CHADEMA hujafa hujaumbika

CHADEMA hujafa hujaumbika

Mbona CHADEMA ilisha kusanya million 22 na kukabidhi kwa familia ya Prof j. Na pia CHADEMA walituma salamu za shukrani kwa wananchi waliohusika. Tatizo mnafanya siasa Hadi kwenye ugonjwa wa mtu. Mnatafuta Mambo madogo ili muishushe CHADEMA.
Nafikiri ana maanisha kwamba Harakati za kuchangisha hizo hela kumjali kwa kumtembelea hazikuanzishwa na chadema kama chama wao wamedandia mbele ya safari tu
 
Ikumbukwe Prof. J ni mbunge mstaafu na mpaka sasa ni kiongozi wa Chadema (mwenyekiti wilaya ya Kilosa na mjumbe wa Baraza kuu na mkutano mkuu Taifa)
Sarakasi za Chadema zimepekekea Raia kuhoji mambo mengi Sana.

Tena Bora wasingedandia treni mbele labda wasingeibua mijadala inayoendelea mitandaoni

1. Chadema walijiweka kando na Familia ya Jay, ni Kama kumsusa Jay kimtindo.

2. Chadema hawakwenda hata kumuona Jay hospitali. Ni Kama kumpuuza fulani hivi. Jana Jumamosi ndio tumewaona Suzan Lyimo, Kihwelu na Owenya ndio wameenda.

3. Chadema Kama chama haijaonyesha namna yoyote ya kumchangia Jay matibabu, walitaka kujificha kwenye kivuli Cha malisa na Gifted heart wakasahau kuwa Malisa ni mwanachama tu na gifted heart ina members wa mirengo tofauti.

:::Gifted heart wamehimiza michango.

Wasanii wamekusanya michango.
AcT wamehimiza michango
Ccm kupitia kwa Katibu Mkuu wake wameenda hospitali kumuona Jay.
Wizara ya afya imempa special care mgonjwa.

Mama Samia ameagiza serikali kugharamia matibabu.

Clouds media na viongozi wa dini wamefanya ibada maalum ya kumuombea Jay.

Chadema imefanya nini? Angalau hata hawa wabunge mnaowaita covid walijichangisha wakapeleka mchango wao kwa mgonjwa.
Kuna wakati huwa tunadanganywa kuwa wanaohama wananunuliwa' kumbe matendo ya viongozi ambayo kimsingi hayaendani na kile wanachokihubiri ndio kinachowakwaza watu. Inauma na kufikirisha Sana!
CCM imekuwa kimbelembele kwenye ugonjwa wa prof j kwasababu inajua ilichomfanyia huyo mgonjwa mbona tundu lissu mlinyima pesa ya matibabu tena alikuwa bungeni acha huyu mstaafu CCM ina uhuni wa enzi za laizoni😃😃
 
Ikumbukwe Prof. J ni mbunge mstaafu na mpaka sasa ni kiongozi wa Chadema (mwenyekiti wilaya ya Kilosa na mjumbe wa Baraza kuu na mkutano mkuu Taifa)
Sarakasi za Chadema zimepekekea Raia kuhoji mambo mengi Sana.

Tena Bora wasingedandia treni mbele labda wasingeibua mijadala inayoendelea mitandaoni

1. Chadema walijiweka kando na Familia ya Jay, ni Kama kumsusa Jay kimtindo.

2. Chadema hawakwenda hata kumuona Jay hospitali. Ni Kama kumpuuza fulani hivi. Jana Jumamosi ndio tumewaona Suzan Lyimo, Kihwelu na Owenya ndio wameenda.

3. Chadema Kama chama haijaonyesha namna yoyote ya kumchangia Jay matibabu, walitaka kujificha kwenye kivuli Cha malisa na Gifted heart wakasahau kuwa Malisa ni mwanachama tu na gifted heart ina members wa mirengo tofauti.

:::Gifted heart wamehimiza michango.

Wasanii wamekusanya michango.
AcT wamehimiza michango
Ccm kupitia kwa Katibu Mkuu wake wameenda hospitali kumuona Jay.
Wizara ya afya imempa special care mgonjwa.

Mama Samia ameagiza serikali kugharamia matibabu.

Clouds media na viongozi wa dini wamefanya ibada maalum ya kumuombea Jay.

Chadema imefanya nini? Angalau hata hawa wabunge mnaowaita covid walijichangisha wakapeleka mchango wao kwa mgonjwa.
Kuna wakati huwa tunadanganywa kuwa wanaohama wananunuliwa' kumbe matendo ya viongozi ambayo kimsingi hayaendani na kile wanachokihubiri ndio kinachowakwaza watu. Inauma na kufikirisha Sana!
Inakuuma sana eeh? Ichomoe
 
Tuchukulie uko sahihi sana na hii ramli chonganishi, Profesa J ameporwa ubunge wake uchaguzi uliopita na yule kiongozi.

Hivyo Prof J alivuta hela yake yote ya kumaliza ubunge 200m. Je amepeleka wapi hela yote hiyo ndani ya mwaka mpaka mumgeuze mtaji wa siasa za kishamba?

Mnadhani mnaichonganisha cdm na wananchi, kumbe mnamuanika profesa J kuwa ni mfujaji wa Pesa. Kama alikuwa anapata 12m@ kwa muda wa miaka mitano, na mkono wa kwaheri wa 200m, iweje ndani ya mwaka ashindwe kujihudumia matibabu yake mpaka ageuzwe muhanga wa siasa za majitaka?

Ni hivi, kama mmegeuza mtaji wa kisiasa profesa J, basi mnamuanika tu kuwa ni mfujaji wa pesa akitegemea kusaidiwa kisa alikuwa mbunge wa cdm.
Sidhani kama Profesa J au familia yake waliomba msaada kwa mtu au chama chochote. Ni watu tuu ndio wanaogongana kumchangia. Na wengine kama aliyeleta mada hii hapa wanajaribu kutumia ugonjwa kwa ajenda zao wenyewe.

Amandla...
 
Jibu hoja kwa ushahidi kwamba hicho kinachodaiwa kutofanyika kwa Profesa J ni kweli au uongo kwa kuweka ushahidi sio kusema tu uongo hausaidii.
Wewe ni mmojawapo wa wazushi wazoefu wa kuleta mada za uzushi hapa JF.
Tuthibitishie it is not your own medicine.
Subiri prof j mwenyewe apone ataeleza
 
Ikumbukwe Prof. J ni mbunge mstaafu na mpaka sasa ni kiongozi wa Chadema (mwenyekiti wilaya ya Kilosa na mjumbe wa Baraza kuu na mkutano mkuu Taifa)
Sarakasi za Chadema zimepekekea Raia kuhoji mambo mengi Sana.

Tena Bora wasingedandia treni mbele labda wasingeibua mijadala inayoendelea mitandaoni

1. Chadema walijiweka kando na Familia ya Jay, ni Kama kumsusa Jay kimtindo.

2. Chadema hawakwenda hata kumuona Jay hospitali. Ni Kama kumpuuza fulani hivi. Jana Jumamosi ndio tumewaona Suzan Lyimo, Kihwelu na Owenya ndio wameenda.

3. Chadema Kama chama haijaonyesha namna yoyote ya kumchangia Jay matibabu, walitaka kujificha kwenye kivuli Cha malisa na Gifted heart wakasahau kuwa Malisa ni mwanachama tu na gifted heart ina members wa mirengo tofauti.

:::Gifted heart wamehimiza michango.

Wasanii wamekusanya michango.
AcT wamehimiza michango
Ccm kupitia kwa Katibu Mkuu wake wameenda hospitali kumuona Jay.
Wizara ya afya imempa special care mgonjwa.

Mama Samia ameagiza serikali kugharamia matibabu.

Clouds media na viongozi wa dini wamefanya ibada maalum ya kumuombea Jay.

Chadema imefanya nini? Angalau hata hawa wabunge mnaowaita covid walijichangisha wakapeleka mchango wao kwa mgonjwa.
Kuna wakati huwa tunadanganywa kuwa wanaohama wananunuliwa' kumbe matendo ya viongozi ambayo kimsingi hayaendani na kile wanachokihubiri ndio kinachowakwaza watu. Inauma na kufikirisha Sana!
siasa hadi kwenye uhai na afya zetu!!

hii nchi
 
Tuchukulie uko sahihi sana na hii ramli chonganishi, Profesa J ameporwa ubunge wake uchaguzi uliopita na yule kiongozi.

Hivyo Prof J alivuta hela yake yote ya kumaliza ubunge 200m. Je amepeleka wapi hela yote hiyo ndani ya mwaka mpaka mumgeuze mtaji wa siasa za kishamba?

Mnadhani mnaichonganisha cdm na wananchi, kumbe mnamuanika profesa J kuwa ni mfujaji wa Pesa. Kama alikuwa anapata 12m@ kwa muda wa miaka mitano, na mkono wa kwaheri wa 200m, iweje ndani ya mwaka ashindwe kujihudumia matibabu yake mpaka ageuzwe muhanga wa siasa za majitaka?

Ni hivi, kama mmegeuza mtaji wa kisiasa profesa J, basi mnamuanika tu kuwa ni mfujaji wa pesa akitegemea kusaidiwa kisa alikuwa mbunge wa cdm.
Mbowe anachangiwa pia. Mbowe alikua na chansi ya kuimaliza kesi akasema ataendelea kukaa mahabusu. Baadaye kidogo anawavuta wananchi kwenye kesi kwa kupitia michango. A billionaire na mnufaika wa 200M for years

Watu wachache sana wanaweza kuta hoja wakaijibu. Hao watu hawapo ccm wala chadema, kote mwendo ni spinning.

Kilichoandikwa kwenye uzi na majibu yanayotolewa (Plus hili lako) ni mbingu na ardhi.
 
Ikumbukwe Prof. J ni mbunge mstaafu na mpaka sasa ni kiongozi wa Chadema (mwenyekiti wilaya ya Kilosa na mjumbe wa Baraza kuu na mkutano mkuu Taifa)
Sarakasi za Chadema zimepekekea Raia kuhoji mambo mengi Sana.

Tena Bora wasingedandia treni mbele labda wasingeibua mijadala inayoendelea mitandaoni

1. Chadema walijiweka kando na Familia ya Jay, ni Kama kumsusa Jay kimtindo.

2. Chadema hawakwenda hata kumuona Jay hospitali. Ni Kama kumpuuza fulani hivi. Jana Jumamosi ndio tumewaona Suzan Lyimo, Kihwelu na Owenya ndio wameenda.

3. Chadema Kama chama haijaonyesha namna yoyote ya kumchangia Jay matibabu, walitaka kujificha kwenye kivuli Cha malisa na Gifted heart wakasahau kuwa Malisa ni mwanachama tu na gifted heart ina members wa mirengo tofauti.

:::Gifted heart wamehimiza michango.

Wasanii wamekusanya michango.
AcT wamehimiza michango
Ccm kupitia kwa Katibu Mkuu wake wameenda hospitali kumuona Jay.
Wizara ya afya imempa special care mgonjwa.

Mama Samia ameagiza serikali kugharamia matibabu.

Clouds media na viongozi wa dini wamefanya ibada maalum ya kumuombea Jay.

Chadema imefanya nini? Angalau hata hawa wabunge mnaowaita covid walijichangisha wakapeleka mchango wao kwa mgonjwa.
Kuna wakati huwa tunadanganywa kuwa wanaohama wananunuliwa' kumbe matendo ya viongozi ambayo kimsingi hayaendani na kile wanachokihubiri ndio kinachowakwaza watu. Inauma na kufikirisha Sana!
Hivi we BWANA MDOGO UNA SHIDA GANI NA CHADEMA???

UNAKUWA UNA GUBU....KAMA GASHI....😶😶🙄🙄
 
Hapa una feli mkuu,
Kuna vitu ni kama sadaka mkuu huwa watu hawatizami mambo ya uwezo,

Mfano ipo misiba ya watu mashuhuri na matajiri wakubwa ambayo imezungukwa na watu wenye uwezo tu lakini bado watu masikini wakubwa wanatoa rambirambi.

Iko michango hutolewa kuonesha upamoja ama ishara ya upendo na sio kama unavyofikiri wewe mkuu.

CDM haipaswi kutizama uwezo wa mgonjwa kwenye hili bali ilipaswa kufanya jambo kwa J ili tu kuonesha upendo kwake.

Kama ana uwezo hiyo familia yake ilitokea wapi kutaka michango ya matibabu? Isitoshe hilo la upendo limefanyika lakini siasa chafu zinataka kutawala, hivyo tunaweka rekodi sawa kwa wahuni wote.
 
Mbowe anachangiwa pia. Mbowe alikua na chansi ya kuimaliza kesi akasema ataendelea kukaa mahabusu. Baadaye kidogo anawavuta wananchi kwenye kesi kwa kupitia michango. A billionaire na mnufaika wa 200M for years

Watu wachache sana wanaweza kuta hoja wakaijibu. Hao watu hawapo ccm wala chadema, kote mwendo ni spinning.

Kilichoandikwa kwenye uzi na majibu yanayotolewa (Plus hili lako) ni mbingu na ardhi.

Serekali pia inachangia mawikili wa Mbowe? Familia ya Mbowe imejitokeza kutaka mchango kwa mawakili wa Mbowe? Mbowe alikuwa na chance ya kumaliza kesi vipi wakati iko mahakamani?
 
Ikumbukwe Prof. J ni mbunge mstaafu na mpaka sasa ni kiongozi wa Chadema (mwenyekiti wilaya ya Kilosa na mjumbe wa Baraza kuu na mkutano mkuu Taifa)
Sarakasi za Chadema zimepekekea Raia kuhoji mambo mengi Sana.

Tena Bora wasingedandia treni mbele labda wasingeibua mijadala inayoendelea mitandaoni

1. Chadema walijiweka kando na Familia ya Jay, ni Kama kumsusa Jay kimtindo.

2. Chadema hawakwenda hata kumuona Jay hospitali. Ni Kama kumpuuza fulani hivi. Jana Jumamosi ndio tumewaona Suzan Lyimo, Kihwelu na Owenya ndio wameenda.

3. Chadema Kama chama haijaonyesha namna yoyote ya kumchangia Jay matibabu, walitaka kujificha kwenye kivuli Cha malisa na Gifted heart wakasahau kuwa Malisa ni mwanachama tu na gifted heart ina members wa mirengo tofauti.

:::Gifted heart wamehimiza michango.

Wasanii wamekusanya michango.
AcT wamehimiza michango
Ccm kupitia kwa Katibu Mkuu wake wameenda hospitali kumuona Jay.
Wizara ya afya imempa special care mgonjwa.

Mama Samia ameagiza serikali kugharamia matibabu.

Clouds media na viongozi wa dini wamefanya ibada maalum ya kumuombea Jay.

Chadema imefanya nini? Angalau hata hawa wabunge mnaowaita covid walijichangisha wakapeleka mchango wao kwa mgonjwa.
Kuna wakati huwa tunadanganywa kuwa wanaohama wananunuliwa' kumbe matendo ya viongozi ambayo kimsingi hayaendani na kile wanachokihubiri ndio kinachowakwaza watu. Inauma na kufikirisha Sana!
Acha uchochezi na wivu weye, Tena porojo zako nazifananisha na zile za Mr. Kiroboto
 
Mbowe anachangiwa pia. Mbowe alikua na chansi ya kuimaliza kesi akasema ataendelea kukaa mahabusu. Baadaye kidogo anawavuta wananchi kwenye kesi kwa kupitia michango. A billionaire na mnufaika wa 200M for years

Watu wachache sana wanaweza kuta hoja wakaijibu. Hao watu hawapo ccm wala chadema, kote mwendo ni spinning.

Kilichoandikwa kwenye uzi na majibu yanayotolewa (Plus hili lako) ni mbingu na ardhi.
Jpm na kundi lake la majambazi walichukua pesa zake zote plus kuharibu shamba lake,jpm kafa kwa kumeza ulimi kwa kupigwa na uviko...yule jambazi sugu wa ccm sabaya yuko kisongo anapakwa kilainishi tu
 
Tuchukulie uko sahihi sana na hii ramli chonganishi, Profesa J ameporwa ubunge wake uchaguzi uliopita na yule kiongozi.

Hivyo Prof J alivuta hela yake yote ya kumaliza ubunge 200m. Je amepeleka wapi hela yote hiyo ndani ya mwaka mpaka mumgeuze mtaji wa siasa za kishamba?

Mnadhani mnaichonganisha cdm na wananchi, kumbe mnamuanika profesa J kuwa ni mfujaji wa Pesa. Kama alikuwa anapata 12m@ kwa muda wa miaka mitano, na mkono wa kwaheri wa 200m, iweje ndani ya mwaka ashindwe kujihudumia matibabu yake mpaka ageuzwe muhanga wa siasa za majitaka?

Ni hivi, kama mmegeuza mtaji wa kisiasa profesa J, basi mnamuanika tu kuwa ni mfujaji wa pesa akitegemea kusaidiwa kisa alikuwa mbunge wa cdm.
[emoji871]Umeongea vizuri sana!

[emoji871]Lakini yageuze hayo maswali yawe kwa Mbowe pia.

[emoji871]Mbowe mnayemchangia pesa za kesi iliyoko mahakamani kwa sasa.

[emoji871]Amekuwa mbunge kwa miaka mingapi?

[emoji871]Mbowe Amekuwa mwenyekiti kwa miaka mingapi?

[emoji871]Mbowe yeye amepeleka wapi mafao yake,endapo tunahoji mafao ya Prof J?

[emoji871]Mbowe amepeleka wapi 1b,alizojikusanyia kupitia makato kwenye posho na mishahara ya wabunge na madiwani.

[emoji871]Mbowe mnayemchangia si ndie huyo mwenye ukwasi wa mahoteli ya kitalii ya Protea?

[emoji871]Huyo si ndie mmiliki wa Aishi Machame?

[emoji871]Je yeye kwa nini astahili kuchangiwa,lakini profesa J ambaye sio mmachame mnasema ajihudumie?

[emoji871]Hamna hata haya wala Soni enyi watu wa
[emoji116]
Tindo
JamiiForums-1696724364.jpg
 
[emoji871]Vema mwakibinga umejitokeza na kuusema ukweli toka ndani ya Chadema yenu.

[emoji871]Wengine tukisema ukweli kama huu,tunaishia kuitwa Lumumba buku 7.

[emoji871]Wewe #Mwakibinga umejitokeza hadharani kuwashitua hao wenzako wa kusini ili waelewe kwamba huko kaskazini mnaitwa "CHASAKA"
 
Back
Top Bottom