KJ... sina tatizo kabisa na kumpata Mbowe, nazungumza naye any time akiwa available na kuna issue ya kujadiliana naye. So, siyo ugumu au urahisi wa kumpata Mbowe unaonifanya nisifanye naye mahojiano. It is more complex na nimesubiri watu kuona lakini wameshindwa, I'll volunteer kwanini sijafanya interview na Mbowe.
Nikuulize nikifanya interview na Mbowe kuna mtu ataridhika nimefanya vizuri au tayari watakuwa wameshaamua how it should have been done? Kuna njia yoyote ya mimi kufanya interview ambayo itakuwa haijahukumiwa prematurely that is has been soft because I write for Tanzania Daima?
Lakini zaidi, nikiwa naandikia gazeti ambalo yeye ana uhusiano nalo (Tanzania Daima) wa karibu ambalo linalipia makala zangu kuna uwezekano wa mimi kufanya hivyo bila kuwa na inherent and obvious conflict of interest?
Would you (knowing that I write for Tanzania Daima and that Mbowe is associated with it in his family's ownership of the paper) trust me to conduct an interview or would you rather have somebody else do it? Somebody like Kuhani, you, Masatu or any of the other guys/ladies ambaye atakuwa tayarri kufanya hivyo.
Niko tayari kumgharimia huyo mtu na kumuunganisha na Mbowe through my studio (at no cost to him) ili afanye interview ambayo haitakuwa inagonganisha maslahi na mimi nitairusha "live" and un edited, uncut.
Would you, Kuhani or Masatu volunteer for this and let me know. But as long as I write for Tanzania Daima and Mbowe's familiy owns the paper I would not interview him on air. I have recused myself.