Chama,
Hata ingelikuwa Darasa la saba tu, ni busara ya Kawaida tu kujua kilichokuwa kinaendelea katika kesi ya ugaidi aliyobambikiwa Lwakatare. Si amini kama ulikuwa hujui. Hivyo Slaa hawed kujichanganya, wakati nimefuatilia utaratibu wote tangu kauli ya Mwigulu Nchemba, mawasiliano ya Nchemba na Ludovick hadi Mwigula kumlipa fedha kwa kazi aliyomfanyia, TISS kuhangaika kuhonga maofisa wa Ofisi ya Katibu Mkuu ili wakubali kutengeneza ushahidi Fake. Chama ujue Chadema ni Chama Makini haikurupuki hata siku mmoja. Tunaanza na Mungu, Tunaendelea na Mungu na Tutamaliza na Mungu. Hakuna hila, itafanikiwa kuihujumu Chadema, na ni vema wanaopanga hujuma wafahamu kuwa Mabadiliko yanayotokea Tanzania sasa ni saw na Gharika kubwa, na hakuna nguvu yeyote iwayo ya kibinadamu inayoweza kuzuia Gharika. Ni vema, wabaya wetu ndani ya TISS,CCM na Serikali wakaacha kuhangaika kwa kuwa hawatafanikiwa.
Iowa fedha
QUOTE=chama;6322489]Mkuu
Molemo
Hivi aliyeshtakiwa ni Lwakatare au Chadema? Naona
slaa anajichanganya sana; wakusema hatalipa kisasi ni Lwakatare lakini kwa sababu anajua alichokuwa anakipanga hawezi kulisema hilo.
Chama
Gongo la mboto DSM
CC
Ritz