Chadema hawajakiuka maadili?

usitumie nguvu kufunga hoja, hoja nadhani itakuwa kubwa zaidi baada ya viongozi wa dini kutoa tamko

"Katika ibada hiyo, Sheikh Alawi, akisoma dua, alitangaza rasmi kuwa marehemu hao Omar Ismail na Denis Shirima wamefariki kishujaa"

(Ni kauli ya Shehe aliyesoma dua ya kumuombea marehemu Omary Ismail leo pale NMC-Arusha;habari ipo kwenye Gazeti la MTanzania la leo tarehe 13 January,2011)
 

Eti jamaa mla mihogo anajua zaidi kuliko Sheikh wao. Au ni kiherehere tu!
 

Huu ni ujuha uliopitiliza!
 
Jirani zangu wawili Waislaam hadi leo hawajazikwa.

1. Mmoja alikufa maji alipoenda mtoni na maji yakambeba.

2. Mwingine aliliwa na Simba na Fisi wakasambaza Mifupa yake.

Kibaya ni kuwa hadi leo imepita zaidi ya miaka 8 na siyo wiki moja.

By the way:
Hiyo Mihogo uliyopo si itatumika kutengenezea gongo?

Likiiva usinisahau Mkuu maana kisamvu chake kilivyonona, gongo lake litakuwa la kufa mtu.
 

Kumbuka Hawa Wananchi ni Mashujaa na Situation Iliotokea Hili Jambo Imebidi Itokee Kama Utaratibu Unavyouona. Hawa Wananchi Mashujaa Sio Tu ni Waislamu kwa Heshima Zote ila ni Watanzania wa Hali ya Juu Hivyo Tulitaka Kuwaenzi na Kuwapa Heshima Zote. Sababu Kubwa Chadema na Wananchi Tulitaka Kufanya Hivi ili Vifo Vyao Visije Vika Sahauliwa na Kutokumbukwa Tena. Kwa Heshima Hii "Taifa Zima Lilisimama Kuenzi na Kukumbuka Maisha Yao" Hii Ndio Sababu Kubwa Pekee.
 
hatan hii ni hoja ya msingi. hoja ya msingi sio inayoifurahisha chadema. jee utaposikia mh Mboe kasaliwa msikitini wakati ukijua ni mkiristo pia utasema sio hoja ya msingi?

To be honest nikisikia kaswaliwa msikitini, I will be very suprised,
but then won't make an issue out of it! I won't spend an entire day questioning it! I won't even lose sleep over it!

I and I believe other christians won't seek clarifications from authorities provided I saw Mbowe's family there and I don't know his will @ the time of his death

If the family consented, if the burial has already happened, why are we still bringing attention to suala la imani?

Hii inanikumbusha hadithi moja, watawa wawili walikuwa wanavuka mto, ( watawa hawa 'monks' hawaruhusiwi kuonana na wanadamu wala kuinteract nao )

Katika kuvuka, wakakuta mwanamwali aliyevalia vyema lakini anaogopa na kushindwa kuvuka kwani atachafuka..akamwomba mmojawao amvushe

Mmoja kati ya watawa hao akamweka mabegani na alipofika upande wa pili akamshusha, kisha watawa hao wawili wakaendelea na safari...

Baadae mtawa ambaye hakumbeba yule mwanamwali akaanza kulalama, kwakweli umekiuka maadili, kwani haturuhusiwi hata kuongea na mtu wewe umebeba mwanamke! Hii si tabia njema ...

Mtawa aliyembeba mwanamke yule, alimgeukia mwenzake na kusema 'I set that woman at the other side of the river 5 hours ago...WHY ARE YOU STILL CARRYING HER ?

Ndugu yangu ndugu yetu ameshazikwa..
 
inawezekana. lkn Chadema walipanga mapema mazishi leo ya kitaifa, kwa hivyo tunaamini kwamba huo ulikuwa ni mpango wa chadema na sio polisi. polisi ktk mtazamo wa kawaida matukio kama haya huwa wanafanya uchunguzi haraka kama vile mwembechai na pemba
Hivi wewe ni polisi au? Naona unalazimishia kazi za Polisi! mara ooh kama Pemba ooh mwembechai unafikiri kila siku situation zitakuwa zilezile. pole sana..
Ungefaa sana kama ungelivalia njuga suala la kuchakachua matokeo ya uraisi...
 
hata maaskofu waliwahi kusema jk ni chaguo la Mungu. jee hawakufanya makosa?
 
Hivi wewe ni polisi au? Naona unalazimishia kazi za Polisi! mara ooh kama Pemba ooh mwembechai unafikiri kila siku situation zitakuwa zilezile. pole sana..
Ungefaa sana kama ungelivalia njuga suala la kuchakachua matokeo ya uraisi...

tunasema hivyo kwa sababu polisi wanajua imani ya kiislam ndio maana yanapotokea matokeo kama haya hufanywa haraka. hakuna hata pamoja kama yaliotokea ARUSHA
 

shujaa ni shujaa tu, lkn sio kuufanya mwili wa marehemu kiimani kuulaza siku 8 ndio aonekane shujaa
 

hizo ni hadisi za paukwa pakawa, hazina hoja za msingi
 
eti jamaa mla mihogo anajua zaidi kuliko sheikh wao. Au ni kiherehere tu!

kama ni hivyo, hata wewe ukubali tu kauli za maaskofu kwamba jk ni chaguo la mungu lkn linapokuja kinyume na chadema basi kiongozi wa dini huyo hafai. Napokuwa na chadema huyo ndio kiongozi nzuri
 
wacontact alqaeda wakupe bomu ukajilipue upunguze hasira. Mabikra 70 watakuwa wanakusubiri akhera! Hihiihi
ninavyojua chadema huwa hawana majibu kama haya. Labda wazidiwe sana kihoja ndio huja na majibu kama haya
 
tunasema hivyo kwa sababu polisi wanajua imani ya kiislam ndio maana yanapotokea matokeo kama haya hufanywa haraka. hakuna hata pamoja kama yaliotokea ARUSHA
Yaleyalee kwani hawakujua matokeo ya uraisi? walichakachua yale na sasa wamechakachua issue hii..
 
yaleyalee kwani hawakujua matokeo ya uraisi? Walichakachua yale na sasa wamechakachua issue hii..

hapa ni chadema ndio waliopanga mazishi siku y mapinduzi. Lkn kwa kuwa waislam huwa hawacheleweshi. Watatoa tamko kuhusu kuweka mwili 8 days
 

udini udini udini sijui utatufikisha wapi huu ni upeona fikra ndogo za kufikiri waliofiwa hawajalalamika wewe unataka kutuletea udini wako hapa mbona kawawa alipofariki akakaa muda wote huo hamkuhoji?? Hiyo ni dhana ya kipuuzi unayoleta hapa ili kuleta migongano katika ya waislamu na chadema yaani huu ni upuuzi mtupu
 

unaonaje wewe?
au unataka kufungua mashtaka?
 
Source : http://islam.about.com/cs/elderly/a/funerals.htm
 

Kwa hiyo unataka kusema baada kuuwawa angezikwa siku hiyo hiyo? Ndugu zake walikuwa wanajua kuwa atauwawa? Kwa taarifa yako hawa marehemu wamekuja kujulikana siku ya 3 na wengine ya 4 sasa sijui uluitaka chadema wazike nn? Unazika baada ya kutambua aliyeuwawa na ndugu zake kujua. Nakubaliana na mchangiaji mmoja aliesema hili lilikuwa suala la dharura. [/B]
 

Chicken IQ!

Bw. Muhogomchungu umeleta hoja ya kipuuzi kabisa. Nyie ni wale mnaotaka kuleta migogoro ya kidini kwenye jamii.

Hii case ya marehemu waliokufa kwenye sakata la mauaji yaliyofanywa na Polisi kwenye maandamano ya Wana-chadema ni a very special case it must be treated differently. Lazima ujue kuwa hata muislamu akiuwawa kwenye hali za utata kama kupigwa risasi,kunyongwa,kunywa sumu na vitu kama hivyo lazima kuna taratibu za Polisi za kufanya postmortem ili kubaini kama marehemu aliuwawa na kitu gani.It can take day,two,three even a week kutegemea na mazingira.

Kwa hiyo kuzika siku hiyo hiyo au kesho yake marehemu tangu afariki is IMMATERIAL!
Kuna matukio ya ajali huwa yanatokea kama kuzama baharini na maiti inatafutwa hata kwa wiki 2 je, hapo wafanyaje na sharia yako ya KUZIKA CHAP CHAP??????????

Acha hizo bana! Crap.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…