Mkuu Maranya,
Binafsi nimeichunguza kwa makini sana hiyo video, sina masaka nayo kabisa! Hata hivyo, shaka niliyonayo ni WHY NOW?! Kwamba kwanini wameamua kui-release sasa wakati kuna sakata la Kibanda huku video yenyewe ikionesha ni ya muda mrefu!! Hata hivyo, from UMAFIA POINT OF VIEW, jibu la WHY NOW tunaweza kusema kwamba it's now when it's the right time!!
Ngoja nikuambie kitu kimoja Mwita, Siasa ni moja ya viwanja vya maovu duniani...!! CHADEMA na CCM wote ni waovu tu; danganyeni hao hao!! Na uovu huu ni pamoja na kujengeana twaswira mbaya kwa jamii....the winner always is the one who's smarter!! Niseme tu kwamba, always you've been so smart, lakini leo CCM wamewazidi maujanja!! That's how politics works, huwezi then SIASA si fani muafaka kwako, either rudi kanisani au msikitini kawe mtoa mahubiri!....!!
Magamba mtapalangana saana kujinasua lakini ukweli mwisho wa siku utajulikana tuu, kuuwa muuwe nyinyi mnasingizia CHADEMA, watu wenye akili hamuwezi kuwadanganya!!!!kaka mambo mazito sana,nimekula ban nimekuja kivingine,ntarudi kivile mwisho wa mwezi,but chadema is a disaster!
Utumbo una grade bwana, huu ni grade ya mwisho na umeoza unamuumbua mwenye nao!.CHADEMA bana, issue zikiwakalia upande mnajidai ni kupoteza muda.
Ni mara ngapi CHADEMA wamekuwa wakipost utumbo JF na kushabikiwa humu ndani? Double standards!
The winner never quits! pambana kijana.
Aisee umekomaa!!!!
Ni page ya 28 naona unapoint moja tu "movement ya lips!!"
Wewe unadhani alietengeneza hii move hakulijua hilo? Tambua kwamba mtengenezaji lazima ajitahidi kuingiza maneno yatakayoendana na 'lips movement!!'
Wakati ukiyakomalia haya(pengine kwa maslai binafsi) jiulize ni kweli CDM ndio walimuua Mwangosi? Je, ni kweli ndio waliomteka Dr. Ulimboka? Je CDM ndio waliomuua kijana wa Moro? Ukimaliza hapo rudi kwenye issue ya Kibanda, usikie Bashe anasemaje!! Alafu rudi hapa uihusishe CDM (Lwakatare) na hii video, u-connect dots, zikioana japo kwa 20% endelea kukomaa hadi Lwakatare akamatwe!!
NAHISI ULIHUSIKA KWA KIASI FLANI KTK UTENGENEZWAJI YA HII STUPIDITY CLIP!! PATHETIC.
Makachero kutoka Makao Makuu ya Polisi wamevamia Makao Makuu ya Chadema iliyopo Kinondoni, kwa kile kinachoaminika ni Clip iliyowekwa kwenye Jukwaa hili hapo jana iliyomrikodi Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama Wilifred Lwakatare, mpaka sasa wapo ndani ya Ofisi ya Makao Makuu wakiendelea na mchakato wao kwenye ofisi ya Katibu Mkuu aidha tuta update kinajiri kwa kadiri ya kitakachoendelea.
Leo na wewe umo humu ndani.Vp Mp 7 mmeiacha wapi?Kimenuka....????
Na waliomlipua Mwangosi mchana kweupe ni CHADEMA, waopiga watu marisasi ARUSHA ni CHADEMA, waiomteka Dr Ulimboka hadi akawataja ni CHADEMA, WEWE NI VIPI unafanya kazi kitengo gani???? Mbona unakuja na vitu vya ajabu ajabu hapa maana yake ni nini????tatizo wewe ni katika wale wanopenda kuona kile wanachoamini na si kuamini kile wanachokiona,wenye macho wanaiona hiyo video,you cant cover up kitu kilichowazi kwenye mitandao and every thing,chadema has to come clear kwenye hili,mambo ya kuisingizia serikali kwa uovu wa wenu yamefikia mwisho,mungu ana mambo yake ona mnavyodharirika sasa,kumbe hata chacha wangwe yalimkuta yatokanayo na vikao kama hivi vya mikakati ya lwakatare!shame on you guys
Utumbo una grade bwana, huu ni grade ya mwisho na umeoza unamuumbua mwenye nao!.
Hiyo ndiyo VIDEO ya Mwigulu kwamba CHADEMA inapanga mauwaji ya wakubwa?????Hamna hata aibu kuleta vitu vya ajabu hapa????Peleka mkanda wako Polisi kama ushahidi waliohusika woote wakamatwe kama wauwaji washitakiwe!!!!!tatizo wewe ni katika wale wanopenda kuona kile wanachoamini na si kuamini kile wanachokiona,wenye macho wanaiona hiyo video,you cant cover up kitu kilichowazi kwenye mitandao and every thing,chadema has to come clear kwenye hili,mambo ya kuisingizia serikali kwa uovu wa wenu yamefikia mwisho,mungu ana mambo yake ona mnavyodharirika sasa,kumbe hata chacha wangwe yalimkuta yatokanayo na vikao kama hivi vya mikakati ya lwakatare!shame on you guys
Makachero kutoka Makao Makuu ya Polisi wamevamia Makao Makuu ya Chadema iliyopo Kinondoni, kwa kile kinachoaminika ni Clip iliyowekwa kwenye Jukwaa hili hapo jana iliyomrikodi Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama Wilifred Lwakatare, mpaka sasa wapo ndani ya Ofisi ya Makao Makuu wakiendelea na mchakato wao kwenye ofisi ya Katibu Mkuu aidha tuta update kinajiri kwa kadiri ya kitakachoendelea.
Hivi kuna mtu kajiuliza kwanini tukio la Kibanda lilipotokea tuu Ridhiwani Kikwete na Nnape Waliandika kwenye facebook wall zao kuwa .....semeni huyu naye katekwa na Rama wa Ikulu?
Walikuwa wanaandaa umma kuanza kujiuliza ili wakija na singo hii iweze kuaminika?
Imechukua muda gani tangu Mwigulu aliposema kuwa ana mkanda wa mipango ya mauaji na kuwa ameupeleka polisi kwa ajili ya uchunguzi nini kimefanywa na vyombo vya dola?
Kuna maelekezo yameshatolewa na Zoka kwenda kwa Kova kuwa amuite Lwakatare na amhoji kisha azungumze na vyombo vya habari kuwa wanamshikilia kiongozi mmoja wa Cdm kuhusiana na tukio lakutekwa na kupigwa kwa Kibanda , jambo wasilolijua ni kuwa tayari kuna CD zinazoonyesha tukio zima la tangu kutekwa na waliompiga kwani kwenye geti alilokuwa anaingia kibanda kuna camera ndogo za CCTV na tukio zima lilinaswa.....nasubiria kuona nini kinafuata..............
Aidha, kuna haja ya Membe kujitokeza kuwa ni kwanini ziara yake ya Morocco alienda na Zoka na kukaa kwenye hoteli yake kwa siku tatu bila kutoka walikuwa wanapanga nini na Zoka aliporejea alianza kutoa maelekezo gani juu ya jambo hili?
Mbona hatujamsikia rais akitaka tukio hili lichunguzwe na kuomba msaada nje kama lile la Padiri kuuliwa kule Znz?
Tuendelee kutafakari pamoja , inakuwaje Lwakatare ajirekodi kwa camera kubwa ya zaidi ya 8 mega pixels na 34 mm , hii ni kwa mujbu wa ukubwa wa picha ya Lwakatare, na hii ni camera ambayo ilitegeshwa wala sio simu kwani hii inaonekana kuwa haiyumbi hata kidogo , na kama ingekuwa simu basi walau picha zingecheza........nawatakia tafakuri njema sana ......tuendelee kuutafuta ukweli ili tuujue ......