Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Kwan tumaini hana uwezo
au ndo chuki bnafs znakutesa
au ndo chuki bnafs znakutesa
Endelea kukishauri chama chako cha mafisadi lakini CDM hatuhitaji yote hayo tunajitangaza kwa vitendo
Tatizo unatumia ID niliyoshiriki kuicreate pale ufipa, sijui namjibu nani hapa..
Endelea kukishauri chama chako cha mafisadi lakini CDM hatuhitaji yote hayo tunajitangaza kwa vitendo
Dada unakiherehere wewe hata uislamu hautaki mwanamke awe hivyo.
Cc.Matola
sixgates, unaonekana u mtu mzuri na pia unakipenda sana CHADEMA, Sijui kwa nini unapoteza maarifa na furaha yako kuwa katika taasisi ambayo kwa moyo wako yaonesha unakipenda, na kuamua kuwa mfuasi wa mtu pasipo kujali unaizurum nafsi yako. Ningekuwa na uwezo ningekulazimisha ufuate takwa la,moyo wako na si mtu kwa minajili ya kulipa fadhila. Think twice brother hopes you will make u-turn soon before ts late kamanda!
Endelea kukishauri chama chako cha mafisadi lakini CDM hatuhitaji yote hayo tunajitangaza kwa vitendo
Kiaje mkuu.. Tatizo huangalii ushauri, unaangalia nani katoa. Mimi nimeandika jinsi ya kuboresha umoja wa wanawake chadema lakini kw ukaidi wao sioni kinachofanyika
kamwe sintokua kwenye siasa zenu... and i hope wahusika wa saisa za Tanzania watakusikia
but you are shrinking mkuu
not the same kabisa
Nimekuambia ulioa ushauri unaodai kuutoa mwaka mwaka gani? Maana sasa umeahidiwa porojo ....jibu nitiririke hapa JUKWAANI maana kutwa kuchwa wewe tu, unajitia unaifahamu Chadema , sema ......maana najua unadanganya hapa JUKWAANI , njia ya mwongo na mzushi ni fupi ......Mkuu ukiweka mahaba pembeni utagundua chadema ina matatizo sana
Mkuu ukiweka mahaba pembeni utagundua chadema ina matatizo sana
Si wanayo Chadema youtube wao wanaita TV.Enzi zile chadema ilivyokuwa CHADEMA, nlikuwa sehem ya kukishauri chama kijiimarishe katika maeneo matatu muhimu.
- Media (printing media, redio, tv, social networks)
- Umoja wa wanawake chadema
- umoja wa vijana chadema
Naomba leo nizungumzie tu Kwenye upande wa media zilionyeshwa changamoto nyingi kwanini chadema hakina chombo cha habari, nilizielewa changamoto hizo pengine watanielewa zaidi wale wenye kujua gharama za kumiliki media outlet kama redio au gazet au tv. Baada ya kuona chadema inahitaji subira katika hili, juhudi zilielekezwa katika "lobbing team" ndani ya media nchini, pia hamasa ikaelekezwa kwenye "social networks" ambapo designing yake ilikuwa na nia njema kujenga hoja na kupangua in short vijana wa chadema were supposed to be "arguments gladiators" na sio kupika na kurely much on propganda. John mnyika alikuwa mtu mwenye mikakati mingi, akizungumza unamuona kabisa the project was going to be real, nakumbuka hata pale ofisini ufipa kuna chumba kilitengwa kwa ajili ya chadema TV lakini sifaam what is going on since I ve left the party pengine bado ni sehemu ya kupigia story na kusomea magazeti as it was then.
Moja ya ombi kubwa ilikuwa ni kumpata afisa habari ambaye angekuwa talented, committed na ambaye atakuwa na uwezo wa ku counter attack propaganda kabla hazija sambaa beyond mile-stones. Katika watu waliokuwa wanategemewa kwa weledi (professionalism), usikivu, commitment, proactive na mwenye high degree of understanding was this guy mohamed Mtoi. Badala yake akaletwa Tumaini Makene, and the rumors has it jamaa kabebwa tuu ndio maana hata deliverance yake ipo too low.
Mtakubaliana na mimi kuwa kwa sasa afsa habari ya chadema imelala, nimetoka kwenye mihangaiko yangu naingia hapa JF na kwenye website ya chadema, hakuna any new feed, can you imagine?.
Its high time for chadema fans to loud their voice against this passive party information officer because ni disgrace kwa chama kinachotaka kuchukua dolla.
Mkuu ukiweka mahaba pembeni utagundua chadema ina matatizo sana
Breaking news;- slaa adhalilishwa kigoma kaskazini jioni hii. Akimbia mkutano:
Wakuu,
Taarifa za uhakika kutoka kwa katibu wa JIMBO LA KIGOMA KASKAZINI CHADEMA ndugu RAMA RUAHA, ni kwamba Katibu mkuu wa CHADEMA Padri SLAA leo alikuwa afanye mikutano miwili katika vijiji viwili baada ya kukimbia NGOME KUU YA ZZK ''MWANDIGA'' na kukimbilia kuweka mikutano ifanyike kijiji cha NYARUBANDA na mwingine KIDAHWE.
Taarifa kamili ni kama ifuatavyo
(i). MKUTANO WA NYARUBANDA. - Itabidi PADRI SLAA aishukuru mvua iliyowatawanyisha wananchi wenye HASIRA walioanza kumshambulia SLAA kwa mabango, maneno makali na mawe, huku vijana wake wa REDBRIGED wakionyesha kuishiwa nguvu na kuomba msaada wa POLISI.
SLAA anayejidai kichwa ngumu leo ameishukuru mvua hiyo iliyositiri AIBU YAKE YA KARNE YA KUPOPOLEWA NA MAYAI VIZA NA MAWE.
(ii). MKUTANO WA KIDAHWE - Katika Hali ile ile ya WAHA WA KIGOMA kumchukia DOKTA SLAA kwa kuwafanya wendawazimu na kuwataka washerehekee MAZISHI YA KIJANA WAO, huku SLAA ILIMBIDI AINGIE MITINI.
NDIO, SLAA AMESHINDWA KUTOKEA MKUTANONI KIDAHWE BAADA YA KUAMBIWA KUWA WANANCHI WA ENEO HILO WANA HASIRA NA CHUKI KUBWA DHIDI YAKE, VIONGOZI WA CHADEMA KIDAHWE WALIKATAA HATA KUMUWEKEA MEZA YA KUSIMAMA KUHUTUBIA, GARI LA M4C LILILOONGOZANA NA VIBARAKA WAKE LILIAMBULIA MATUSI MAKUBWA NA MAWE MFULULIZO KISHA KUPEWA TAHADHARI KUWA MLETENI SLAA AONE CHA MTEMA KUNI.
KWA KIFUPI KABISA SLAA AMEUMBUKA KWA KUSHINDWA KUHUTUBIA JIMBONI KWA ZITTO KABWE,
WENYEWE WANASEMA ''slaa hawezi kutuulia mwanetu halafu anakuja kutuimbia NGOMA za kikweo tucheze, sisi sio wapuuzi''
namuomba MOLEMO, BEN SAA NANE, TUMAINI MAKENE, WAITARA NA WENGINEO WOTE WAJE HAPA KUBISHA AMA KUTHIBITISHA TOFAUTI''