CHADEMA huwalipa wanaoandamana

CHADEMA huwalipa wanaoandamana

View attachment 187919

Ndugu,
naona niweke sawa jambo moja ambalo ------- wa CHADEMA wamekuwa wanalisema kupotosha umma. Hii picha ni siku Ludovick alipofunga ndoa Morogoro na hapo ni Morogoro Hotel mwaka 2012. kulia kwake ni msimamizi wa ndoa yake, bestman anaitwa Prosper Mbelwa. lakini viongozi wa CHADEMA na waongo wenzao kwa kutafuta huruma kwa Lwakatare wamekuwa wanasema eti Lwakatare ndiye alisimamia ndoa ya Ludovick! chama hiki kimejaa uongo mtupu.
Tujuavyo sisi ndugu zake na Ludo ni kuwa Lwakatare alichangia elfu 30 tu kwenye arusi ya Ludovick na alihudhuria kutokana na shinikizo za ndugu zake kwani waliona anamtenga rafiki yake. kama Lwakatare mwenyewe anasoma humu au ndugu yake aseme alichangia shilingi ngapi kinyume na maelezo haya.
Punguzeni uongo na kukariri kila asemacho Tundu Lissu hata kama ni uongo. sasa huyo Lwakatare mnayesemaga eti alisimamia ndoa ya Ludovick ni yupi?
Kwako kusimamia ndoa ni kuwa bestman tu?
 
Ndugu,

Wakati maandamano yametangazwa nchi nzima na chama chetu, na kwa kweli mimi nilisema sitashiriki kwa sababu ambazo nilieleza, na zote zimeonekana kuwa kweli, dhamiri yangu imenituma kuongea jambo jingine ambalo laweza kusaidia baadhi ya watu. Ingawa najua chama changu hakitafurahishwa na hii revelation, lakini napenda nihukumiwe kwa kuutumikia ukweli.

Ndugu, wengi wa makamanda wetu hujitolea kufanya kazi za chama. Na kwa kweli umati wa wanaojitokeza kwenye shughuli za chama chetu CHADEMA kama mikutano ya hadhara ama maandamano, huja wenyewe bila kupewa fedha. lakini hii siyo kwa wote.

Chama chetu kwa muda sasa kinao utaratibu wa kuwalipa watu ili wajitokeze kuhamasisha wengine kujitokeza kwenye maandamano.

Hii ni kweli kwenye mikutano ya hadhara pia, ingawa sisi hupenda sana wengi wa wanaojitolea na wapinzani wetu wa CCM wasijue kuwa huwa tunagharimia mambo hayo.

Nakumbuka tukiwa chuo kikuu, mimi nikiwa mwenyekiti wa CHASO DUCE, tulivyokuwa tukilipa makundi ya wanafunzi ili wajitokeze kwenye makongamano ya katiba siku hizo.

Mzee Warioba amewahi kuzomewa na kundi la wanafunzi wanachama wa chadema pale Karimjee hall alipoanza speech yake kwa kusapoti ile orodha iliyoitwa siku zile "sacrosanct issues" hakika tulimzomea. alikatisha hotuba yake. Vilevile, tulikuwa tukiwalipa hela kutoka makao makuu ya chama wanafunzi baadhi ili wahamasishe maandamano na migomo chuoni.

Hivyo basi kwenye mikutano yetu, huwajazia mafuta bodaboda na watu wa bajaji, na katika maandamano huwa wanalipwa baadhi ya watu ili kuhimiza wengine.

Ni kweli hawalipwi wote, lakini hakika kuna wanaokuwa wamelipwa ili kuonyesha kuwa tunaungwa mkono na hao waongoze kuitikia hatimaye wengine wajiunge nao. Kwa hiyo katika maandamano kuna wanaolipwa na kuna wengi wasiolipwa.

Naandika mada hii kuwasadia wale ambao hujitolea tu wajue kuwa katika mkusanyiko huo kuna wenzao ambao huwa wamelipwa hela na hawa wakishawahamasisha wengine wao huishia zao kwahiyo wanaokuja kupatwa na matatizo hasa ni wale wanaojitolea tu bila kulipwa chochote.

Najua kisa kimoja Mbeya, pale waandamanaji walipoumizwa, walijiuguza wao wenyewe bila msaada wa chama. jambo hilo liliumiza sana familia zao na kwa hali ya sasa mbeya na hasa Mwanjelwa lilipotokea tukio lile, vijana hawajitokezi kwenye maandamano, bali wanadai na watoto wa viongozi nao waje mbele ndipo wataandamana. kwa hiyo ndiyo maana pia Mbeya wamegomea maandamano haya ya CHADEMA.

Hatimaye, nawaomba wananchi watafakari kama kila mtu ataachwa kucheza na sheria atakavyo, nini itakuwa future ya nchi yetu!. nina hakika chama chetu cha CHADEMA kikiingia madarakani mwaka 2015 (???) hatutaruhusu maandamano kama haya ya sasa.

Mfano tumeshaonyesha kwa chama kuzuia wanachama wake na mashabiki kuhudhuria mikutano ya Zitto Kabwe. hulka hiyo itakuwa kubwa kwa wapinzani mwaka kesho tutakapochukua dola!

Wenye masikio na wasikie.

Mwl.Ludovick


kweli hao wanafunzi wetu wanapona huko darasani
 
- Ningefanana na mzazi wako ningejiua maana kuzaa mtoto anayekuja JF kwa majina ya bandia kutukana watu ni mtoto mzigo U know kutoka kwa wazazi mzigo, haya turudi kwenye mada unabisha
Chadema huwa hwalipi waandamanaji? hahahahahahaha

Le Mutuz

Mtu duni kabila duni,wazazi wako tunawafahamu mabuya leche longaaa!!
 
Ndugu,

Wakati maandamano yametangazwa nchi nzima na chama chetu, na kwa kweli mimi nilisema sitashiriki kwa sababu ambazo nilieleza, na zote zimeonekana kuwa kweli, dhamiri yangu imenituma kuongea jambo jingine ambalo laweza kusaidia baadhi ya watu. Ingawa najua chama changu hakitafurahishwa na hii revelation, lakini napenda nihukumiwe kwa kuutumikia ukweli.

Hatimaye, nawaomba wananchi watafakari kama kila mtu ataachwa kucheza na sheria atakavyo, nini itakuwa future ya nchi yetu!. nina hakika chama chetu cha CHADEMA kikiingia madarakani mwaka 2015 (???) hatutaruhusu maandamano kama haya ya sasa.

Wenye masikio na wasikie.

Mwl.Ludovick
Mkuu Ludo, kwanza asante kwa uzi huu na hongera kwa kuamua kuusema ukweli, ili ukweli ukuweke huru! "Speak the truth, and the truth will set you free!", ila nahofia sana usalama wako kwa hii staili unayoitumia!, kama ni kweli ulikuwa "an inside man, na sasa unaanza to spill the beans!, una hatari ya ku end up being "silenced" kwa wewe kuwa spilled before you spill more beans!.

Politics is a dirty game, na kweli kila politics, kuna lots and lots of dirty games toka vyama vyote, CCM inclusive, sasa ukiwa an insider, unakuja kuleta mambo ya inside into an open, you are not only not a trustworthy person, but a risk person who needs to be disposed the sooner the better!, so watch out, hata kama unaweza kukumbukwa kama shujaa wa ukweli!, jiulize is it worth it?.

Ila pia kwa vile you were one of them, natatizwa na "the motive behind" hizi revelations zako!, najua wewe unajijua uko normal na uko ok, ila kiukweli amini usiamini, you are not normal and you are not ok!, you are insane!. Hauko sawa kabisa na wala hauko timamu!.

Kuusema hadharani ukweli wa mambo ya sirini kama huu unaosema hapa, japo ni kitendo cha ushujaa sana, ila pia ushujaa huu unaweza kufanywa na mtu tuu asiye timamu!, kutokuwa timamu, sio lazima ndio uwe kichaa, kuna wasio timamu kibao ambao sio vichaa, ila pia kuwa kichaa sio mpaka lazima uokote makopo, kuna vichaa kibao ambao hawaokoti makopo!.

Nakushauri kabla ya kuanzisha baadhi ya mada, jitafakari kwanza, haswa kuhusu "the motive behind mada husika, ndipo uipandishe!, ila kwa level ya "insanity ninayokusoma nayo humu!, I doubt kama you still have even a little brain to make sense of anything I say here!.

Ni ushauri tuu!. Hongera Shujaa Ludo!, tutakukumbuka!.

Thanks.

Pasco.
 
Nilikuwa sijakubaliana na waliosema kuwa Ludo "yupo kazini", sasa naweza kukubali.
Lakini hata hivyo, I still underestimate your strategies, you seem to be an amateur!!
 
La ajabu ni lipi? Hujui kwamba viongozi inabidi wapewe posho? Wao wako kazini kuratibu shughuli
 
I have told him, his is an amateur, I underestimate him.
Mkuu Ludo, kwanza asante kwa uzi huu na hongera kwa kuamua kuusema ukweli, ili ukweli ukuweke huru! "Speak the truth, and the truth will set you free!", ila nahofia sana usalama wako kwa hii staili unayoitumia!, kama ni kweli ulikuwa "an inside man, na sasa unaanza to spill the beans!, una hatari ya ku end up being "silenced" before you spill more beans!.

Politics is a dirty game, na kweli kila politics, kuna lots and lots of dirty games tok a vyama vyote CCM inclusive, sass ukiwa insider, unakuja kuleta mambo ya inside into an open, you are not only not a trustworthy person, but a risk with needs to be disposed the sooner the better!, so watch out, hata kama unawake kukumbukwa kama shujaa wa ukweli!, jiulize is it with it?.

Ila pia kwa vile you were one of them, natatizo na "the motive behind" hizi revelations zako!, najui wewe unajijua uko normal na uko ok, ila kiukweli amini usiamini, you are not normal and you are not ok!, you are insane!. Hauko saws kabisa na wall hauko timamu!.

Kuusema ukweli huu unaosema hapa ni kitendo cha ushujaa sana, ili pia ushujaa huu unawezwa kufanya na mtu tuu asiye timamu!, kutokuwa timamu, sio lazima ndio uwe kichaa, kuna wasio timamu kibao ambao sio vichaa, ila pia kuwa kichaa sio mpaka lazima uokote makopo, kuna vichaa kibao ambao hawaokoti makopo!.

Nakushauri kabla ya kuanzisha baadhi ya mada, jitafakari kwanza, haswa kuhusu "the motive behind mada husika, ndipo uipandishe!, ila kwa level ya "insanity ninayokusoma nayo humu!, I doubt kama you still have even a little brain to make of anything I say here!.

Ni ushauri tuu!. Hongera Shujaa Ludo!, tutakukumbuka!.

Thanks.

Pasco.
 
Mkuu Ludo, kwanza asante kwa uzi huu na hongera kwa kuamua kuusema ukweli, ili ukweli ukuweke huru! "Speak the truth, and the truth will set you free!", ila nahofia sana usalama wako kwa hii staili unayoitumia!, kama ni kweli ulikuwa "an inside man, na sasa unaanza to spill the beans!, una hatari ya ku end up being "silenced" before you spill more beans!.

Politics is a dirty game, na kweli kila politics, kuna lots and lots of dirty games tok a vyama vyote CCM inclusive, sass ukiwa insider, unakuja kuleta mambo ya inside into an open, you are not only not a trustworthy person, but a risk with needs to be disposed the sooner the better!, so watch out, hata kama unawake kukumbukwa kama shujaa wa ukweli!, jiulize is it with it?.

Ila pia kwa vile you were one of them, natatizo na "the motive behind" hizi revelations zako!, najui wewe unajijua uko normal na uko ok, ila kiukweli amini usiamini, you are not normal and you are not ok!, you are insane!. Hauko saws kabisa na wall hauko timamu!.

Kuusema ukweli huu unaosema hapa ni kitendo cha ushujaa sana, ili pia ushujaa huu unawezwa kufanya na mtu tuu asiye timamu!, kutokuwa timamu, sio lazima ndio uwe kichaa, kuna wasio timamu kibao ambao sio vichaa, ila pia kuwa kichaa sio mpaka lazima uokote makopo, kuna vichaa kibao ambao hawaokoti makopo!.

Nakushauri kabla ya kuanzisha baadhi ya mada, jitafakari kwanza, haswa kuhusu "the motive behind mada husika, ndipo uipandishe!, ila kwa level ya "insanity ninayokusoma nayo humu!, I doubt kama you still have even a little brain to make of anything I say here!.

Ni ushauri tuu!. Hongera Shujaa Ludo!, tutakukumbuka!.

Thanks.

Pasco.

Mkuu Pasco.
Nimekusoma na naheshimu observation zako. umesema mengi na bila shaka unazo grounds za kusema hayo. naona kwa jicho pana kila kauli ulizosema. ingawa sidhani kuwa umeelezwa juu ya mpango wa mimi kuwa "disposed the erlier the better!" disposed???? naam, inawezekana,inawezekana. lakini ninaweza kufanya nini wakati nia hiyo ipo? Biblia husema Bwana asipolinda nyumba wailindao hukesha bure tu. haya mengine ya kuwa insane kama ulivyosema kila mmoja huwa na insanity kwa kiasi chake ila tunazidiana tu.
Pasco, ni kweli mtanikumbuka.
 
Politics is a dirty game, na kweli kila politics, kuna lots and lots of dirty games tok a vyama vyote CCM inclusive, sass ukiwa insider, unakuja kuleta mambo ya inside into an open, you are not only not a trustworthy person, but a risk with needs to be disposed the sooner the better!, so watch out, hata kama unawake kukumbukwa kama shujaa wa ukweli!, jiulize is it with it?.

Pasco.


Mkuu Pasco

Umenikumbusha maneno ya hekima niliyopewa siku moja na mzee mmoja wahuko Singida,

Yeye anasema kule kwao Kijijini mwenye Ngozi/kofia ya FISI ni shujaa zaidi ya mwenye Ngozi/Kofia ya simba kwa maana kumua simba ni rahisi kuliko Fisi, manaa Fisi yeye akiona KIMENUKA najikimbilia pembeni na kupotea, Simba akiona kimenuka yeye anajifanya mwamba na kuanza kupigana na kupambana na mwisho wake ni Kifo.

So nilijifunza tokea siku hiyo kuto kuwa kimbelembele na kujifanya unahaki hata kama ni kweli maana wansema as long as utamdhalilisha mtu basi hakika itabaki moyoni kwake na inaweza kusababishia kulipa Kisasi.

Ni hayo tu. kwa Kijana namshahuri ajifunze kuwa FISI na sio SIMBA hata kama anajiamini yupo sahihi.
 
Last edited by a moderator:
- Kumbe ulipokuwa huko Chadema umejonea mengi ya ajabu na hawa wanafiki wakubwa, ndio maana miaka 30 hakuna dola wanaishia side lines na kuandamana na kugoma tu, wewe sema wasikutishe hawana lolote na matusi yao ya kizamani zamani wakati huku mjini kuna matusi mapya kabisa le mburulazzz, weka habari hapa tuone mchele na pumba kujibu hoja hawawezi kwa sababu hawa ni wapambe tu hawajui lolote kile chama kina wenyewe muulize yule kijana waliyekuwa wanamtumia kutukana Viongozi wa CCM mitandaoni walivyomtupa kwenye uchaguzi wao hahahahahaha!!

Le Big Show
mkuu, kwani lini anekihama CHADEMA cz bado ameandika chama changu a.k.a CHADEMA alafu we unasema ulipokuwa huko cdm sasa mkweli ni nani kati yenu?
 
Ndugu,

Wakati maandamano yametangazwa nchi nzima na chama chetu, na kwa kweli mimi nilisema sitashiriki kwa sababu ambazo nilieleza, na zote zimeonekana kuwa kweli, dhamiri yangu imenituma kuongea jambo jingine ambalo laweza kusaidia baadhi ya watu. Ingawa najua chama changu hakitafurahishwa na hii revelation, lakini napenda nihukumiwe kwa kuutumikia ukweli.

Ndugu, wengi wa makamanda wetu hujitolea kufanya kazi za chama. Na kwa kweli umati wa wanaojitokeza kwenye shughuli za chama chetu CHADEMA kama mikutano ya hadhara ama maandamano, huja wenyewe bila kupewa fedha. lakini hii siyo kwa wote.

Chama chetu kwa muda sasa kinao utaratibu wa kuwalipa watu ili wajitokeze kuhamasisha wengine kujitokeza kwenye maandamano.

Hii ni kweli kwenye mikutano ya hadhara pia, ingawa sisi hupenda sana wengi wa wanaojitolea na wapinzani wetu wa CCM wasijue kuwa huwa tunagharimia mambo hayo.

Nakumbuka tukiwa chuo kikuu, mimi nikiwa mwenyekiti wa CHASO DUCE, tulivyokuwa tukilipa makundi ya wanafunzi ili wajitokeze kwenye makongamano ya katiba siku hizo.

Mzee Warioba amewahi kuzomewa na kundi la wanafunzi wanachama wa chadema pale Karimjee hall alipoanza speech yake kwa kusapoti ile orodha iliyoitwa siku zile "sacrosanct issues" hakika tulimzomea. alikatisha hotuba yake. Vilevile, tulikuwa tukiwalipa hela kutoka makao makuu ya chama wanafunzi baadhi ili wahamasishe maandamano na migomo chuoni.

Hivyo basi kwenye mikutano yetu, huwajazia mafuta bodaboda na watu wa bajaji, na katika maandamano huwa wanalipwa baadhi ya watu ili kuhimiza wengine.

Ni kweli hawalipwi wote, lakini hakika kuna wanaokuwa wamelipwa ili kuonyesha kuwa tunaungwa mkono na hao waongoze kuitikia hatimaye wengine wajiunge nao. Kwa hiyo katika maandamano kuna wanaolipwa na kuna wengi wasiolipwa.

Naandika mada hii kuwasadia wale ambao hujitolea tu wajue kuwa katika mkusanyiko huo kuna wenzao ambao huwa wamelipwa hela na hawa wakishawahamasisha wengine wao huishia zao kwahiyo wanaokuja kupatwa na matatizo hasa ni wale wanaojitolea tu bila kulipwa chochote.

Najua kisa kimoja Mbeya, pale waandamanaji walipoumizwa, walijiuguza wao wenyewe bila msaada wa chama. jambo hilo liliumiza sana familia zao na kwa hali ya sasa mbeya na hasa Mwanjelwa lilipotokea tukio lile, vijana hawajitokezi kwenye maandamano, bali wanadai na watoto wa viongozi nao waje mbele ndipo wataandamana. kwa hiyo ndiyo maana pia Mbeya wamegomea maandamano haya ya CHADEMA.

Hatimaye, nawaomba wananchi watafakari kama kila mtu ataachwa kucheza na sheria atakavyo, nini itakuwa future ya nchi yetu!. nina hakika chama chetu cha CHADEMA kikiingia madarakani mwaka 2015 (???) hatutaruhusu maandamano kama haya ya sasa.

Mfano tumeshaonyesha kwa chama kuzuia wanachama wake na mashabiki kuhudhuria mikutano ya Zitto Kabwe. hulka hiyo itakuwa kubwa kwa wapinzani mwaka kesho tutakapochukua dola!

Wenye masikio na wasikie.

Mwl.Ludovick

hadithi yako inatufundisha nn
 
sijaona tatizo kabisa katika hili...kama watu wana shughuli zao za kupata ridhiki wakaziacha kwa siku ile halafu wakalipwa hela ya maji ,nauli kwasabau mamndamano yanatakiwa kuanzia magomeni na mtu anaishi kimara bonyokwa...unafikiri atashiriki vipi kama hana hela ya maji au nauli au ugali....ukimpa hela mtu kama huyo sio kuwa umemlipa kuandamana.......suala la karimjee....CCM ndio walitangulia kuwaleta watoto wa primary school...waliwaleta alfajiri kujaza ukumbi....watoto hawajui hata walichofuata.....kama unversity students wa DUCE wamepewa nauli kwenda karimjee kuna tatizo gani? tuache ngonjera....ngonjera zinatosha...tuangalie maslahi ya wananchi ambayo CCM wamekubali wameshindwa kuyatumikia,wawaachie wenzao kwa muda huu....ila hawewezi kufanya hivyo kwasababu wanataka kulinda maslahi ya watoto na wajukkuu wao kama wewe.....

Shikamoo mkuu
Sina cha kuongeza
 
Mkuu Pasco.
Nimekusoma na naheshimu observation zako.
Pasco, ni kweli mtanikumbuka.
Mkuu Ludo, tutakukumbuka Daima Milele!.
Hata wana CCM wanaupenda ukweli, wanamkumbuka Horace Kolimba daima milele!.
Hata Wanachadema wanaopenda haki, wanamkumbuka Chacha Wangwe Daima Milele!.
Hata wanausama (Tiss) wanaochukia "dirty games" wanamkumbuka Imran Kombe daima milele!.
Hata wandishi wa habari za uchunguzi, wanamkumbuka Stan Katabalo daima milele!.

Joseph Ludovick tutakukumbuka daima milele!.

Ila pia hata mimi, kwa enzi zangu za "Kiti Moto" nilijiachia kabla sijakumbukwa daima milele!.
Thanks.

Pasco
 
Back
Top Bottom