Ni bora Propaganda za akina
Ritz,
MSALANI Lizaboni Simiyu Yetu Chabruma chama,@kiroriti na wote wale Nyumbu wa Lumumba ambazo huwaga tunazichukulia kam kuchangamsha genge,lakini za Kwako,tunazichukulia kama taka taka zinazotoka kwa mtu aliyekata tamaa ki maisha,hohe hahe asiye na mbele wala nyuma,anayetegeea fadhili za mtu yoyote yule ili walau Mkono wake uende Kinywani.
Watu kama wewe ni hatar hata kwa maisha ya ndugu zako wa karibu kabisa,kama vile Mama na Babaako,watu kama nyie mko tayar kuwatoa kafara wapendwa wenu kwa waganga wa kienyeji ili mpate utajiri.
Kimsingi nina kudharau sana.