PreGE2025 CHADEMA: Hadi sasa, hatujui walipo Heche na Mnyika

PreGE2025 CHADEMA: Hadi sasa, hatujui walipo Heche na Mnyika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Nadhani sasa Tanzania imeingia kwenye hatua tofauti kabisa. Sijui kama tutarudi tena katika hali iliyo kuwepo huko nyuma.
Inaelekea kuna kundi ndani ya jeshi la polisi ambalo tayari lipo vitani.
Kuna haja ya kuwaita Wakubwa wa Mahakama ya haki za binadamu waje kuchunguza haya mauaji na vitendo vingine vya ukiukwaji wa HAKI za BINADAMU hapa Tanzania.
 
Polisi si ndiyo waliwakamata ulitaka aulizwe nani sasa?
Polisi wa taifa gani wanaulizagwa kupitia mtandao wa X? Haya ngoja nikujibu kwani mimi ni polisi: tunao hapa hao unaowaulizia, tunawapa displine kidogo ya kuruka ruka kichura baadaye tutawarudisha kwa wake zao.
 
Kuna haja ya kuwaita Wakubwa wa Mahakama ya haki za binadamu waje kuchunguza haya mauaji na vitendo vingine vya ukiukwaji wa HAKI za BINADAMU hapa Tanzania.
Kwanza tuanze sisi wenyewe kuwatambua wahusika wa maovu haya, mmoja baada ya mwingine; ili hapo itakapokuwa sahihi kuwaita hao wakubwa iwe rahisi kuwasilisha taarifa kuliko kuzungumza kijumla jumla tu.

Hawa watenda maovu ni lazima watambulike, kila mmoja na vitendo vyake viovu.
Kazi hii ya utambuzi ni lazima ianze sasa kabla uharibifu mkubwa haujatokea.
 
Back
Top Bottom