CHADEMA iitishe maandamano ya shinikizo?

CHADEMA iitishe maandamano ya shinikizo?

Sio wewe uliekiri hapa kuwa Mbowe ni bosi wako na huwezi kumuandika kwa kuwa kutakuwa na "conflict of interest" ukiwa muongo usiwe msahaurifu!

Mkuu Masatu nashindwa kuelewa uliwezaje Kusoma na Kuandika ( Kuumba herufi) Maana ni Mgumu sana Kuelewa.

Hivi Mfanyakazi wa Ndani wa Kikwete ni Lazima awe CCM au waandishi wote wa TD ni CHADEMA eti kisa TD lina Uhusiano na MBOWE. Mkuu Ugoigoi na Ulegevu wa Hoja Zako unaweza kuoneshwa hata na Mpiga debe pale Karume
 
Ulipokuwa unataka kuwaingiza mkenge. wafanye hivyo kwa itikadi gani
 
Teh teh teh...Mods nina ombi,kwanini msibadili utaratibu ili tuweze kutoa thanks walau mara mbili?Maana nilitaka kugonga sanks lakini nikakuta mimi nilikuwa mtu wa pili kumgongea sanks mnamo 17 ocober tu thausand and naini...teh teh teh...Mods at least kulekea uchaguzi tuwezeshe kugonga sanks mara mbili wakuu...
 
Mwee Mwanakijiji nimekuvulia kofia.Sura yako na rangi yako halisi vinaonekana sasa
 
Back
Top Bottom