Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 976
Wanabodi,
Sina lengo la kuishambulia CHADEMA ila Kuna mambo yananitatiza kuhusu kuaminika kwao.
Sote tunajua timbwili walilolianzisha bungeni kuhusu korona mpaka kufikia kijikarantini kibabe. Wakati wenyewe wanajikaranti, wapiga kura wao walikuwa wanapambana uraiani kutafuta mkate wao wa kila siku.
Ila nikawaza, hivi kweli hawa wanauchungu na wapiga kura wao? Hivi hawa wanajua wapiga kura wao wanatafutaje riziki zao? Jibu nikalipata kuwa hawana uchungu na wapiga kura wao. Mgombea wao akiwa huko ughaibuni aliwasapoti kwa 💯%.
Wakati wabunge wa CHADEMA wakijikarantini, wenzao wa CCM walisimama kidete bila kuogopa kufa kuwapigania wapiga kura wao na watanzania kwa ujumla. Mbaya zaidi, CHADEMA iliwafukuza wabunge waliokataa mpango huo dhalimu. Ninashangaa wakijiita chama cha demokrasia, hamna kitu hapo.
Kama hayo hayatoshi, nilidhani CHADEMA watapiga kelele kuzitaka mamlaka zihairishe uchaguzi kwani kuna gonjwa la hatari la korona. Aah wapi, mwenyekiti aliyekuwa anavaa Kama ninja au Batman pamoja na sauti ya Lissu kutoka Tena sijui mji gani huko ubelgiji sasa wanakusanya watu, no social distance no facial masks. Wakihojiwa wanasema korona ipo, sasa watu hawa Kama wanaamini hivyo, si watakuwa wauwaji hawa?
Anyway, nimegundua nini ujue? Jamaa wanamkubali sana jembe JPM kwa vitendo ila wanamkataa kwa maneno. Matendo yao yanamkubali sana bwana mkubwa na ndio maana nikaandika uzi huu:
Uchaguzi 2020 - Zikiwa zimebaki siku 20, wapinzani wanashindana huku akili na mioyo yao ikiamini mshindi ni Magufuli
Tuwakatae wapinzani kwani wamejidhihirisha kuwa sio waaminifu.
Tarehe 28 kura zote kwa John Magufuli, mbunge na diwani wa CCM.
Tanga.
Sina lengo la kuishambulia CHADEMA ila Kuna mambo yananitatiza kuhusu kuaminika kwao.
Sote tunajua timbwili walilolianzisha bungeni kuhusu korona mpaka kufikia kijikarantini kibabe. Wakati wenyewe wanajikaranti, wapiga kura wao walikuwa wanapambana uraiani kutafuta mkate wao wa kila siku.
Ila nikawaza, hivi kweli hawa wanauchungu na wapiga kura wao? Hivi hawa wanajua wapiga kura wao wanatafutaje riziki zao? Jibu nikalipata kuwa hawana uchungu na wapiga kura wao. Mgombea wao akiwa huko ughaibuni aliwasapoti kwa 💯%.
Wakati wabunge wa CHADEMA wakijikarantini, wenzao wa CCM walisimama kidete bila kuogopa kufa kuwapigania wapiga kura wao na watanzania kwa ujumla. Mbaya zaidi, CHADEMA iliwafukuza wabunge waliokataa mpango huo dhalimu. Ninashangaa wakijiita chama cha demokrasia, hamna kitu hapo.
Kama hayo hayatoshi, nilidhani CHADEMA watapiga kelele kuzitaka mamlaka zihairishe uchaguzi kwani kuna gonjwa la hatari la korona. Aah wapi, mwenyekiti aliyekuwa anavaa Kama ninja au Batman pamoja na sauti ya Lissu kutoka Tena sijui mji gani huko ubelgiji sasa wanakusanya watu, no social distance no facial masks. Wakihojiwa wanasema korona ipo, sasa watu hawa Kama wanaamini hivyo, si watakuwa wauwaji hawa?
Anyway, nimegundua nini ujue? Jamaa wanamkubali sana jembe JPM kwa vitendo ila wanamkataa kwa maneno. Matendo yao yanamkubali sana bwana mkubwa na ndio maana nikaandika uzi huu:
Uchaguzi 2020 - Zikiwa zimebaki siku 20, wapinzani wanashindana huku akili na mioyo yao ikiamini mshindi ni Magufuli
Tuwakatae wapinzani kwani wamejidhihirisha kuwa sio waaminifu.
Tarehe 28 kura zote kwa John Magufuli, mbunge na diwani wa CCM.
Tanga.