CHADEMA huwatetea wananchi kwenye mambo gani?

CHADEMA huwatetea wananchi kwenye mambo gani?

Wakae kimya hivyohivyo,wakijaga kututetea,tunaonaga kama wamekosa kazi za kufanya,dawa ndiyo hiyohiyo,wakae kimya,wajipambanie wao na familia zao.Sisi acha tuone TOZO kama itawaathiri akina Mbowe,Lisu,JJ Mnyika na ndugu zao tu,huku sisi tukiachwa,au sisi ndiyo titaathirika sana.
Wapige kimya tu.... tujipambanie wenyewe na ikifika 2025,tuwape CCM kura nyingi..... wakaendelee kututetea mjengoni,kama wafanyavyo sasa.
 
Kila kona ni kilio cha Tozo kiasi kwamba Watu hawaelewi kinacholiliwa ni nini hasa

Binafsi najiuliza Chadema hujinasibu kuwa wao ni watetezi wa wananchi, je huwa wanatutetea kwenye mambo gani?

Mungu ni mwema wakati wote!
Wakati Mbowe anateseka Segerea mlikua mnamkejeli humu..

Wakati kina Lissu wanapigwa risasi na Magufuli watanzania walikua busy na habari za Simba na yanga

Watanzania wanapuuza sana mambo ya siasa ilhali ndio msingi wa maisha ya binadamu.

Samia azidishe kibano zaidi ya hapa ili wabongo wajue umuhimu wa siasa.
 
Kila kona ni kilio cha Tozo kiasi kwamba Watu hawaelewi kinacholiliwa ni nini hasa

Binafsi najiuliza Chadema hujinasibu kuwa wao ni watetezi wa wananchi, je huwa wanatutetea kwenye mambo gani?

Mungu ni mwema wakati wote!

Usihamishe magoli. Kwanini CCM isikutetee. Usipende ujinga wa kuifanya chadema ni tambala lako. Uwe na heshima. CCM ifanye maamuzi bungeni ya Tozo halafu ulete kelele na unafiki wako wa kuisema CHADEMA.

Mambo mengine kaa kimya acha unafiki. Juzi hapa ulimwita Mbowe gaidi na kifurahia Tundu Lissu kulimwa risasi, Ila Leo CCM yako imeboronga unajifanya kuisema CHADEMA. Kipindi mnafurahia kuikomoa CHADEMA kwa kujaza CCM bungeni mlidhani nyie wa maana?. Kuleni dharau yenu maana hamjielewi.

Chadema ikae kimya, iwaache na CCM yenu iliokosa mwelekeo.
 
Usihamishe magoli. Kwanini CCM isikutetee. Usipende ujinga wa kuifanya chadema ni tambala lako. Uwe na heshima. CCM ifanye maamuzi bungeni ya Tozo halafu ulete kelele na unafiki wako wa kuisema CHADEMA.

Mambo mengine kaa kimya acha unafiki. Juzi hapa ulimwita Mbowe gaidi na kifurahia Tundu Lissu kulimwa risasi, Ila Leo CCM yako imeboronga unajifanya kuisema CHADEMA. Kipindi mnafurahia kuikomoa CHADEMA kwa kujaza CCM bungeni mlidhani nyie wa maana?. Kuleni dharau yenu maana hamjielewi.

Chadema ikae kimya, iwaache na CCM yenu iliokosa mwelekeo.
Tunaikumbuka Chadema ya Dr Slaa kwa kweli

Angekuwa ameshapiga mikwara kwa Waraka mzito
 
Tunaikumbuka Chadema ya Dr Slaa kwa kweli

Angekuwa ameshapiga mikwara kwa Waraka mzito
Mmejawa na upumbavu sana, CCM ndiyo mnayoipenda lakini inapoonyesha makucha yake mnaililia Chadema. Huyo Dr Slaa hayo ya waraka angetenda enzi za JK lakini sio huu uzao wa mnayoita awamu ya tano.
Awamu ya tano mwenyekiti wenu hata angeamuwa kuwalawiti mngemsifia na kusema mitano tena huku kwa uficho mnataka Lissu au Mbowe awasemee.
Mna laana nyie!
 
Kila kona ni kilio cha Tozo kiasi kwamba Watu hawaelewi kinacholiliwa ni nini hasa

Binafsi najiuliza Chadema hujinasibu kuwa wao ni watetezi wa wananchi, je huwa wanatutetea kwenye mambo gani?

Mungu ni mwema wakati wote!
1. Wewe ulitaka Chadema iwa tetee wananchi kwenye mambo gani ?

2. Chadema iwa tetee wananchi kwani wao wananchi hawawezi kujitetea wenyewe ?
 
Usihamishe magoli. Kwanini CCM isikutetee. Usipende ujinga wa kuifanya chadema ni tambala lako. Uwe na heshima. CCM ifanye maamuzi bungeni ya Tozo halafu ulete kelele na unafiki wako wa kuisema CHADEMA.

Mambo mengine kaa kimya acha unafiki. Juzi hapa ulimwita Mbowe gaidi na kifurahia Tundu Lissu kulimwa risasi, Ila Leo CCM yako imeboronga unajifanya kuisema CHADEMA. Kipindi mnafurahia kuikomoa CHADEMA kwa kujaza CCM bungeni mlidhani nyie wa maana?. Kuleni dharau yenu maana hamjielewi.

Chadema ikae kimya, iwaache na CCM yenu iliokosa mwelekeo.
Hilo libaba lijingalijinga sana na nahisi liko above 50's umepoteza muda wako wa thamani kulijibu hilo zwazwa.

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
 
Hiki chama kilikufa kuanzia miaka ya 2014 kiliposaliti ideology yake na kuanza biashara za kuuza nafasi za uongozi.
Uko sahihi bwashee. Chadema ya kutetea wananchi ilikuwa enzi za Dr slaa, hii ya sasa ni genge la wahuni fulani wachumia tumbo na walamba asali tu.
 
Tunaikumbuka Chadema ya Dr Slaa kwa kweli

Angekuwa ameshapiga mikwara kwa Waraka mzito

CHADEMA ya Dr Slaa mazingira yaliruhusu, mikutano ilikuwepo na chadema ilikuwa bungeni. Lakini kwa Sasa mikutano imekatazwa miaka Saba Sasa, CHADEMA wataongelea wapi?. Bungeni hawapo wataongelea wapi?.

Unaposema CHADEMA ya Dr Slaa angalia na mazingira ya Sasa. Tangu uchaguzi wa 2015 serikali imeapia kutoruhusu chadema ifanye siasa.
 
Back
Top Bottom