Tunasukumiziwa katika makoo yetu chama kimoja tu kuwa ndicho pekee chafaa kuungwa mkono katika kuiangusha CCM. Tunaambiwa vyama vingine viungane nacho kwa sababu kimeonesha uongozi na kuwa ndiyo "upinzani" wa kweli. Wapo watu wanaoamini kabisa jambo hili. Wanaamini kuwa CHADEMA ndicho chama hasa mbadala kinachoweza kuchukua uongozi wa taifa letu toka mikononi mwa CCM.
Kama nilivyouliza huko nyuma ni mambo gani Chadema wamefanya kustahili kuongoza leo naomba nidokeza swali hili ambalo ni muhimu.
Je Chadema ilivyo sasa iko tayari kuongoza taifa la watu milioni 40 kwa ubora na kwa maono bora zaidi na mfano mzuri wa kiuongozi katika ngazi zote kuliko CCM? Ni nini msingi wa imani ya wale wanaoona kuwa iko tayari?
Mwenyewe ni na maoni yangu.. naomba nisikie ya kwenu.
Ukiwa makini utaona swali linahusu Chadema na utayari wao kuongoza.. nje ya hapo ni red herring.
Ngosha you are joking, right?
Yote haya yanajadiliwa ni harakati za kukipigia kampeni chama kisicho na usajili. Tukiunge mkono chama chenye usajili kwanza, then hivyo vingine tutaviangalia baadaye vitakaposajiliwa. Tukirudi kwenye topic, naungana na aliyezungumzia suala la idadi ya wabunge, kwani hao ndo wanaweza wakatoa mwelekeo wa uwezo wa chama kuongoza ambao kwa sasa hakuna chama cha upinzani kinaweza kuongoza.
Kwanza hivi vyama nini source ya finance ? Tukijua hili tunaeza tukaanza hapa kutoa tathmini sahihi.
Hey,vyanzo vya pesa vya nini tena?yaani chama kustahili kuongoza mpaka ujue vyanzo vyake vya fedha?come on!
Hilo ni legit question ili kuondoa dhana ya NGO once and forall.
SOurces ambazo ni...?Unafikiri sources of funds ndio unaweza kuondoa dhana ya NGO or not?soucres of funds ni zile zile tu kwa NGOs,Vyama vya siasa na hata serikali..Mle mle tu!
SOurces ambazo ni...?
Ustadh bana unakuwa kama hujazaliwa bongo hii hii?
Maana siasa is a million dollar deal business.
SOurces ambazo ni...?
Kuna soucres nyingi Mkuu.
1. Goverment subvention kulingana na formula ambazo zimetolewa na ofisi ya Msajili kama vile,1. Idadi ya wabunge wa kila chama watakaopata 2.At least 5% ya total votes 3.Idadi ya madiwani kila chama itakaopata..Mpaka uquelify ndio unapata ruzuku toka serikalini.
2.Michango ya wanachama-hii ni michango ya hiyari
3. Ada za uanachama-
4. Uuzaji wa vifaa vya uenezi-bendera,beji,fulana n.k
5.Vyanzo toka vyama rafiki-hawa mara nyingi hufadhili huduma kama vile kutoa mafunzo,vifaa n.k
6.Investment kama chama inayo..
Nadhani nimejibu swali lako..haya tuendelee na mjadala.
NAona hujamwelewa huyu ukisoma vizuri haina hata haja ya kumjibu
Kuna soucres nyingi Mkuu.
1. Goverment subvention kulingana na formula ambazo zimetolewa na ofisi ya Msajili kama vile,1. Idadi ya wabunge wa kila chama watakaopata 2.At least 5% ya total votes 3.Idadi ya madiwani kila chama itakaopata..Mpaka uquelify ndio unapata ruzuku toka serikalini.
2.Michango ya wanachama-hii ni michango ya hiyari
3. Ada za uanachama-
4. Uuzaji wa vifaa vya uenezi-bendera,beji,fulana n.k
5.Vyanzo toka vyama rafiki-hawa mara nyingi hufadhili huduma kama vile kutoa mafunzo,vifaa n.k
6.Investment kama chama inayo..
Nadhani nimejibu swali lako..haya tuendelee na mjadala.
Nafikiri ndo sababu watu wengi wanaquestion mwanakijiji ni nani. . . .Lakini kama kweli nia ni kupigia chapuo CCJ si dhani kama dhana ya kuidhoofisha chadema ni sahihi. anaweza akaelezea uzuri wa CCJ na kama anaona chadema si chama mbadala na ndivyo pia CCJ basi atakwa anasema CCM iendelee daimaBalantada mimi nikijibu humu itaonekana navutia kwangu nitakuwa bias kama Mwanakijiji anavyokuwa bias,yeye tayari ni mCCJ kwahivyo hoja zake zitakuwa ni kuiponda CHADEMA tu ili kuipa nguvu na uhalali CCJ ionekane ndio chama mbadala.Hajui kuwa mpaka chama kionekane kinaweza kuongoza nchi sio kazi rahisi kama anavyodhani.Anafikiri kuwepo kwa CCJ leo ndio kukubalika kwake,haya yanawezekana nchi nyingine lakini sio kwetu Tz kwa wapiga kura wasiojua wajibu wala maana ya kura yake.Mwanakijiji nadhani CCJ watachukua nchi kirahisi wakati hata kupata hao wabunge kwao kwa mwaka huu ni kizungumkuti.Anafikiri ni sawa na mijadala ya humu JF rahisi rahisi. Field ni kugumu kuliko anavyodhani. Mie ni bora niwe msomaji tu nisije kujipendela ila ikibidi sana kuchangia itabidi nifanye hivyo..naangalia maoni ya watu wenye dhamira ya dhati(wanaosema ukweli na sio ushabiki wa kivyama)
Ok fine.
Unaeza kutuekea mchanganuo in terms of % kwene hivo vyanzo ulivoweka? I mean say for past 1, 2 or so years. I'm about to UNDERSTAND you answer.