Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 3,951
- 4,665
sijasoma yote lakini kwa kukuelekeza ni kwamba CHADEMA ni moja ya vyama bora africa kinapita kwenye changamoto lakini kitakaa sawa tu.
fundi hajengi bila kukata tofari wala hashoni bila kukata kitambaa kwa hiyo ni swala la muda wapo watu wenye nguvu na ushawishi mkubwa tu bado hawajavaa viatu vyao sawasawa
fundi hajengi bila kukata tofari wala hashoni bila kukata kitambaa kwa hiyo ni swala la muda wapo watu wenye nguvu na ushawishi mkubwa tu bado hawajavaa viatu vyao sawasawa