Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
Miafrika ndio tulivyo....mtu akijiamini..ana jeuri...anajisikia...anajifanya mjuaji....etc etc
Wala sio hivyo. Hata mizungu na yenyewe inayo watu kama hao ndio maana unasikiaga watu kuitana ma elites...out of touch...insensitive..arrogant...nk.
Kuwa kiongozi unahitaji haiba flani..you have to have the spirit of humbleness in you...mwaka 1992 kwenye mdahalo wa uraisi wa Marekani...kuna mhudhuriaji mmoja aliuliza swali ambalo raisi wa kipindi kile G.H.W. Bush hakulijibu vizuri kutokana na kutokulielewa au kutoku-relate nalo. Ilipokufika zamu ya gavana wa Arkansas....aka slam dunk na "I feel your pain".....from there on out it was a wrap for G.H.W. Bush....watu wakaona Clinton ndiye mtu aliyekuwa anaelewa matatizo yao