CHADEMA: Hapajulikani Polisi walipomficha Freeman Mbowe

CHADEMA: Hapajulikani Polisi walipomficha Freeman Mbowe

Natamaniii viongozi wa upinzani waachane na Siasa nafikilia familia zao wanahuzuni kiasi gani.Wanachi wanyewe watakapo choka nadhani watachukua maamuzi mbadala.
Wapigania uhuru wa Africa wangekataa tamaa kama wewe sasa hivi Africa ingekuwa kwenye ukoloni
 
Si wamesema hawata mhudumia kwa chochote? Mahitaji gani sasa
 
wange muhamisha Guatanamo Bay, siku 2 tu angewataja washirika wote, mtandao wote wa kigaidi ungefahamika.
washirikiane na interpol watafahamu washirika wengine.
 
Tumepokea taarifa kuwa Mwenyekiti Mbowe hayupo kiituo cha Polisi cha Oysterbay , na Polisi hawataki kusema amepelekwa wapi. Tunawataka Polisi watoe taarifa za alipo Mwenyekiti ili aweze kupatiwa mahitaji.
Hahahaha mbowe amefichwa Kama kwapa vile.huyu gaidi anatia huruma

USSR
 
Labda yupo Guantanamo Bay, kule si wanawaweka magaidi?🐒
 
Sina shida.
Una shida kubwa sana!

Unahimiza maandamano ili uone damu za waTanzania zikitiririka mitaani, ili uendelee kupata uhakika wa mlo wako wa leo na kesho.

Kama huna shida, acha kuvitegemea vyombo vya usalama wa waTanzania kuwakandamiza wananchi ili uendeleze ubinafsi wako.
 

Tumepokea taarifa kuwa Mwenyekiti Mbowe hayupo kiituo cha Polisi cha Oysterbay , na Polisi hawataki kusema amepelekwa wapi. Tunawataka Polisi watoe taarifa za alipo Mwenyekiti ili aweze kupatiwa mahitaji.
 
Yuko njiani kurudishwa Mwanza. Taarifa za ndani ni kwamba, mahabusu walio kuwa Mwanza wameachiliwa. Pia Mbowe kesho anaachiwa.
 
Mnataka kupeleka mahitaji gani wakati Makamu Mkiti amesema kama chama hawatafanya chochote wanawaachia polisi wafanye wanachotaka wao? Mbona mnapingana wenyewe kwa wenyewe?
Na inawezekana wanang'ang'ania wapeleke hayo mahitaji ikiwemo chakula ili wamuwekee sumu ili akifa waisingizie Serikali
 
Tumepokea taarifa kuwa Mwenyekiti Mbowe hayupo kiituo cha Polisi cha Oysterbay , na Polisi hawataki kusema amepelekwa wapi. Tunawataka Polisi watoe taarifa za alipo Mwenyekiti ili aweze kupatiwa mahitaji.
Isijekuwa wameshamuua tayari
 
Back
Top Bottom