Tunasubiria mkuu bila pumba zako jukwa litapoteza chachanduMwone Serukamba au kibajaji Lusinde.
Chama
Gongo la mboto DSM
Tunasubiria mkuu bila pumba zako jukwa litapoteza chachanduMwone Serukamba au kibajaji Lusinde.
Heri kijana mwenye akili kuliko mzee mpumbavu asiyekuwa na busara. CHADEMA ni chama kichanga (Kijana); Nyinyiemu ni chama kikongwe (Mzee)
Sijui waliokuwa wanaishambulia CHADEMA na kukiita chama cha kigaidi wanajisikiaje sasa,kuna mambo mengi ya kujifunza na kuendesha siasa zenye kuangalia hali ya baadae itakuaje,tunasubiri kesi ya Lwakatare iishe ili ukweli ujulikane.
Nafahamu sana kuwa Serikali ya CCM kila siku inatafuta kitu cha kuweza kudidimiza upinzani,hata hivyo bado ukweli yafaa ujulikane hata kama wapinzani wakiwa wanakamatwa na kufunguliwa mashitaka,mbaya zaidi kwa hali ilivyo wapinzani hawawezi kuepuka kufunguliwa mashitaka na Serikali maana tunaona kesi nyingi za kutunga na kumbambikia wapinzani makosa yasiyo na kichwa wala miguu na mwisho wa siku ukweli unadhihiri mahakamani kuwa hawana makosa.Joseph kama wewe ni mtafiti wa mambo jiulize Mrema, Slaa, Mbowe wafunguliwa mashitaka mara ngapi? Lengo hapa ni kwamba uchaguzi uanakaribia na wale wote wa upinzani wenye mvuto wa kuchaguliwa watatafutiwa sababu mbalimbali za kufunguliwa mashitaka. Lengo likiwa hutapata muda wa kujiandaa au kuteuliwa kushiriki ktk uchaguzi!
Nashauri CDM wawe waangalifu ili wasipoteze muda kwenda mahakamani kwenye kesi. Tunawataka wawe na muda wa kutosha kuelimisha wananchi jinsi watakavyowainua kiuchumi mara wachukuapo uongozi wa nchi.
Nilitegemea kutoona comments za waganga njaa wa CCM humu,maana mahakama imewaumbua kiasi cha kutosha,kama ile style ya Igunga ingetumika(kukosekana hati ya nyumba kesi nzima,na vielelezo vingine vinakosa thamani)ilibidi kesi ifutwe,kikubwa zaidi tumejifunza kuwa AG na DPP sio wanataaluma tena bali ni wanasiasa ambao kwa makusudi wameweka akili zao mifukoni na kuruhusu akili ndogo itawale akili kubwa.
Mkuu acha kujitoa akili na ufahamu.
Hata mahakamani una anza na kiapo kua uyasemayo sahihi, lkn unadanganya. Tusubiri mahakama mkuu punguza shangwe
"Mungu akiwa upande wetu hakuna aliye juu yetu" Hongera sana wana ukombozi kwa kumtanguliza Mungu
Ndiyo maana nampenda Raisi wangu tarajali dk slaa.
Nilitegemea kutoona comments za waganga njaa wa CCM humu,maana mahakama imewaumbua kiasi cha kutosha,kama ile style ya Igunga ingetumika(kukosekana hati ya nyumba kesi nzima,na vielelezo vingine vinakosa thamani)ilibidi kesi ifutwe,kikubwa zaidi tumejifunza kuwa AG na DPP sio wanataaluma tena bali ni wanasiasa ambao kwa makusudi wameweka akili zao mifukoni na kuruhusu akili ndogo itawale akili kubwa.