa.

Ni mkubwa zaidi kiutendaji na kimamlaka kiliko msigwa. Msigwa ambae ni Mwenyekiti mpya kanda ya Nyasa ana simamia majimbo 33 katika eneo lake la kimamlaka.

Hivyo Msigwa ni mdogo sana kimamlaka.
Sosopi akiwa na ziara kanda ya Nyasa, Msigwa lazima awepo na kuandaa ziara ya makamu Mwenyekiti BAVICHA taifa.

Sosopi ni kiongozi wa kitaifa na Msigwa ni kiongozi wa kanda. Sasa kuenguliwa kwa Sosopi katika kugombea nafasi ya kanda ni katika kumpa heshma kubwa sana.

Pia chama kimetambua majukumu makubwa na heshma aliyo nayo Sosopi. Sosopi kimajukumu anatakiwa aishi DSM kuwa karibu na ofisi kuu za chama je kanda itakuwa ofisi yaendeshwaje?

Msigwa yuko Iringa na anaishi Iringa hivyo atakuwa mtu sahihi kuwa Mwenyekiti wa kanda kwakua anaishi kanda ya Nyasa muda wake mwingi.

Chama kimefanya busara za kiutendaji kumuengua Sosopi abakie na majukumu yake ya sasa ya BAVICHA.

ILA Sumaye kutoka PM mpaka kugombea Pwani sawa? Nyie tatizo lenu mnavichwa kabambe Na akili ndogo Na kuona wenzenu Ni viazi.
 
Back
Top Bottom