Mlendamboga
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 664
- 334
Masanyinta A.176 ccm na chadema 76 na kituo b ni 143 na chadema ni 62 mpapa A.ccm 200 na chadema 53 B ccm 177 na chadema 78. Kasanu B 110ccm na chadema 43 A ccm 98 na chadema 60. Hili ni jimbo la momba ambapo gap hili limetoa ushindi kwa ccm
Kwa upande wa Mbozi hali inaonyesha Ccm imeshinda pia kwa kura 300 ingawa bado wanajumlisha lakini matokeo ya vituoni yanaonyesha vituo vingi Ccm imeshinda
Kwa upande wa Mbozi hali inaonyesha Ccm imeshinda pia kwa kura 300 ingawa bado wanajumlisha lakini matokeo ya vituoni yanaonyesha vituo vingi Ccm imeshinda