CHADEMA huwalipa wanaoandamana

CHADEMA huwalipa wanaoandamana

- Jibu hoja kama huna kaa pembeni tumechoka na maneno yenu ya hovyo hovyo weka hoja hapa wachana na mjumbe jibu hoja zake

Le Mutuz
Ngoja apewe vidonge vyake opportunist nambari wani aliyekuwa anapokea hela kutoka kwa Mwigulu.
 
Wewe ni mpuuzi tu na njaa zako. Hakuna kipya ulichokileta hapa jamvini. Hakuna m2 asiyejua kwamba katika shughuli mbalimbali ziwe za SIASA au za KIUTUMISHI wa UMMA, kuna baadhi hunufaika na kuna baadhi hawanufaiki. Hivyo kuja na KIJIHOJA CHAKO CHA KIJINGA HAISAIDII. Wewe kwanza ndo unatakiwa ujitathimini. Huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja. Buk 7 unayolipwa na MAGAMBA haikufanyi uondokane na umaskini wako. Tumia akili yako vizuri kwa ajili ya manufaa ya watz. Pole kwa kuharibikiwa na AKILI.

- wewe toa hoja tuone tofauti yako na huyu mwananchi mwenye uchungu na Taifa wacha kelele za mlango maneno mengi jibu hoja hapa!!

Le Mutuz
 
Joseph Ludovick
Pamoja na yote maujinga yote hayo ya CHADEMA bado unaendelea kuwa mwanachama wa hicho chama?? mwenye akili angesha jiondoa ajiunge na wengine walio safi. Imekuaje wewe??

Mkuu,
CHADEMA inayo misingi yake na Falsafa yake. ila kwa sasa misingi hiyo kwa sasa imefukiwa na walafi wachache lakini wenye nguvu kwenye chama. sasa sisi wengine tunadai mabadiliko kutokea ndani. waitaliano wanaita "argionamento". tutakapowapindua hawa mabepari, tutabaki na CHADEMA yetu inayoamini katika uwazi,uwajibikaji, kuchukia rushwa na ufisadi, isiyokubali ufuska na kama hayo. SISI TUNAAMINI KATIKA UWAZI NA MABADILIKO.
 
Kubwa la wasaliti Ludovick,
Unaweza kutuwekea ushahidi hapa namna mlivyokuwa mkiwalipa hao unaodai kuwa walikuwa eakilipwa ulipokuwa CHASO??

Wewe ni mtu wa kuogopwa kuliko UKIMWI, Kama unaweza kusakazia kesi ya Ugaidi mtu ambaye kwa upendo wake aliamua kusimamia ndoa yako tena mtu mwenyewe maskini ya Mungu alikuwa mgonjwa wa Kisukari. Wewe ukaona malipo yake ni KUMPAKAZIA kesi ya Ugaidi ili akafie gerezani huku ukijipatia Million 30 kama mshahara wako kwa kazi uliyoifanya.

Nasi hatushangai wewe kuja na hizi drama zako kwamba Chadema inalipa watu kwaajili ya kuhudhuria maandamamo kwasababu uliyoyafanya kwa Rwakatale ni makubwa na ya hatari kuliko haya. Ila aishivyo Mungu mpenda haki atamwesabia haki mwenye haki na si kinyume chake nawe hukumu yako ilikwisha kupangwa labda kama utarudi na kukili makosa yako

Kamwe hatuhangaiki na wewe kwasababu Shetani anawajua walio wake Kila tukuonapo tutakukwepa kama tumkimbiavyo nyoka

BACK TANGANYIKA

- Ludovick for Presidency saafi sana mkuu ludo funguka funguka maana hilo lichama sasa limekuwa danguro la uchafu kumbe wanwalipa waandamanaji duh!!

Le Mutuz
 
Mkuu,
CHADEMA inayo misingi yake na Falsafa yake. ila kwa sasa misingi hiyo kwa sasa imefukiwa na walafi wachache lakini wenye nguvu kwenye chama. sasa sisi wengine tunadai mabadiliko kutokea ndani. waitaliano wanaita "argionamento". tutakapowapindua hawa mabepari, tutabaki na CHADEMA yetu inayoamini katika uwazi,uwajibikaji, kuchukia rushwa na ufisadi, isiyokubali ufuska na kama hayo. SISI TUNAAMINI KATIKA UWAZI NA MABADILIKO.

- Ludovick toka hilo lichama limeoza hamia CCM tunakupa kugombea Urais wewe unafaa kuwa Rais sio huko kwa wahuni hao!!

Le Mutuz
 
- HAHAHAHA soma tena mada ni Chadema kuwalipa waandamanaji unataka kupoteza lengo yaani unataka na mimi niongelee wazaziw ako wasiojulikana, please tulia hapa kama unanyolewa wewe Chadema sio chama chako so tuliza boli upewe darassa ywa wanaoijua Chadema, sema kaka

Le Mutuz

wazazi wangu hawewezi kufanana na wako,we unafanana na wazazi wako,mnaaibisha kabila lote la wagogo.
 
Mkuu,
CHADEMA inayo misingi yake na Falsafa yake. ila kwa sasa misingi hiyo kwa sasa imefukiwa na walafi wachache lakini wenye nguvu kwenye chama. sasa sisi wengine tunadai mabadiliko kutokea ndani. waitaliano wanaita "argionamento". tutakapowapindua hawa mabepari, tutabaki na CHADEMA yetu inayoamini katika uwazi,uwajibikaji, kuchukia rushwa na ufisadi, isiyokubali ufuska na kama hayo. SISI TUNAAMINI KATIKA UWAZI NA MABADILIKO.

Mkuu sisi tunajua unaijua chadema kuliko hao wanao kutukana! Endelea kutujuza sisi tuna kusikiliza
 
Ulikuwa mwenyekiti wa chaso-duce mwaka gani(kwa kipindi kipi?) labda nianzie hapo kukuuliza.
 
wazazi wangu hawewezi kufanana na wako,we unafanana na wazazi wako,mnaaibisha kabila lote la wagogo.

Mkuu mada inasema chadema huwalipa waandamanaji na anayesema hayo ni anaye ijua chadema kuliko yeyote! kwa hiyo naomba ujadili hilo!
 
- Kumbe ulipokuwa huko Chadema umejonea mengi ya ajabu na hawa wanafiki wakubwa, ndio maana miaka 30 hakuna dola wanaishia side lines na kuandamana na kugoma tu, wewe sema wasikutishe hawana lolote na matusi yao ya kizamani zamani wakati huku mjini kuna matusi mapya kabisa le mburulazzz, weka habari hapa tuone mchele na pumba kujibu hoja hawawezi kwa sababu hawa ni wapambe tu hawajui lolote kile chama kina wenyewe muulize yule kijana waliyekuwa wanamtumia kutukana Viongozi wa CCM mitandaoni walivyomtupa kwenye uchaguzi wao hahahahahaha!!

Le Big Show

mkuu huyu ndugu ludo bado yupo cdm hadi sasa kulingana na alivo andika hapo juu.
 
- Jibu hoja kama huna kaa pembeni tumechoka na maneno yenu ya hovyo hovyo weka hoja hapa wachana na mjumbe jibu hoja zake

Le Mutuz

Hivi watu wazima na akili zetu hatuna kazi ya kufanya mpaka tuhangaike kumjibu Ludovick!!!!!!??? Ludo kukusaidia
CHADEMA nguvu kubwa baba imeshindwa serikali nzima nzima ya ccm sembuse weweee!!! hangaikia maisha yako,maana jamaa wamekata kulipa posho kwenu pole'
 
Dah, DUCE hii!! Yaani hata kuelezea tu ule mtiririko wa matukio kwa uzuri na ujenzi wa hoja kwako ni bila bila, kweli wanafunzi utakaowafundisha wataelewa kitu??
Hii inanipa jibu kwa nini uko jinsi ulivyo!! Kwa nini walichagua kukutumia wewe na sio mwingine!! Kila la kheri kaka

Mkuu swala hapa ni chadema kulipa waandamanaji!
 
Mkuu mada inasema chadema huwalipa waandamanaji na anayesema hayo ni anaye ijua chadema kuliko yeyote! kwa hiyo naomba ujadili hilo!

Ha ha haaaaa anayeijua CHADEMA ni Ludovick huyu mwenye njaa mpaka kwenye ukucha ha ha haaaa!!!!
njaa inamsumbua maana jamaa walikata kutoa posho baada ya deal la video feki kufeli'
 
Chadema inaongozwa kwa fikra za kujipa moyo..yaani wanadhani watanzania wote wanna akili kama wale wabangaizaji wanaoshinda ufipa street..si rahisi kuhamasisha maandamano hewa yanayopigwa kalenda kila leo
 
- wewe toa hoja tuone tofauti yako na huyu mwananchi mwenye uchungu na Taifa wacha kelele za mlango maneno mengi jibu hoja hapa!!

Le Mutuz
Le Mutuz, nakuheshimu sana na ukisemacho kuwa nastahili kujibu hoja, ni kweli kabisa! LAKINI, UKIONA SIJAWEZA KUJIBU HOJA, NI KWA SABABU HAKUNA HOJA YA KUJIBU BALI MANENO MATUPU YA MTU MWENYE NJAA ILIYOPANDA TOKA TUMBONI NA KWENDA KWENYE UBOGO (AKILINI). HAIWEZEKANI KWA M2 MWENYE UTASHI MKUBWA KUONA MAOVU YANATENDEKA MIAKA YOTE HIYO, ASIJING'ATU NA KUACHANA NA UCHAFU. BADALA YAKE AMENG'ANG'ANIA TU HUMO HUMO. HUONI KUWA HUO NI WENDAWAZIMU? KAMA UTAKUWA UNATETEA UPUUZI WA NAMNA HII, BASI NA WEWE NAANZA KUKUTILIA SHAKA. JITAMBUE NDUGU.
 
Kubwa la wasaliti Ludovick,
Unaweza kutuwekea ushahidi hapa namna mlivyokuwa mkiwalipa hao unaodai kuwa walikuwa eakilipwa ulipokuwa CHASO??

Wewe ni mtu wa kuogopwa kuliko UKIMWI, Kama unaweza kusakazia kesi ya Ugaidi mtu ambaye kwa upendo wake aliamua kusimamia ndoa yako tena mtu mwenyewe maskini ya Mungu alikuwa mgonjwa wa Kisukari. Wewe ukaona malipo yake ni KUMPAKAZIA kesi ya Ugaidi ili akafie gerezani huku ukijipatia Million 30 kama mshahara wako kwa kazi uliyoifanya.

Nasi hatushangai wewe kuja na hizi drama zako kwamba Chadema inalipa watu kwaajili ya kuhudhuria maandamamo kwasababu uliyoyafanya kwa Rwakatale ni makubwa na ya hatari kuliko haya. Ila aishivyo Mungu mpenda haki atamwesabia haki mwenye haki na si kinyume chake nawe hukumu yako ilikwisha kupangwa labda kama utarudi na kukili makosa yako

Kamwe hatuhangaiki na wewe kwasababu Shetani anawajua walio wake Kila tukuonapo tutakukwepa kama tumkimbiavyo nyoka

BACK TANGANYIKA

JOE.JPG

Ndugu,
naona niweke sawa jambo moja ambalo ------- wa CHADEMA wamekuwa wanalisema kupotosha umma. Hii picha ni siku Ludovick alipofunga ndoa Morogoro na hapo ni Morogoro Hotel mwaka 2012. kulia kwake ni msimamizi wa ndoa yake, bestman anaitwa Prosper Mbelwa. lakini viongozi wa CHADEMA na waongo wenzao kwa kutafuta huruma kwa Lwakatare wamekuwa wanasema eti Lwakatare ndiye alisimamia ndoa ya Ludovick! chama hiki kimejaa uongo mtupu.
Tujuavyo sisi ndugu zake na Ludo ni kuwa Lwakatare alichangia elfu 30 tu kwenye arusi ya Ludovick na alihudhuria kutokana na shinikizo za ndugu zake kwani waliona anamtenga rafiki yake. kama Lwakatare mwenyewe anasoma humu au ndugu yake aseme alichangia shilingi ngapi kinyume na maelezo haya.
Punguzeni uongo na kukariri kila asemacho Tundu Lissu hata kama ni uongo. sasa huyo Lwakatare mnayesemaga eti alisimamia ndoa ya Ludovick ni yupi?
 
Ni bora Propaganda za akina Ritz, MSALANI Lizaboni Simiyu Yetu Chabruma chama,@kiroriti na wote wale Nyumbu wa Lumumba ambazo huwaga tunazichukulia kam kuchangamsha genge,lakini za Kwako,tunazichukulia kama taka taka zinazotoka kwa mtu aliyekata tamaa ki maisha,hohe hahe asiye na mbele wala nyuma,anayetegeea fadhili za mtu yoyote yule ili walau Mkono wake uende Kinywani.
Watu kama wewe ni hatar hata kwa maisha ya ndugu zako wa karibu kabisa,kama vile Mama na Babaako,watu kama nyie mko tayar kuwatoa kafara wapendwa wenu kwa waganga wa kienyeji ili mpate utajiri.
Kimsingi nina kudharau sana.

Ludo kaongea ukweli na viashiria vinaonyesha umekuuma..pole sana ukiingia kwenye mada uwe na hoja na sio kutumia fallacies kama unavyopayuka wewe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom