GEITA FARM
JF-Expert Member
- Dec 22, 2015
- 336
- 173
Waungwana poleni na majukumu,
09/08/2016 nilibahatika kufanya mazungumzo na mke na baadhi ya ndugu wa Alphonce Mawazo inasemekana baada ya mazishi viongozi wa CHADEMA walitoa ahadi kwa familia ya Alphonce Mawazo ikiwemo kuijengea nyumba familia hiyo, kuwasomesha watoto, kuinunulia gari familia hiyo na kuwapatia mtaji wa biashara lakini cha ajabu hadi leo viongozi wa CHADEMA hakuna ahadi yoyote waliyoitekeleza. Mimi kama mtanzania mzalendo kupitia hii thread napenda kuwakumbusha viongozi wa CHADEMA wajitokeze na kwenda kutekeleza ahadi walizoahidi kwa familia ya Alphonce Mawazo.
09/08/2016 nilibahatika kufanya mazungumzo na mke na baadhi ya ndugu wa Alphonce Mawazo inasemekana baada ya mazishi viongozi wa CHADEMA walitoa ahadi kwa familia ya Alphonce Mawazo ikiwemo kuijengea nyumba familia hiyo, kuwasomesha watoto, kuinunulia gari familia hiyo na kuwapatia mtaji wa biashara lakini cha ajabu hadi leo viongozi wa CHADEMA hakuna ahadi yoyote waliyoitekeleza. Mimi kama mtanzania mzalendo kupitia hii thread napenda kuwakumbusha viongozi wa CHADEMA wajitokeze na kwenda kutekeleza ahadi walizoahidi kwa familia ya Alphonce Mawazo.