Chadema ikifutwa nashauri tuandamane nchi nzima

Chadema ikifutwa nashauri tuandamane nchi nzima

Hapo pa kuandamana utaandamana mwenyewe. Hii nchi ni keyboard warriors tu hamna mtu anatoka nje kupambania ugali wa mtu mwingine.
Kaanze kuwachukua wazaz wako kjjn nani huyo anakuwa na control ya watu wote tz zaidi ya muumba ss sote sio chadema walansio ccm cha msingi every one apambane na anapona anafaida napo cause hata wakiongia chadema sio wote watafaidika kama ilivo kwa ccm hawafaifiki wote
 
Kaanze kuwachukua wazaz wako kjjn nani huyo anakuwa na control ya watu wote tz zaidi ya muumba ss sote sio chadema walansio ccm cha msingi every one apambane na anapona anafaida napo cause hata wakiongia chadema sio wote watafaidika kama ilivo kwa ccm hawafaifiki wote

Hueleweki. Tuliza kitenesi uandike vizuri.
 
Katika vitu ambavyo CCM kinawapa jeuri ni hilo swala la maandamano wanajua hakuna anaye weza kamwe laiti kama kungetokea siku moja maandamano ya Nchi nzima hata viongozi wangechagua cha kuongea mbele ya Umma.
 
Kweli kabisa lazima tukinukishe
1000030999.jpg
 
Back
Top Bottom