Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!
Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!
Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!
Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!
Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!
Baba zima linabembeleza kura kwa kupiga magoti bora ingekua kanisani ila sio hapo.
Mie Chadema na ni mhandisi mwenye shahada ya uzamivu katika taaluma ya umeme!!!!unawajua wanachama wote Wa chadema au unaropoka tu
Huyu baba kashajitaftia laana bure kuwapigia goti wanadamu aisee#NotiRaiti.
Naomba kujuzwa kama huyo ni mhandisi au mwanasayansi!
Mbona rahisi tu? Mbowe karithi mali ya babake, kafungua disco na danguro dar. Sasa anatumia ujinga wenu kuwa bungeni. Mimi nafanya kazi halali, simdanganyi mbweha yeyote kuwa nitamkomboa. Sijamuua Chacha Wangwe, sizini na Mukya Dubai...... Ukimaliza kunifananisha na Huyo mchaga. Unifananishe pia na Idd Amin. Yeye pia hakuwa na elimu ila alifurahia maisha kama Mbowe na kilaza kama wewe bado ungemsifu tu. Hovyompinga shetani
Ningekuwa naweza ningeweka kwenye mizani maisha ya Mbowe wa elimu ya darasa la tatu na wewe mwenye elimu kubwa nione mizani itaelemea wapi
Mafanikio kwenye maisha na katika kile unafanya hayawi defined tu na viwango vya elimu...
Wengi elimu imewasaidia ujuzi tu wa kuiba kwa kalamu na maandishi mengi yenye ulaghai ndani yake