Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 71,035
- 126,761
[emoji871]Umeongea vizuri sana!
[emoji871]Lakini yageuze hayo maswali yawe kwa Mbowe pia.
[emoji871]Mbowe mnayemchangia pesa za kesi iliyoko mahakamani kwa sasa.
[emoji871]Amekuwa mbunge kwa miaka mingapi?
[emoji871]Mbowe Amekuwa mwenyekiti kwa miaka mingapi?
[emoji871]Mbowe yeye amepeleka wapi mafao yake,endapo tunahoji mafao ya Prof J?
[emoji871]Mbowe amepeleka wapi 1b,alizojikusanyia kupitia makato kwenye posho na mishahara ya wabunge na madiwani.
[emoji871]Mbowe mnayemchangia si ndie huyo mwenye ukwasi wa mahoteli ya kitalii ya Protea?
[emoji871]Huyo si ndie mmiliki wa Aishi Machame?
[emoji871]Je yeye kwa nini astahili kuchangiwa,lakini profesa J ambaye sio mmachame mnasema ajihudumie?
[emoji871]Hamna hata haya wala Soni enyi watu wa
[emoji116]
Tindo View attachment 2119000
Sina tatizo na yoyote kuchangiwa, bali ni pale inapoonekana kuwa cdm wanawajibu wa kumtibu profesa J, hadi familia yake kujitokeza kuomba michango. Mbowe hajachangiwa chochote na serikali, wala familia yake haijajotekeza kutaka Mbowe achangiwe, na huo mchango ni wa hiyari.
Halafu huo ukhanithi wa ukabila ulioweka hapo chini, katafute makhanithi wenzio ndio uwaquote. Kisha uwatafute watu wa kabila la profesa J uwaambie wamchangie, maana wamachame wanachangiana wenyewe.