Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 756
-Badala ya kujenga hoja unajiropokea tu.Unadhihirisha ulivyo narrow minded kwa kutaja majina ya watu.Huu ndio ufuasi kipofu(blind follower) tunaousema hapa.Grow up.I think i should ignore you hadi pale utakapojenga hoja ambazo ni credible
....Sijawahi kuwa mfuasi wa mtu yeyote, ila wewe endelea kuwa mfuasi wa kupigania "watu" badala ya "fikra" kwa nguvu zako zote kama unavyofanya sasa kama hapa ndipo unapoishia kufikiri au ndiyo option pekee ya kuendelea kuwepo kwenye siasa, hapa ndipo ilipo tofauti ya "wavulana" na "wanaume" katika siasa...
....Wenye fikra za kifuasi wapo wazi,na wanaonekana kwa maneno na matendo yao, wapo tayari ata kurusha ngumi ilmuradi wamtetee "mtu" badala ya "fikra", na upo katikati ya kundi hilo sasa, ukishakuwa ana "akili ndogo hizi" hauwezi kusimama kwa miguu yako, tegemea mbebaji tu...