combra
Senior Member
- May 28, 2012
- 130
- 31
Nimekaa chini na kutafakari ni wapi CHADEMA wametoka na nina aliyekuwa nyuma yao kwenye kipindi kigumu mbali na kusahau mchango mkubwa wa Dr slaa chadema kimemsahau Sabodo kwa mchango mkubwa ambao amekuwa akikipatia chama ili kiweze kusonga mbele nakutimiza ndoto za wa Tz.lkn tokea vuguvugu la uchaguzi lianze wamemsahau Sabodo.
Lakini ikumbukwe Sabodo ni mwana CCM lakini alikubali kuonekana msaliti na kuisadia CHADEMA. Tafakari
Lakini ikumbukwe Sabodo ni mwana CCM lakini alikubali kuonekana msaliti na kuisadia CHADEMA. Tafakari