Chadema hawajakiuka maadili?

Chadema hawajakiuka maadili?

Kisheria mazishi haya yamechelewa kwa sababu hayakutokea kwenye mazingira ya kawaida ....kuna mambo ya kipolisi lazima yalibidi yafanyike kable ya kuuzika miili....tofauti ya watu wanaokufa natural death......sidhani CHADEMA wanaingiaje kwenye mambo ya kipolisi .....ilibidi wasubiri .
hayana tofauti na ya Pemba.
 
tatizo sio kujilipua, tatizo jee chadema hawajui kama maiti ya madhehebu ya kiislam haitakiwi kukaa sana kabla ya kuzikwa?

Hivi wewe kichwa chako kina mchanga au?ili suala lilikua chini ya uchunguzi wa polisi,si kwamba ni natural death,ilikua haina jinsi mpaka police na motury waidhinishe uchukuliwaji wa miili hiyo,na kwa taarifa yako waliokabidhiwa miili ni ndugu wa marehemu ambao waliamua kutoa ushirikiano na cdm,sasa unapolaumu cdm kama kichwa chako kimejaa maji vile,ulitaka cdm wavamie mochwari siku ile ile kabla ya miili haijafanyiwa uchunguzi wala kuidhinishwa kuchukuliwa?tumia akili hata kidogo wewe usiwe mvivu wa kufikiri
 
Hivi wewe kichwa chako kina mchanga au?ili suala lilikua chini ya uchunguzi wa polisi,si kwamba ni natural death,ilikua haina jinsi mpaka police na motury waidhinishe uchukuliwaji wa miili hiyo,na kwa taarifa yako waliokabidhiwa miili ni ndugu wa marehemu ambao waliamua kutoa ushirikiano na cdm,sasa unapolaumu cdm kama kichwa chako kimejaa maji vile,ulitaka cdm wavamie mochwari siku ile ile kabla ya miili haijafanyiwa uchunguzi wala kuidhinishwa kuchukuliwa?tumia akili hata kidogo wewe usiwe mvivu wa kufikiri

kama mazishi ya chadema yalipangwa leo, ni wazi hata mwili umetolewa leo
 
tusicheze na imani za dini, naamini chadema wamekosea, inaweza ikaomba radhi
 
He even don't consider time. During those gone by days those of mohamad, Science and technology was still immatured, bythen things were different, thats why they were burying as earliest as possible to avoid the corpse get rotten. But today, when Science and technology is predominant in this world, a corpse could even last more than a month without rot. Go to school and learn about era. Madrasa only is helpless in todays era. Thanks
 
Nafikiri Muhogomchungu hili swali lako ni zuri lakini unalielekeza kwa wrong people. Ni vizuri ukawauliza 1)ndugu wa marehemu 2)viongozi wa dini yake waliokuwapo. Zaidi ya hapo hakuna atakayekupa jibu sahihi na huu mdahalo utaishia pabaya. No need of going that far wakuu.



tatizo sio kujilipua, tatizo jee chadema hawajui kama maiti ya madhehebu ya kiislam haitakiwi kukaa sana kabla ya kuzikwa?
 
nasikia Bakwata na madhebu mengine ya waislam yanapanga kutoa kauli

Mnakuja huku na majina tofauti na kila aina za hila mkitumwa na bwana wenu Makamba na wenzake. CCM na serikali yake ndio ilifanya mauaji na kwa taratibu za sheria vifo kama vile lazima viwe na postmortem etc ili baadae kuwe na ushahidi wa kisheria incase kama kuna watu wa kujibu mashtaka ya mauaji. Hivyo cheti cha kifo lazima kithibitishwe kwa pande zote! Taratibu hii inachukua muda. Sio chadema waliosema maiti zichukuliwe tarehe 12 Januari na kwenda kuzikwa bali ni polisi na mamlaka nyingine za nchi ili wajilizishe na sababu za kifo na mambo mengineyo kwa ajili ya sheria kuchukua mkondo hata kama wakichakachua. Ndio maan postmortem lazima ndugu wawepo na wakiweza wanaweka daktari wao pi.

Hivyo sio kila maiti ya kiislamu inazikwa ndani ya masaa 24!! Ipo mifano mingi na kama unataka ujue sema..

Jaribuni kufikiri kwenye ubongo badala ya makalioni!!!
 
Back
Top Bottom