Hali halisi ipi? Acheni unafki wenu....sisi ni Chadema damu tena ni viongozi lkn huu unafki wa viongozi wa juu wa chama hiki itakifikisha chama hiki kubaya.....YES.
..kama hali halisi inalazimisha hivyo ili kukiwezesha chama kuongeza ushawishi ktk kanda ya Nyasa.